Radio Tadio

Uhuru

4 November 2024, 19:22

Wasioona waoana, wapata mtoto anayeona Mbeya

Unawaza ukadhani ni simulizi lakini hii habari ya kwel kwa wanandoa wenye ulemavu wa kutoona kuamua kuishi pamoja. Na Ezekiel Kamanga Upendo Tebela(37)na mumewe Mwakifumbwa(52) wakazi wa Mbalizi wote ni vipofu waliamua kuoana mwaka 2021 na wamejaliwa kupata mtoto wa…

25 October 2024, 8:48 pm

TRA Manyara yavuka lengo la ukusanyaji kodi

Mamlaka ya mapato TanzaniaTRA mkoa wa Manyara  Kwa mwaka 2023,2024 wamefanikiwa kuvuka lengo   kwa kukusanya kodi kwa asilimia  miamoja na kumi na moja   na hii imetokana na baada ya kuwafikia watu kwa kutoa elimu . Na Mzidalfa Zaid Mamlaka ya…

20 October 2024, 19:54

Vijana watakiwa kuwa wazalendo kwa taifa lao

Taifa lolote linategemea nguvu ya vijana hivyo kwa kutambua hilo mamlaka zimekuwa na wajihubwa kuwajenga vijana kuwa wazalendo. Na Kelvin Lameck Aliyewahi kuwa Waziri wa Maliasili na Utalii nchini Tanzania Mh. Lazaro Nyarandu amewataka vijana kuwa wazalendo kwa kufanya mambo…

8 October 2024, 07:40

Kijana anusurika kifo tuhuma za kuiba pikipiki Mbeya

Ili kuondokana na uhalifu kwenye jamii, wananchi wamekuwa wakishauriwa kuwa na bidii ya kufanya kazi. Na Ezekiel Kamanga Kijana mmoja ambaye hajafahamika jina wala makazi amenusurika kifo baada ya kupigwa baada ya kutuhumiwa kuiba pikipiki ya Chama Cha Mapinduzi inayotumiwa…