Dodoma FM

uzinduzi

20 February 2023, 11:18 am

Kusajili alama ya bishara kumetajwa kuwa na umuhimu mkubwa

Kusajili alama ya bishara kumetajwa kuwa na umuhimu mkubwa katika kusaidia kuchangia ongezeko la wafanyabiashara kujitangaza zaidi na kukuza biashara zao. Na Thadei Tesha. Hii ni kwa mujibu wa baadhi ya wafanyabiashara jijini dodoma ambapo wamesema upo umuhimu mkubwa kwa…

20 December 2021, 1:53 pm

Ujenzi wa eneo la machinga wazinduliwa jijini Dodoma

Na; Thadey Tesha. Mkuu wa mkoa wa Dodoma Mh Antony Mtaka Amezindua ujenzi wa eneo la wafanyabiashara wadogo maarufu kama wamachinga lililopo Bahi Road lenye uwezo wa kuchukua wamachinga zaidi ya 3800. Akizungumza katika uzinduzi huo mh Mtaka amesema kukamilika…