Dodoma FM
Dodoma FM
15 December 2025, 10:22 pm
Kwa sasa mpira ni ajira hivyo vijana mcheze kwa malengo kwa kujituma na nidhamu ili mfikie malengo yenu ya kucheza mbali zaidi, Lakini pia nikupongeze sana Mkurugenzi wa Hospitali ya Barikiwa kwa kutekeleza azma ya serikiali kuhusu Ushirikiano na sekta…
1 December 2025, 12:21
Wadau mbalimbali Wilayani Kasulu Mkoani Kigoma wameshauriwa kuendelea kujitokeza na kuwasaidia watoto wenye uhitaji Na Hagai Ruyagila Umoja wa Kikundi cha Watendaji wa Serikali za Mitaa (MEOS) cha Halmashauri ya Mji Kasulu mkoani Kigoma kimetoa msaada wa mahitaji mbalimbali kwa…
24 November 2025, 11:41 am
Mahitaji ya damu katika Hospitali ya wilaya yetu ni makubwa ukilinganisha na upatikanaji wake, hivyo natoa wito kwa jamii kujitokeza kuchangia damu ili kuokoa maisha ya watanzania wenzetu. ” Peter Shimba Mratibu wa damu salama hospitali ya wilaya ya Maswa…
11 November 2025, 11:23 am
“Hakuna maendeleo ya vitu bila watu ndiyo maana sasa duniani kote wanapambana sana kuleta ustawi wa afya za watu wakijuwa kabisa kwamba watu wakiwa na afya imara hata uchumi nao utakuwa kwa kasi kwa sababu tu wananchi wake wako na…
8 October 2025, 8:48 am
Niwapongeze sana Hospitali ya Barikiwa kwa kutekeleza azima ya Serikali ya kusogeza huduma kwa wananchi hivyo niwasihi wananchi wa Maswa na viunga vyake waitumie vyema fulsa hii ya Ujio wa Kambi ya Madaktari Bingwa ” Dkt Vicent Naano Anney Mkuu…
26 September 2025, 11:37 am
Shirika la CBIDO lenye makao makuu yake wilayani Karagwe limeendelea na mradi wake wa Pamoja unaolenga kuzuia ulemavu na kutoa huduma za utengamao kwa watu wenye ulemavu kwa kata za Kyaka na Kilimilile Wilayani Missenyi mkoani Kagera na mara hii…
September 23, 2025, 1:01 pm
Mkuu wa wilaya ya Arusha Mhe. Joseph Modest Mkude amesema kuwa Serikali ya awamu ya sita imeendelea kuwainua watu kiuchumi kupitia miradi mbalimbali ya maendeleo ikiwemo mradi wa TASAF, ambapo takribani walengwa 4,877 wamenufaika na mradi huo jijini Arusha kwa…
22 September 2025, 7:14 pm
Ujio wa kambi ya madaktari bingwa katika Hospitali ya Wilaya ya Maswa utasaidia kusogeza huduma kwa wananchi ambazo walitakiwa wazipate katika Hospitali kubwa za rufaa na kanda lakini kwa sasa zinatolewa na Hospitali yetu ya Wilaya ” Dc Maswa Dkt…
September 1, 2025, 6:23 pm
Wananchi na wamiliki wa maduka wilayani Bukoba mkoani Kagera wametakiwa kufanya usafi wa jumla kila jumamosi ya mwisho wa mwezi ili kuepukana na magonjwa ya mlipuko kama kipindupindu na kutunza taswira nzuri ya wilaya hiyo. Na Avitus Kyaruzi Mkuu wa…
August 28, 2025, 11:42 pm
Askari wa jeshi la akiba (mgambo) mkoani Kagera wametakiwa kuwa malinzi wa raia na mali zao na kuwa wazalendo katika kulilinda taifa lao dhidi ya vitendo vya uhalifu. Na Anold Deogratias Mkuu wa wilaya ya Bukoba mkoani Kagera Erasto Yohana…