Dodoma FM

TAMISEMI

7 November 2023, 4:36 pm

Wananchi watakiwa kuacha matumizi ya maziwa mabichi

Baadhi ya watu wanaokunywa maziwa mabichi huenda wasielewe kikamilifu hatari na huenda wasijue uwezekano wa kupata ugonjwa kutokana na bakteria katika maziwa . Na Aisha Alim. Bodi ya maziwa nchini imetoa tahadhari kwa wananchi juu ya kuepuka matumizi ya maziwa…

30 August 2023, 4:58 pm

Jamii yatakiwa kujenga mazoea ya kutumia maziwa

Daktari Malaki amesema kuwa maziwa hayasaidii kusafisha mfumo wa hewa  kama ambavyo baadhi ya watu wamekuwa wakiamini. Na Aisha Alim. Jamii imeshauriwa kujenga mazoea ya kunywa maziwa mara kwa mara ili kuimarisha afya zao kutokana na maziwa hayo kuwa na…