Dodoma FM

Chamwino

1 December 2025, 12:21

MEOs watoa msaada kwa watoto wenye uhitaji Kasulu

Wadau mbalimbali Wilayani Kasulu Mkoani Kigoma wameshauriwa kuendelea kujitokeza na kuwasaidia watoto wenye uhitaji Na Hagai Ruyagila Umoja wa Kikundi cha Watendaji wa Serikali za Mitaa (MEOS) cha Halmashauri ya Mji Kasulu mkoani Kigoma kimetoa msaada wa mahitaji mbalimbali kwa…

11 November 2025, 11:23 am

DC Anney watumishi wa afya fanyeni kazi kwa weledi

“Hakuna maendeleo ya vitu bila watu ndiyo maana sasa duniani kote wanapambana sana kuleta ustawi wa afya za watu wakijuwa kabisa kwamba watu wakiwa na afya imara hata uchumi nao utakuwa kwa kasi kwa sababu tu wananchi wake wako na…

26 September 2025, 11:37 am

CBIDO yatoa msaada wa mashine ya mionzi Missenyi

Shirika la CBIDO lenye makao makuu yake wilayani Karagwe limeendelea na mradi wake wa Pamoja unaolenga kuzuia ulemavu na kutoa huduma za utengamao kwa watu wenye ulemavu kwa kata za Kyaka na Kilimilile Wilayani Missenyi mkoani Kagera na mara hii…

September 23, 2025, 1:01 pm

Serikali yawainua wananchi kiuchumi kupitia mradi wa TASAF

Mkuu wa wilaya ya Arusha Mhe. Joseph Modest Mkude amesema kuwa Serikali ya awamu ya sita imeendelea kuwainua watu kiuchumi kupitia miradi mbalimbali ya maendeleo ikiwemo mradi wa TASAF, ambapo takribani walengwa 4,877 wamenufaika na mradi huo jijini Arusha kwa…