Dodoma FM
Dodoma FM
20 October 2025, 11:50 am
Mradi wa Maji wa Miji 28 Geita ni sehemu ya mpango wa kitaifa unaotekelezwa katika mikoa kadhaa ikiwemo Geita Na Mrisho Sadick: Serikali Mkoani Geita imemtaka mkandarasi anayetekeleza mradi wa maji wa miji 28 wa Bilioni 124 kuhakikisha anakamilisha mradi…
18 October 2025, 9:12 pm
Hatua hiyo inalenga kurejesha mamlaka ya kiuchumi mikononi mwa wananchi na kuhakikisha rasilimali za taifa zinawanufaisha Watanzania wengi badala ya wachache. Na Mrisho Sadick: Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha ADA TADEA, Georges Busungu, amesema…
17 October 2025, 10:01 pm
Onyo kwa baadhi ya watu au makundi yanayopanga kufanya maandamano au kuchochea machafuko kabla au baada ya uchaguzi Na Mrisho Sadick – Geita Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia chama cha Makini Coaster Kibonde ametoa wito kwa…
17 October 2025, 11:25 am
Karibu kusikiliza makala maalumu iitwayo Mwanamke na Uongozi ambacho kinapewa nguvu na Chama cha waandishi wa habari wanawake nchini (TAMWA) kwa kushirikiana na Storm FM. Muandaaji wa kipindi hiki ni Ester Mabula pamoja na Amon Mwakalobo
16 October 2025, 8:48 am
Ujenzi wa hospitali hiyo ni hatua muhimu katika kupanua wigo wa huduma zinazotolewa na kanisa hilo mjini Katoro. Na Mrisho Sadick: Kanisa la EAGT Nazareth Stamico lililopo katika mji wa Katoro wilayani Geita limepanga kuanzisha ujenzi wa Hospitali ya kisasa…
15 October 2025, 3:07 pm
Ngombalemwiru ameeleza kuwa serikali atakayoiunda itaweka mfumo rafiki wa huduma za afya utakaolenga utu na heshima ya binadamu. Na Mrisho Sadick: Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Wakulima Tanzania (AAFP) Kunje Ngombalemwiru ameahidi kuondoa kabisa…
14 October 2025, 12:36 pm
Hali hiyo imekuwa ikisababisha usumbufu mkubwa kwa wakulima na wafanyabiashara hasa msimu wa masika. Na Victor Chigwada. Wananchi wa vitongoji vya Mugu na Mjiha, vilivyopo Kata ya Idifu, Wilaya ya Chamwino, wameiomba serikali kujenga daraja katika eneo la Nyika, ambalo…
11 October 2025, 9:59 pm
Ushindi huo unaifanya Geita Gold kuanza msimu mpya wa Championship kwa alama tatu muhimu, huku ikionesha dhamira ya wazi ya kurejea katika Ligi Kuu Na Mrisho Sadick: Timu ya Geita Gold FC imeanza kwa kishindo safari yake ya kutafuta kurejea…
8 October 2025, 6:07 pm
Hifadhi hiyo inajivunia kuwa na fukwe za mazalia ya samaki zenye urefu wa zaidi ya kilometa 150 hali ambayo inakifanya kisiwa hicho kuwa za kipekee Na Mrisho Sadick: Idadi ya watalii wanaotembelea Hifadhi ya Taifa ya Kisiwa cha Rubondo kilichopo…
October 7, 2025, 7:48 pm
Na Oscar Mwakipesile Katika semina iliyoandaliwa na Butiama FM siku ya pili tangu kuanza kwa semina hiyo wamefundishwa namna bora ya kuandika habari zinazoweza kuwekwa katika mtandao wa portal ili kuwawezesha kuwa na uelewa juu ya umuhimu wa kuandika habari…