Radio Tadio

Miundombinu

26 June 2025, 8:47 am

Dereva bajaji Katavi auwawa

Mahali ulipopumzishwa mwili wa Silavius. Picha na Leah Kamala “Ni tukio ambalo haulitegemei linatokea katika utafutaji” Na Leah Kamala Kijana mmoja mwendesha pikipiki ya magurudumu matatu maarufu kama bajaji kata ya Nsemulwa manispaa ya Mpanda mkoani Katavi Silavius Nestory Kameme…

19 June 2025, 18:53 pm

Familia inavyochangia ukuaji wa viongozi wanawake

“Mabadiliko makubwa yameanza kujitokeza ambapo wanawake wameanza kushika nafasi muhimu za uongozi katika nyanja mbalimbali kama siasa, uchumi na hata uongozi katika taasisi za dini.” Na Mwanahamisi Chikambu Katika historia ya jamii nyingi duniani, mwanamke ameonekana kuwa nyuma katika masuala…

18 June 2025, 2:26 pm

Mawakala watoa mabasi saba Geita kwenda Busisi

Kukamilika kwa ujenzi wa daraja la Kigongo Busisi limewakosha watu wengi kwakuwa litaondoa adha ya wananchi kuchelewa kutokana na kusubili vivuko Na Mrisho Sadick: Mawakala wa Mabasi yaendayo mikoani na maeneo mbalimbali ndani ya Mkoa wa Geita wametoa mabasi saba…

14 June 2025, 12:00 pm

Makala kuhusu Huduma za Afya

Huduma za Afya zilivyoboreshwa katika Zahanati ya Bulima iliyopo Wilaya ya Kishapu Mkoa wa Shinyanga baada ya Wananchi Kuibua changamoto za Uhaba wa Watumishi, Masuala ya wagonjwa kuombwa Rushwa na Lugha chafu zilizokuwa zinatolewa na Watoa Huduma kwa Wagonjwa. Baadae…

13 June 2025, 11:05 pm

Waliovunjiwa nyumba zao Isingiro wajengewa mpya

Tukio hili liliwashangaza wengi kwani licha ya mtambo huo kuparamia makazi hayo na kuharibika vibaya hakuna mtu hata mmoja aliyepoteza maisha. Na Mrisho Sadick Familia nne katika kitongoji Cha Isingiro Kata ya Lwamgasa wilayani Geita Mkoani Geita zilizo vunjiwa makazi…

12 June 2025, 3:56 pm

Nyang’hwale yapata hati safi miaka 5 mfululizo

Halmashauri ya wilaya ya Nyang’hwale imeendelea kupata hati safi kutoka kwa mdhibiti na mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali CAG Na Mrisho Sadick: Kaimu mkuu wa mkoa wa Geita ambae ni mkuu wa mkoa wa Kagera Hajat Fatma Mwasa amewataka…

6 June 2025, 5:50 pm

Bilioni 19 kujenga stendi mpya Manispaa ya Geita

Matamanio ya muda mrefu kwa wakazi wa Manispaa ya Geita yakuahidiwa kituo cha kisasa cha mabasi ya abiria huenda yakafanikiwa baada ya Manispaa hiyo kusaini mkataba wa ujenzi. Na Kale Chongela: Halmashauri ya Manispaa ya Geita imesaini mkataba wa ujenzi…

4 June 2025, 15:59

Wanahabari wanawake na rushwa ya ngono

Rushwa ya ngono ndani ya vyombo vya habari, hujumuisha kubadilishana tendo la ngono na ajira, au tendo la ngono na uhakika wa usalama wa kazi na wakati mwingine upendeleo katika kuchapishwa kwa habari. Utafiti uliochapishwa mwaka 2022 na Shirika la…

3 June 2025, 6:27 pm

Vikundi 53 vyapokea mikopo ya milioni 303 Nyang’hwale

Wajasiriamali wilayani Nyang’hwale Mkoani Geita watakiwa kutumia mikopo ya asilimia 10 kukuza biashara zao Na Mrisho Sadick: Serikali wilayani Nyang’hwale Mkoani Geita imelitaka shirika la maendeleo ya viwanda vidogo (SIDO) kuongeza nguvu ya kutoa elimu , ujuzi na utambuzi wa…