Miundombinu
10 Oktoba 2025, 2:37 um
Utupaji taka ngumu na athari kimazingira
Kurunzi Maalum Utupaji hovyo wa taka ngumu kama plastiki, chupa, matairi na vifaa vya elekroniki unazidi kuwa tatizo kubwa kwa mazingira, taka hizo huchukua muda mrefu sana kuoza, mara nyingi taka hizi huzuia mifereji ya maji, kusababisha mafuriko na kutoa…
9 Oktoba 2025, 21:48
Manyara watakiwa kuongeza thamani ya mbogamboga, mikunde
Wakulima mkoani Manyara wametakiwa kuongeza thamani ya mazao ya mbogamboga na mikunde kwa kutengeneza bidhaa mbalimbali zinazotokana na mazao hayo ili kupata masoko ya uhakika ya ndani na nje ya nchi badala ya kuuza mazao ghafi kwa bei ya chini.…
19/09/2025, 13:49
Jeshi la zimamoto na uokoaji Geita laipongeza Storm FM
Dhamira ya Storm FM ni kuendelea kuwa chombo madhubuti cha mawasiliano kwa jamii kwa kuhakikisha kuwa wananchi wanapata taarifa sahihi elimu ya kujikinga na majanga. Na Mrisho Sadick: Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Mkoa wa Geita leo Septemba 18, 2025,…
04/09/2025, 10:38
Mwenge waridhishwa na mradi wa visima Nyangh’wale
Mwenge wa uhuru ukiwa wilaya ya Nyangh’wale umetembelea, kukagua na kuweka mawe ya msingi kwenye jumla ya miradi 11 yenye thamani ya zaidi ya shilingi bilioni 1. Na: Kale Chongela Mwenge wa uhuru umeridhishwa na ujenzi wa mradi wa visima vitano vya maji katika kata ya Shabaka, halmashauri…
03/09/2025, 09:56
Picha: Mwenge wa uhuru wakabidhiwa Nyangh’wale
Ikumbukwe Mwenge wa uhuru ulipokelewa mkoani Geita Septemba mosi, 2025 ukitokea mkoani Mwanza ambapo umeendelea kupitia miradi mbalimbali ya maendeleo. Na: Kale Chongela Mkuu wa wilaya ya Nyang’hwale Mhe. Grace Kigalame ameupokea Mwenge wa Uhuru kutoka kwa Mkuu wa wilaya…
30/08/2025, 18:22
Geita kuupokea Mwenge wa Uhuru Jumatatu
Mwenge wa Uhuru ukiwa mkoani Geita utatembelea , kukagua , kuzindua kuweka mawe ya msingi jumla ya miradi 61ya maendeleo. Na Kale Chongela: Mkoa wa Geita unatarajia kuupokea Mwenge wa Uhuru kwa mwaka 2025 katika kijiji cha Lwezera Halmashauri ya…
30/08/2025, 18:00
Serikali yatoa hekta 5,000 za hifadhi kwa wananchi Bukombe
Hakuna wananchi wenye uhaba wa maeneo na makazi katika kitongoji cha Idosero baada ya serikali kutoa hekta zaidi ya 5,000. Na Mrisho Sadick: Serikali imetenga zaidi ya hekta 5,600 kutoka maeneo ya hifadhi na kuwagawia wananchi wa Kitongoji cha Idosero…
22/08/2025, 15:27
GGML yaridhia kuwalipa fidia wakazi Nyakabale na Nyamalembo
Hatua hiyo imefikiwa baada ya pande zote kukubaliana kuanza mchakato wa ulipaji fidia kwa wananchi wanaotakiwa kupisha maeneo yanayotumiwa na mgodi huo Na: Ester Mabula Serikali kupitia wizara ya madini imetangaza rasmi kumalizika kwa mgogoro uliodumu kwa zaidi ya miaka…
22 Agosti 2025, 15:18
Wanawake waliovunja ukimya, safari ya Coletha, Zaituni kisiasa
Walizunguka kwa miguu, walikutana na wananchi, wakahamasisha, na walipambana kwa hali na mali kuhakikisha sauti ya mwanamke inasikika katika uongozi wa ngazi ya chini Na Mwanaidi Kopakopa Katika miaka ya karibuni, Tanzania imeanza kushuhudia mwamko mpya wa wanawake kushiriki kikamilifu…
20/08/2025, 20:21
Sakata la TFS na wananchi Lwamgasa limekwisha
Miongoni mwa sababu kubwa za mgogoro huu ni uhaba wa maeneo ya kilimo, hali inayochangiwa na shughuli nyingi za uchimbaji wa madini ya dhahabu. Na Mrisho Sadick: Siku chache baada ya wakazi wa kijiji cha Lwamgasa wilayani Geita kuvamia na…