Radio Tadio

Uhuru

15 Disemba 2024, 11:24 mu

Namtumbuka atahadharisha matumizi mihuri kinyume na utaratibu

Ni kikao kazi kilichoitishwa na Diwani wa kata ya Namtumbuka Al-haji Salumu Lipwelele kwa viongozi wa vijiji waliochaguliwa hivi karibuni chenye lengo la kufahamiana na wakuu wa idara waliopo katika kata ya Namtumbuka ili kurahisisha katika utekelezaji wa majuku yao.…

12 Disemba 2024, 10:27 mu

Mnyachi mguu sawa kuwatumikia wananchi

Wanawake wapatao 78 katika kata ya Mkunwa wamefanikiwa kupata nafasi mbalimbali za uongozi huku Lukia Mnyachi akiwa Mwenyekiti wa Kijiji wa Kwanza na wa pekee katika historia ya kata ya Mkunwa. Na Musa Mtepa Mwenyekiti pekee wa Kijiji wa kike…

25 Novemba 2024, 07:48 mu

Shamsia aongoza kampeni za CUF Mnaida, Mtwara

Hizi ni kampeni za vyama vya siasa ikiwa katika kuelekea kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa unaotarajia kufanyika November 27,2024 kote nchini ambapo hivi sasa vyama vina nadi sera zao kwa wananchi ili waweze kuchaguliwa. Na Musa Mtepa Mbunge wa…