Radio Tadio

Miundombinu

18 November 2025, 12:21 pm

Maafisa maendeleo Geita wapewa maagizo mazito

Fursa ya ufugaji wa Samaki kwa kutumia vizimba iliyokuwa haitazamwi sana kwasasa imekuwa kimbilio Na Mrisho Sadick: Serikali Mkoani Geita imewataka maafisa maendeleo kuhakikisha wanakuwa daraja muhimu la kuwakwamua Wananchi kiuchumi kwa kuibua fursa mbalimbali zinazopatikana kwenye maeneo yao ikiwemo…

10 October 2025, 2:37 pm

Utupaji taka ngumu na athari kimazingira

Kurunzi Maalum Utupaji hovyo wa taka ngumu kama plastiki, chupa, matairi na vifaa vya elekroniki unazidi kuwa tatizo kubwa kwa mazingira, taka hizo huchukua muda mrefu sana kuoza, mara nyingi taka hizi huzuia mifereji ya maji, kusababisha mafuriko na kutoa…

19 September 2025, 1:49 pm

Jeshi la zimamoto na uokoaji Geita laipongeza Storm FM

Dhamira ya Storm FM ni kuendelea kuwa chombo madhubuti cha mawasiliano kwa jamii kwa kuhakikisha kuwa wananchi wanapata taarifa sahihi elimu ya kujikinga na majanga. Na Mrisho Sadick: Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Mkoa wa Geita leo Septemba 18, 2025,…

4 September 2025, 10:38 am

Mwenge waridhishwa na mradi wa visima Nyangh’wale

Mwenge wa uhuru ukiwa wilaya ya Nyangh’wale  umetembelea, kukagua na kuweka mawe ya msingi kwenye jumla ya miradi 11 yenye thamani ya zaidi ya shilingi bilioni 1. Na: Kale Chongela Mwenge wa uhuru umeridhishwa na ujenzi wa mradi wa visima vitano vya maji katika kata ya Shabaka, halmashauri…

3 September 2025, 9:56 am

Picha: Mwenge wa uhuru wakabidhiwa Nyangh’wale

Ikumbukwe Mwenge wa uhuru ulipokelewa mkoani Geita Septemba mosi, 2025 ukitokea mkoani Mwanza ambapo umeendelea kupitia miradi mbalimbali ya maendeleo. Na: Kale Chongela Mkuu wa wilaya ya Nyang’hwale  Mhe. Grace  Kigalame  ameupokea Mwenge wa Uhuru  kutoka kwa Mkuu wa wilaya…

30 August 2025, 6:22 pm

Geita kuupokea Mwenge wa Uhuru Jumatatu

Mwenge wa Uhuru ukiwa mkoani Geita utatembelea , kukagua , kuzindua kuweka mawe ya msingi jumla ya miradi 61ya maendeleo. Na Kale Chongela: Mkoa wa Geita unatarajia kuupokea Mwenge wa Uhuru  kwa mwaka 2025 katika kijiji cha Lwezera Halmashauri ya…

30 August 2025, 6:00 pm

Serikali yatoa hekta 5,000 za hifadhi kwa wananchi Bukombe

Hakuna wananchi wenye uhaba wa maeneo na makazi katika kitongoji cha Idosero baada ya serikali kutoa hekta zaidi ya 5,000. Na Mrisho Sadick: Serikali imetenga zaidi ya hekta 5,600 kutoka maeneo ya hifadhi na kuwagawia wananchi wa Kitongoji cha Idosero…

22 August 2025, 3:27 pm

GGML yaridhia kuwalipa fidia wakazi Nyakabale na Nyamalembo

Hatua hiyo imefikiwa baada ya pande zote kukubaliana kuanza mchakato wa ulipaji fidia kwa wananchi wanaotakiwa kupisha maeneo yanayotumiwa na mgodi huo Na: Ester Mabula Serikali kupitia wizara ya madini imetangaza rasmi kumalizika kwa mgogoro uliodumu kwa zaidi ya miaka…