Miundombinu
5 May 2021, 11:09 am
wananchi wahimizwa kutunza miundombinu ya maji na barabara
Na; Thadei Tesha Wananchi jijini Dodoma wametakiwa kuendelea kutunza miundombinu ya maji na barabara ili iweze kutumika kwa muda mrefu kama ilivyokusudiwa. Wito huo umetolewa na wenyeviti wa mitaa ya Kiwanja cha Ndege Bw.Ignas Rufyadira na Bi.Zena Chiuja ambaye ni…
5 May 2021, 10:41 am
Kamati ya kudumu ya bunge yaridhishwa na utekelezwaji wa miradi Dodoma
Na; Mindi Joseph Kamati ya kudumu ya Bunge ya kilimo,Mifugo na Maji imeridhishwa na utekelezaji wa miradi ya maji Mzakwe jijini Dodoma na Buigiri Wilayani Chamwino inayotajwa kupunguza adha ya maji kwa wananchi. Akizungumza katika ziara hiyo,Mwenyekiti wa kamati ya…
4 May 2021, 10:22 am
RUWASA kutatua kero ya maji katika vijiji vya Msembeta, Chigongwe, Nala, na Luga…
Na; Selemani kodima Wakala wa Usambazaji Maji na Usafi wa Mazingira Vijijini wilaya ya Dodoma umesema una mpango wa kumaliza changamoto ya maji katika maeneo ya Msembeta,Chigongwe ,Nala pamoja na Lugala kwa kutoa maji bonde la Mzakwe . Hayo yamesemwa…
29 April 2021, 1:15 pm
Serikali yajipanga kuondoa mgao wa maji Nchini
Na;Yussuph Hans Serikali imesema inaendelea kujipanga kuhakikisha inaondoa adha ya mgao wa Maji kwa Wananchi katika maeneo mbalimbali hapa Nchini. Hayo yamebainishwa leo Bungeni na Naibu Waziri wa Maji Mh MarryPrisca Mahundi wakati akijibu swali la Mbunge wa Ndanda Mh…
22 April 2021, 11:25 am
Mlowa Bwawani kufikisha huduma ya maji katika maeneo yake ambayo hayajafikiwa
Na; Benard Filbert Kufuatia kukamilika kwa marekebisho ya mradi wa maji katika Kata ya Mlowa Bwawani Wilayani Chamwino, uongozi wa Kata umejipanga kufikisha huduma hiyo kwenye maeneo ambayo hayajafikiwa. Hayo yanajiri kufuati miezi kadhaa iliyopita mradi huo kushindwa kufanya kazi…
21 April 2021, 8:29 am
Hombolo walalamikia changamoto ya barabara inayopelekea vyombo vya usafiri kuhar…
Na ;Victor Chigwada Wananchi wa Kata ya Hombolo Makulu Wilaya ya Dodoma mjini wametoa kilio chao juu ya changamoto ya barabara ambayo huwa inaathilika kwa kipindi cha mvua na kusababisha kero kwa watumiaji Taswira ya habari imezungumza na Mwajuma Rashidi…
14 April 2021, 12:04 pm
KIBAWASA kutekeleza mradi wa maji Kibaigwa
Na; Benard Filbert. Imeelezwa kuwa endapo mradi mpya wa maji ambao unatekelezwa katika mji mdogo wa Kibaigwa utakamilika utasiaidia kuondoa tatizo la maji kwa wakazi wa eneo hilo. Hayo yameelezwa na afisa uhusiano kutoka mamlaka ya maji Kibaigwa Water Sanitation…
13 April 2021, 1:16 pm
DUWASA kukabiliana na wezi wa maji Dodoma
Na; Mindi Joseph Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Dk Binilith Mahenge ameitaka Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira( Duwasa) kukabiliana na wezi wa maji na uvujifu wa maji pamoja na kuwachukulia hatua watumishi wa Duwasa wasio waminifu wanaochangia hasara…
13 April 2021, 8:56 am
Mlebe walia na ukosefu wa maji na umeme kijijini hapo
Na ;Victor Chigwada. Wakazi wa kijiji cha Mlebe Wilaya ya Chamwino wametoa shukrani kwa wakala wa usimamizi wa barabarani vijijini TARURA kwakupunguza adha ya ubovu wa barabara kijijini hapo. Wakizungumza na Taswira ya habari Wananchi hao wamesema kuwa wanaishukuru TARULA…
6 April 2021, 12:52 pm
Wananchi waaswa kuto tumia shughuli za kibinadamu kuharibu barabara.
Na; Mariam Matundu. Barabara ya Makanda Kintinku iliyokuwa imepoteza mawasiliano tangu mwezi decemba mwaka jana imeanza kufanyiwa ukarabati ambapo hatua mbalimbali za awali zinaendelea. Akizungumza na tawsira ya habari manager wa Tarura wilaya ya Manyoni bw. Yose Mushi amesema zoezi…