Dodoma FM

Kilimo,

25 October 2021, 11:36 am

Mbegu ya Alizeti kuuzwa kilo moja kwa shilingi 3500/=

Na; Mariam Kasawa Serikali imesema kilo moja ya mbegu bora ya alizeti itauzwa kwa Sh.3,500 kwa wakulima ili kuinua kilimo hicho na kukabiliana na tatizo la upungufu wa mafuta ya kula nchini. Waziri wa Kilimo, Pro.Adolf Mkenda, aliyasema hayo kwenye…

7 October 2021, 11:59 am

Tume ya Taifa ya umwagiliaji yatarajia kutoa elimu kwa wakulima

Na;Mindi Joseph. Tume ya Taifa ya Umwagiliaji inatarajia kuanza kampeni mwezi huu ya kutoa elimu kwa wakulima kuchangia ada kwa ajili ya kuendeleza kilimo cha umwagiliaji pamoja na kutatua changamoto ya skimu mbalimbali Nchini. Hayo yanajiri wakati Tanzania inakadiriwa kuwa…