Dodoma FM

Kilimo,

21 April 2021, 7:52 am

Wakulima washauriwa kutumia njia bora za kuhifadhi mazao

Na ;Thadei Tesha. Wakulima wameshauriwa kutumia njia bora za uhifadhi wa mazao ili kuhakikisha mazao yao yanadumu kwa muda mrefu bila ya kuharibika. Akizungumza na taswira ya habari afisa kilimo wa jiji la Dodoma Bi.Gloria Woisso amebainisha njia bora za…

14 April 2021, 1:09 pm

Serikali kukamilisha miradi ya kilimo iliyo anzisha

Na; Selemani Kodima Wizara ya kilimo imesema itaendelea kujikita zaidi kwenye kipaumbele cha kufanya tathimini na kukamilisha miradi ya umwagiliaji iliyopo ikiwemo kuangalia ufanisi wake na kukamilishi miradi ya maji ambayo wameshaianza. Hayo yamesemwa leo bungeni na Naibu waziri wa…

10 December 2020, 2:33 pm

Uhaba wa mbegu za mihogo wawakatisha tamaa wakulima

Na,Mindi Joseph, Dodoma. Imeelezwa kuwa gharama kubwa za upatikanaji wa mbegu za zao la mihogo Mkoani Dodoma imechangia baadhi ya wakulima kukata tamaa kulima zao hilo.Wakizungumza na Taswira ya habari baadhi ya wakulima kutoka Hombolo Bwawani Mkoani Dodoma wamebainisha kuwa…