Kilimo,
1 November 2021, 12:27 pm
Wakazi wa Farkwa waelimishwa juu ya uhifadhi sahihi wa mazao ya chakula
Na; Selemani Kodima. Uongozi wa kijiji cha Farakwa wilayani Chemba umesema unaendelea kutoka elimu kwa wananchi wake juu ya umuhimu wa matumizi sahihi ya chakula na uhifadhi wa mazao . Hayo yamesemwa na mwenyekiti wa kijiji cha Farakwa Bw Costa…
28 October 2021, 11:17 am
Viongozi wa skimu za umwagiliaji wametakiwa kusimamia zoezi la kutunisha mfuko w…
Na;Mindi Joseph. Mhandisi wa Umwagiliaji amewataka viongozi katika Skimu za Umwagiliaji kusimamia kikamilifu zoezi la ukusanyaji ada na tozo kwa lengo la kutunisha mfuko wa Umwagiliaji. Akizungumza na Taswira ya habari kutoka Mkoani Iringa Mhandisi wa Umwagiliaji Onesmo Kahoggo amesema…
25 October 2021, 11:36 am
Mbegu ya Alizeti kuuzwa kilo moja kwa shilingi 3500/=
Na; Mariam Kasawa Serikali imesema kilo moja ya mbegu bora ya alizeti itauzwa kwa Sh.3,500 kwa wakulima ili kuinua kilimo hicho na kukabiliana na tatizo la upungufu wa mafuta ya kula nchini. Waziri wa Kilimo, Pro.Adolf Mkenda, aliyasema hayo kwenye…
21 October 2021, 1:49 pm
Serikali ya Tanzania yaendelea kuimarisha ushirikiano na nchi jirani ikiwemo ka…
Na; Selemani Kodima. Serikali ya Tanzania imeendelea na juhudi zake za kuimarisha ushirikiano na nchi jirani ikiwemo Burundi ambapo pamoja na mambo mengine imekusudia kuimarisha ushirikiano katika sekta mbalimbali ikiwemo sekta ya kilimo. Kufuatia ushirikiano huo Waziri wa kilimo Mhe…
20 October 2021, 12:08 pm
Waziri wa kilimo Prof. Adolf Mkenda atembelea kiwanda cha mbolea cha FOMI nchini…
Na; Selemani Kodima. Waziri wa Kilimo Mh. Prof Adolf Mkenda ameendelea na Ziara yake nchini Burundia ambapo amefanya mazungumzo na Menejimenti ya kiwanda cha Mbolea cha FOMI ambacho kupitia kampuni yake ya ITRACOM imeanza ujenzi wa kiwanda cha mbolea Jijini…
13 October 2021, 1:50 pm
Wakulima jijini Dodoma waahidi kulipa asilimia 5% ya wastani wa mavuno kwa mwaka
Na;Mindi Joseph . Wakulima Jijini Dodoma wameahidi kutekeleza ulipaji ada ya asilimia tano 5% ya wastani wa mavuno kwa msimu wa mwaka kwa hekari katika kuendelea kukuza kilimo cha umwagiliaji Nchini. Taswira ya habari imezungumza na wakulima Wilayani bahi ambapo…
7 October 2021, 11:59 am
Tume ya Taifa ya umwagiliaji yatarajia kutoa elimu kwa wakulima
Na;Mindi Joseph. Tume ya Taifa ya Umwagiliaji inatarajia kuanza kampeni mwezi huu ya kutoa elimu kwa wakulima kuchangia ada kwa ajili ya kuendeleza kilimo cha umwagiliaji pamoja na kutatua changamoto ya skimu mbalimbali Nchini. Hayo yanajiri wakati Tanzania inakadiriwa kuwa…
1 October 2021, 12:20 pm
Mfumo dume unavyo waathiri wanawake katika uzalishaji wa mazao wilayani Bahi
Mwandishi Mhindi Joseph. Mfumo Dume ni matokeo ya dhana za kurithi, imani za kidini, mila na tamaduni ambazo zinamkandamiza mwanamke katika uzalishaji wa mazao. Mchango wa wanawake katika uhakika wa upatikanaji wa chakula na lishe ni mkubwa kwani asilimia 72…
30 August 2021, 1:23 pm
Uzalishaji wa sukari nchini utatoa fursa kwa wakulima wa miwa na ajira kwa vijan…
Na;Mindi Joseph. Waziri wa Kilimo Prof. Adolf Mkenda amesema hatatoa kibali cha kuingiza sukari nchini kufuatia kuua ajira kwa watazania na kudidimiza uzalishaji wa miwa kwa wakulima Nchini. Akizungumza leo Jijini Dodoma katika uzinduzi wa matokeo ya sensa ya kilimo…
23 August 2021, 1:26 pm
Ushirikishwaji wa wanawake katika uzalishaji mazao waongezeka kwa asilimia 70 Do…
Na;Mindi Joseph . Ushirikishwaji wa wanawake katika uzalishaji wa mazao kwenye sekta ya kilimo umetajwa kuongezeka kutoka asilimia 10 hadi 70 Mkoani Dodoma. Akizungumza na taswira ya habari afisa kilimo kata ya kigwe wilayani Bahi Bw,Dominica Sabangi Afisa kilimo halmashauri…