uzinduzi
27 September 2023, 4:22 pm
Usimamizi mbovu wapelekea biashara nyingi kufa
Usimamizi wa biashara nyingi umekuwa ni changamoto na sababu kubwa inayochangia kuanguka kwa asilimia kubwa ya biashara hizo. Na Mindi Joseph. Usimamizi wa Biashara kwa wafanyabiasha imetajwa kuwa bado ni changamoto inayochangia kuanguka kwa asilimia kubwa ya biashara. Hayo yamebainishwa…
14 June 2023, 4:53 pm
Dodoma: Wafanyabiashara watakiwa kujiunga UBIMIDO
Umoja wa wafanyabiashara waendao mnadani umekuwa na umuhimu mkubwa hususani katika suala la kuwasaidia wafanyabiashara katika kusaidiana kwenye masuala mbalimbali. Na Thadei Tesha Wafanyabiashara jijini Dodoma wametakiwa kujiunga katika umoja wa wafanyabiashara UBIMIDO ili waweze kupata fursa za kujikwamua kiuchumi…
5 May 2023, 4:38 pm
Wafanyabishara Maisha plus waiomba serikali kufanya ukarabati
Baadhi ya wafanyabiashara wanasema kuwa viongozi hao wamekuwa wakiahidi kupatia ufumbuzi baadhi ya changamoto hizo bila ya kutekeleza ahadi hizo. Na Thadei Tesha. Baadhi ya wafanyabiashara wa matunda na mbogamboga katika soko la maisha plus jijini Dodoma wameiomba serikali kufanya…
31 March 2023, 7:07 pm
Madereva bajaji Jamatini B wajivunia mshikamano wao
Na Thadei Tesha Madereva wa bajaji katika kituo cha Jamatini B jijini Dodoma wamesema kufanya kazi kwa umoja kama kikundi kumewasaidia kupata fursa zaidi kupitia biashara yao. Hapa ni katika kituo cha bajaji cha Jamatini b nafika na kuzungumza na…
29 March 2023, 5:56 pm
Hivi ndivyo hali ilivyo katika eneo la kimbinyiko
Madereva pamoja na wajasiriamali katika eneo la kimbinyiko jijini Dodoma wameiomba serikali kutenga eneo maalum kwa ajili ya kupakia abiria kutokana na eneo hilo. Na Thadei Tesha. Baadhi ya madereva pamoja na wajasiriamali katika eneo la kimbinyiko jijini Dodoma wameiomba…
22 March 2023, 7:02 pm
Vijana waomba viongozi kutembelea maeneo yao ya kazi
Baadhi ya vijana wanaojishughulisha na shughuli ya kuponda kokoto katika mtaa wa kisasa Dodoma wametoa ushauri kwa viongozi mbalimbali kutembelea maeneo yao ya kazi. Na Thadei Tesha. Baadhi ya vijana wanaojishughulisha na shughuli ya kuponda kokoto katika mtaa wa kisasa…
20 March 2023, 5:35 pm
Wananchi wahofia bidhaa kupanda bei mwezi mtukufu
Baadhi ya wananchi jijini dodoma wameeleza namna hali ilivyo juu ya upatikanaji wa bidhaa za vyakula masokoni kuelekea mwezi wa ramadhani. Na Thadei Tesha. Kuelekea maandalizi ya mwezi mtukufu wa ramadhani baadhi ya wananchi jijini dodoma wameeleza namna hali ilivyo…
16 March 2023, 8:36 am
Wafanyabiashara Sabasaba walia na ugumu wa biashara
Awali daldala za jiji la dodoma zilikuwa na kituo kikuu katika soko la sabasaba kabla ya kuhamishiwa kituo katika soko jipya la machinga complex. Na Thadei Tesha. Zikiwa zimepita wiki chache tangu kuhamishwa kwa daldala katika eneo la sabsaba jijini…
13 March 2023, 11:37 am
Wamiliki wa kumbi za starehe watakiwa kuzingatia sheria
Hii inajiri kufuatia kuwepo kwa baadhi ya malalamiko ya wanachi ya jijini la dodoma kuhusu baadhi ya kumbi za starehe ambazo nyingi zipo katika makazi ya watu kupiga mziki kwa sauti ya juu na kusasbabisha kero kwa wanachi. Na Fred…
10 March 2023, 4:10 pm
Biashara ya matunda na mbongamboga kuwa mkombozi wa kiuchumi
Biashara ya matunda na mbongamboga katika soko la kizota imetajwa kuwa mkombozi wa kiuchumi kwa baadhi ya wakina mama. Na Thadei Tesha. Biashara ya matunda na mbongamboga katika soko la kizota imetajwa kuwa mkombozi wa kiuchumi kwa baadhi ya wakina…