Sera na Sheria
3 Febuari 2023, 3:16 um
Maagizo matano kwa wakuu wa wilaya Tabora
Mkuu wa mkoa wa TABORA Balozi Daktari Batilda Buriani ametoa maagizo matano kwa Wakuu wa wilaya wa mkoa huo likiwemo la kwenda kusimamia masuala ya ulinzi na usalama katika maeneo yao. Maagizo hayo ameyatoa kwenye hafla ya uapisho wa wakuu…
31 Januari 2023, 8:16 mu
Tanzania kupambana na biashara ya usafirishaji binadamu
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Philip Mpango
10 Oktoba 2022, 8:14 mu
TAMCODE Yapinga Adhabu Ya Kifo …Yasema Bora Hukumu Ya Kifungo Cha Maisha
Shirika la Vyombo vya Habari kwa Maendeleo ya Jamii Tanzania (TAMCODE) limetoa wito kwa Majaji kutoa hukumu ya kifungo cha maisha kwa washtakiwa wa mauaji badala ya kifo ili kuokoa watu wasiokuwa na hatia. Akizungumza na Waandishi wa Habari, Mkurugenzi…
26 Septemba 2022, 1:41 um
Ahukumiwa maisha Jela kwa Kumlawiti Mtoto wa miaka 6 Iringa
MAHAKAMA ya wilaya ya Iringa imemuhukumu kifungo cha maisha mtu mmoja Ayubu Kiyanza mwenye umri wa miaka 22 mkazi wa eneo la Don Bosco Manispaa ya Iringa kwa kosa la kumlawiti mtoto mwenye umri wa miaka 6 aliyekuwa akisoma darasa…
6 Septemba 2022, 10:01 mu
Madereva wapata elimu zoezi la ukaguzi magari ya Shule
Polisi Mkoa wa Arusha imefanya ukaguzi wa magari ya shule zaidi ya 150 na kutoa elimu kwa wamiliki wa shule na madereva wa magari hayo, toka maeneo mbalimbali jijini humo. Mkuu wa kikosi cha usalama barabarani mkoa wa Arusha, Mrakibu…
5 Septemba 2022, 5:06 mu
IGP Wambura aonya tabia ya kujichukulia sheria mkononi
Mkuu wa jeshi la polisi nchini (IGP), Camillius Wambura amewaonya wanachi wa wilaya ya Rombo Mkoani Kilimanjaro, kuwacha tabia ya kujilichukulia sheria mkononi kwa kuwaadhibu wahalifu ikiwemo ama kuwaua, na badala yake wawapeleke kwenya vyombo vya sheria. IGP Wambura, ametoa…
21 Aprili 2022, 10:43 mu
Maadhimisho ya muungano kufanyika Dodoma April 26
Na; Selemani Kodima. Serikali imesema kuwa maadhimisho ya miaka 58 ya muungano wa Tanzania yanatarajia kufanyika tarehe 26 April 2022 jijini dodoma ambapo Mgeni Rasmi atakuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh Samia Suluhu Hassan. Taarifa iliyotolewa leo…
27 Aprili 2021, 6:10 mu
Tanzania yaadhimisha miaka 57 ya muungano
Na,Mariam Matundu. Ikiwa Tanzania imeadhimisha miaka 57 ya muungano wa Tanganyika na Zanzibar ,imeelezwa kuwa changamoto 15 kati ya 25 za muungano zimetatuliwa . Hayo yameelezwa na Makamu wa Rais Dr. Philip Mpango wakati akifungua kongamano la maadhimisho ya miaka…