Kilimo,
13 August 2021, 12:24 pm
Wakulima wilayani Kondoa washauriwa kuhifadhi mazao yao kwa njia ya asili na kis…
Na; Benard Filbert. Ikiwa ni wakati wa mavuno wakulima katika Wilaya ya Kondoa Mkoani Dodoma wameshauriwa kuhifadhi mazao yao kwa njia za asili na kitaalamu ili kuepuka kupatwa na sumu kuvu ambayo ni hatari kiafya. Ushauri huo umetolewa na mkuu…
10 August 2021, 12:37 pm
Mifumo duni ya kilimo cha mtama yapelekea uzalishaji kuwa hafifu wilayani Kongwa
Na; Shani Nicolaus . Imeelezwa kuwa kutokuzingatia upandaji wa mbegu bora za mtama kwa baadhi ya wakulima katika wilaya ya Kongwa inachangia uzalishaji duni wa zao hilo hivyo kurudisha nyuma maendeleo ya wakulima. Hayo yamesemwa na afisa kilimo pamoja na…
9 August 2021, 12:44 pm
KILIMO HIMILIVU NGUZO YA UZALISHAJI KWA WAKULIMA
Na,Mhindi Joseph Dodoma Tanzania Tanzania ni Miongoni mwa nchi inayokabiliwa na mabadiliko ya tabianchi kwani Asilimia 1 ya pato la Taifa inatajwa kupotea kila mwaka kutokana na mabadiliko ya tabia nchi huku ikikadiriwa kuwa watu milioni 1.6 wanaoishi ukanda wa…
3 August 2021, 1:55 pm
Wakulima wa korosho Masinyeti walalamikia upuliziaji dawa kuwa hafifu
Na; Selemani Kodima. Licha ya Serikali ya wilaya ya Kongwa kutoa kipaumbele katika kilimo cha korosho lakini inaelezwa kuwa upuliziaji wa dawa ni changamoto kwa baadhi ya wakulima katika kijiji cha Masinyeti hali inayosababisha mikorosho mingi kuduma. Akizungumza na Taswira…
2 August 2021, 1:12 pm
Wachambuzi wa sera watarajia kukutana na wadau wa kilimo
Na; Mariam Matundu. Kikundi cha wachambuzi wa sera na Wadau wa kilimo wanatarajia kukutana katika kongamano la saba la mwaka kujadili masuala mbalimbali yenye lengo la kuongeza tija katika sekta hiyo. Akizungumza na waandishi wa habari mwenyekiti wa kikundi cha…
2 August 2021, 12:37 pm
Jumla ya wakulima 4,099 wanufaika na mradi wa kilimo himilivu cha zao la mtama.
Na;Mindi Joseph. Jumla ya wakulima 4,099 kati yao asilimia 51 wanawake na 49 wanaume wamenufainka na Mradi wa kilimo himilivu cha zao la Mtama kutoka shirika la Farm Africa wilayani Kongwa Mkoani Dodoma mradi unaotekelezwa nchini Tanzania. Katika wilaya ya…
26 July 2021, 8:47 am
Wakulima wa zao la Mtama mkoani Dodoma wanufaika na masoko ya uhakika
MAKALA Na;Mhindi Joseph. Mtama ni miongoni mwa mazao ya nafaka yanayolimwa kwa wingi nchini na duniani kote. Zao hili hulimwa kwa ajili ya chakula na biashara na lina stahimili hali ya ukame likilinganishwa na mazao mengine ya nafaka. Kutokana na…
23 July 2021, 12:58 pm
Wanasayansi watakiwa kuunganisha nguvu na serikali ili kuwakomboa wakulima
Na;Mindi Joseph. Waziri Mkuu mstaafu wa Tanzania Mh. Mizengo Pinda amesema wanasanyansi wanatakiwa kuunganisha nguvu na serikali ili kusaidia kuwakomboa wakulima nchini. Akizungumza katika ufunguzi wa wiki ya pass Trust Jijini Dodoma Mh Mizengo pinda amesema kilimo ni sanyasi hivyo…
26 May 2021, 1:15 pm
TARI watoa ushauri kilimo cha mihogo
Na; James Justine WATAALAMU kutoka Taasisi ya Utafiti wa Kilimo Tanzania (TARI), wamewashauri wakulima wa zao la muhogo kufuata ushauri wa kitaalam kwa ajili ya kupata mazao bora na yenye tija. Ushauri huo umetolewa na Mtafiti wa Mazao ya Mihogo…
7 May 2021, 12:42 pm
Vijana nchini washauriwa kujihusisha na shughuli za kilimo
Na; FREDY CHETI . vijana nchini wameshauriwa kujihusisha na shughuli za kilimo ili waweze kujiajiri na kuendesha maisha yao. Wito huo umetolewa na Bi. Lucy Madala mtaalamu wa kilimo kutoka chuo kikuu cha kilimo (SUA) wakati akizungumza…