Utamaduni
16 Agosti 2024, 22:42
Naweni mikono, tunza mazingira kuepuka maambukizi ya ugonjwa wa nyani
Wakati serikali ikiendelea na mapambano ya ugonjwa wa nyani ulizuka katika baafhi ya nchi ikiwemo zile za jumuiya ya Afrika mashariki wananchi wanapaswa kuunga jitihada hizo na kuchukua tahadhali. Na Hobokela Lwinga Wananchi mkoani Mbeya wametakiwa kuchukua fahadhari dhidi ya…
13/08/2024, 16:36
Wawekezaji watakiwa kufanya tathmini ya athari kwa mazingira
Tathmini ya athari kwa mazinngira na jamii inajumuisha tathmini mbalimbali, kuanzia uchanganuzi wa bioanuwai na ubora wa maji hadi athari za matumizi ya ardhi na jamii ya wenyeji wa eneo husika. Na Mariam Kasawa.Wawekezaji wametakiwa kufanya tathmini ya athari kwa…
12/08/2024, 15:51
Taka za kielektroniki ni fursa na ajira
Shirika la Kazi Duniani, ILO linasema licha ya uzalishaji mkubwa wa taka hizo za kielektroniki ni asilimia 20 tu ya tani hizo za kielektroniki ndio hurejelezwa katika mazingira rasmi. Na Mariam Kasawa.Inaelezwa kuwa taka za kieletroniki zinazo zalishwa na kutupwa…
05/08/2024, 17:05
Utupaji taka ovyo unavyo haribu mazingira
Wananchi wanapaswa kuendelea kutunza mazingira kwa kutotupa taka ovyo, kupanda miti ili kuifanya dunia kuwa mahali salama pa kuishi. Na Mariam Kasawa.Utupaji wa taka ovyo unatajwa kuharibu mazingira kwa kiasi kikubwa kwa kusababisha taka nyingi kusambaa ovyo. Jiji ya Dodoma…
02/08/2024, 17:45
Taka rejeshi zatajwa kuwanufaisha kiuchumi baadhi ya wananchi
Kumekuwa na marundo mbalimbali ya taka kama chupa za plastiki, makaratasi, chuma, chupa, taka ambazo zinaweza kurejeleshwa na kutumika katka matumizi mengine mbadala na zikaleta faida. Na Mariam Kasawa.Wananchi wametakiwa kutambua kuwa taka rejeshi zikitumika ipasavyo zinaweza kusaidia watu wengi…
31/07/2024, 18:22
Kampeni za usafi zawahamasisha wananchi kusafisha mazingira Dodoma
Wananchi wametakiwa kutii sheria bila shuruti kwa sababu sheria ndogo ya usafi katika Jiji la Dodoma inasema mtu asipojitokeza kwenye usafi, asipofanya usafi kwenye eneo lake la makazi, taasisi na biashara, faini yake ni kati ya shilingi 50,000-200,000 au kifungo…
30/07/2024, 19:24
Mradi mkubwa wa mapumziko unaotarajiwa kujengwa katika mtaa wa Swaswa
Yussuph Hassani amezungumza na mwenyekiti wa mtaa huo juu ya mradi wa eneo hilo. Na Yussuph Hassan. Tupo mtaa wa Swaswa leo mwenyekiti wa mtaa huo Bw. Charles Nyuma anazungungumzia mradi wa mapumziko ambao unatarajiwa kujengwa katika eneo hilo.
22/07/2024, 18:14
Klabu za mazingira zawajenga wanafunzi kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi
Kuanzisha klabu ya mazingira ni rahisi, wanahitajika walimu ambao watakuwa walezi wa klabu pamoja na wanafunzi ambao wanapenda mazingira . Na Mariam Kasawa. Klabu za mazingira katika shule za msingi na sekondari zinatajwa kuwafundisha wanafunzi namna ya kukabiliana na mabadiliko…
19/07/2024, 17:27
Jamii yakosa elimu ya kutosha juu ya utanganishaji wa taka
Ili kupata matokeo mazuri ni lazima kuweka misingi ya utekelezaji ikiwa ni pamoja ushirikishwaji wa umma, utekelezaji wa sheria na makubaliano kwa wadau mbalimbali wanaojihusisha na sekta ama teknolojia ya urejelezaji taka. Na Mariam Kasawa.Inaelezwa kuwa Mazingira safi ni kitovu…
18/07/2024, 15:19
Wasomi watakiwa kuwa mfano bora utunzaji wa mazingira
Vijana ni nguvu kazi ya taifa hivyo wanatakiwa kutambua wajibu wao katika kutunza na kuhifadhi mazingira pia kuwa mabalozi wazuri wa mazingira. Na Mariam KasawaVijana wa vyuo vikuu wametakiwa kutunza mazingira kwa kufanya shughuli mbalimbali ikiwemo upandaji miti na uanzishaji…