Dodoma FM
Dodoma FM
8 August 2025, 10:35 am
Mteja kachepusha umeme kwenye njia namba moja na njia namba tatu kwa kuunga waya moja kwa moja kwenye suplaya ya TANESCO Mpaka kwenye kiwanda. Na Edga Rwenduru: Shirika la umeme Tanzania TANESCO mkoa wa Geita limemkamata Joseph Bhukelebe mkazi wa…
3 June 2025, 1:48 pm
Umeme unapokatika shuleni hapo wanakosa maji lakini kupatikana kwa genereta hilo watakuwa wanapata huduma ya maji kwa muda wote. Waziri wa Madini na Mbunge wa Jimbo la Dodoma Mjini Antony Mavunde amekabidhi genereta la kisasa kwa wanafunzi wa shule ya…
1 August 2024, 5:33 pm
Kanisa la Moraviani Ushirika wa Kongwa limeanzishwa mwaka 2008, ni moja ya makanisa madogo wilayani Kongwa. Na Bernadetha Mwakilabi. Imeelezwa kuwa kuishi katika jamii isiyokuwa na upendo ni sababu kubwa inayopelekea dunia kuwa na matukio ya kikatili na mauaji kwa…
8 April 2024, 5:48 pm
Shughuli hiyo iliratibiwa na Baraza Kuu la Waislamu Tanzania BAKWATA wilaya ya Dodoma kwa kushirikiana na misikiti ya wilaya ya Dodoma. Na Seleman Kodima.Sheikh wa Mkoa wa Dodoma Alhaj Mustafa Rajab Shaban amewataka wafungwa na mahabusu waliopo magerezani kutumia vyema…
25 August 2021, 12:53 pm
Na; Mariam Matundu. Foundation for disabilities hope imemtembelea binti Rhoda Batholomeo Nambali mwenye ulemavu wa akili pamoja na ulemavu wa viungo na kuahidi kumsaidia bima ya afya pamoja na kumtafutia wadau wengine watakao msaidia . Afisa utawala wa taasisi hiyo…
16 August 2021, 1:33 pm
Na; Mariam Matundu. Jamii imeombwa kumsaidia mtoto faisal ambae amezaliwa na uleamvu kupata bima ya afya na mahitaji mengine muhimu kwa kuwa anaishi katika mazingira magumu. Mtoto faisal anaishi na mama yake huku baba mzazi wa mtoto huyo hajulikani alipo,mwandishi…
12 July 2021, 12:12 pm
Na; Mariam Matundu. Wakazi wa Mkoa wa Dodoma wameombwa kumsaidia Rhoda Nhambali binti mwenye ulemavu wa afya ya akili ili aweze kupata matibabu. Bathromeo Nhambali ambae ni baba mzazi wa binti huyo amesema ulemavu huo ulisababisha kumkatisha masomo binti yake…