Uhuru
15 Septemba 2025, 5:52 um
Dkt. Lugomela aahidi neema Maswa Mashariki
Nimekuwa serikalini kwa muda mrefu hivyo nina uzoefu wa namna ya kufuatilia na kuzitafutia ufumbuzi changamoto zinazowakabili wananchi wa Jimbo la Maswa Mashariki, ninachoomba wanipe ridhaa ya kwenda kuwasemea huko Bungeni ” Dkt George Lugomela “ Mgombea Ubunge kupitia chama…
15 Septemba 2025, 09:20 mu
CCM Mtwara Mjini yataka mafiga matatu Oktoba 29
CCM Mtwara Mikindani yazindua kampeni Septemba 14, 2025, kwa wagombea ubunge na udiwani. Rehema Sombi ataka mshikamano na ushindi wa “mafiga matatu” – Diwani, Mbunge, Rais. Joel Nannauka na Arif Primji waahidi maendeleo na huduma bora kwa wananchi kupitia sera…
27 Agosti 2025, 11:23 um
Dkt Lugomela arejesha fomu ya Ubunge, ataja vipaumbele vyake
Maswa imekuwa nyuma kimaendeleo kuna mambo hayako sawa ikiwemo suala la changamoto ya zao la pamba ambalo ndio zao kuu la biashara kwa mkoa wetu wa Simiyu lakini inashangaza Bei inaendelea Kushuka kila msimu na wakulima kukopwa pamba yao hivyo…
18 Agosti 2025, 12:57 um
Wanachama CCM Msimbati watishia kujiondoa uanachama
Wanachama zaidi ya 150 wa CCM Msimbati wamelalamikia kuondolewa kwa jina la Rashidi Linkoni aliyeshinda kura za maoni, wakitishia kurudisha kadi zao, huku viongozi wa wilaya wakisisitiza maamuzi ya kamati ya siasa Na Musa Mtepa Zaidi ya wanachama 150 wa…
14 Agosti 2025, 5:26 um
CHAUMMA yaeleza mikakati kuelekea uchaguzi mkuu Oktoba 2025
Chama cha Ukombozi wa Umma siyo chama kigeni, ni chama kikongwe ila kilikuwa kinatambulika zaidi ngazi za Juu lakini kwa sasa tumeamua kukishusha ngazi za chini kabisa kwa wananchi wakitambue na kukipa ridhaa “Gimbi Masaba -Mratibu wa Uchaguzi Chaumma kanda…
28 Julai 2025, 09:55
Tusiwafiche watoto wenye ulemavu-DC Kasulu
Wazazi na walezi wenye watoto wenye ulemavu wameshauriwa kutowafisha watoto wenye mahitaji maalumu kwa kufanya hivyo ni kuwanyima haki zao msingi. Na Hagai Ruyagila Mkuu wa Wilaya ya Kasulu, Kanali Isaac Mwakisu, ametoa wito kwa wazazi na walezi wilayani humo…
18 Julai 2025, 11:08 mu
“Zingatieni sheria na kanuni za uchaguzi”Sesilia Sepanjo
Wasimamizi wa uchaguzi Lindi na Mtwara wamehimizwa kuzingatia Katiba, sheria na kanuni kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025. Mafunzo ya siku tatu yamehitimishwa Mtwara, yakilenga kuwajengea uwezo. Washiriki wameahidi kuwa mabalozi wa elimu hiyo kwa wenzao Na Musa Mtepa Wasimamizi na waratibu…
13 Julai 2025, 15:42 um
Zitto aahidi Mtwara kuwa kitovu cha uchumi wa SADC
Zitto Kabwe wa ACT Wazalendo amewahamasisha wananchi wa Mtwara kushiriki uchaguzi mkuu Oktoba 2025, akisisitiza umuhimu wa kuchagua viongozi wa chama hicho ili kuleta maendeleo. Na Musa Mtepa Kiongozi wa chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe, amewaasa wananchi wa Mtwara…
12 Julai 2025, 13:39 um
Aliyekuwa Diwani Ndumbwe ajitosa ubunge Mtwara Vijijini
Aliyekuwa Diwani wa Kata ya Ndumbwe, Ndugu Abdull Mahupa, amechukua fomu ya kuomba ridhaa ya kugombea ubunge Jimbo la Mtwara Vijijini kupitia CUF. Ametaja afya, miradi ya maendeleo na uboreshaji wa huduma kwa wananchi kuwa vipaumbele vyake Na Musa Mtepa…
25 Juni 2025, 8:24 mu
Marufuku pombe kwa wajawazito
Daktari bingwa wa magonjwa ya akili na afya ya akili Edward Buchee. Picha na Anna Mhina “Mama mjamzito kama anatumia vilevi anaweza kujifungua mtoto wa aina hiyo” Na Anna Mhina Baadhi ya wananchi wa manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wameiomba…