Miundombinu
18 November 2025, 12:21 pm
Maafisa maendeleo Geita wapewa maagizo mazito
Fursa ya ufugaji wa Samaki kwa kutumia vizimba iliyokuwa haitazamwi sana kwasasa imekuwa kimbilio Na Mrisho Sadick: Serikali Mkoani Geita imewataka maafisa maendeleo kuhakikisha wanakuwa daraja muhimu la kuwakwamua Wananchi kiuchumi kwa kuibua fursa mbalimbali zinazopatikana kwenye maeneo yao ikiwemo…
17 October 2025, 11:25 am
Makala: Je, watoto wa kike wanaandaliwa kuwa viongozi wa baadae?
Karibu kusikiliza makala maalumu iitwayo Mwanamke na Uongozi ambacho kinapewa nguvu na Chama cha waandishi wa habari wanawake nchini (TAMWA) kwa kushirikiana na Storm FM. Muandaaji wa kipindi hiki ni Ester Mabula pamoja na Amon Mwakalobo
10 October 2025, 2:37 pm
Utupaji taka ngumu na athari kimazingira
Kurunzi Maalum Utupaji hovyo wa taka ngumu kama plastiki, chupa, matairi na vifaa vya elekroniki unazidi kuwa tatizo kubwa kwa mazingira, taka hizo huchukua muda mrefu sana kuoza, mara nyingi taka hizi huzuia mifereji ya maji, kusababisha mafuriko na kutoa…
9 October 2025, 9:48 pm
Manyara watakiwa kuongeza thamani ya mbogamboga, mikunde
Wakulima mkoani Manyara wametakiwa kuongeza thamani ya mazao ya mbogamboga na mikunde kwa kutengeneza bidhaa mbalimbali zinazotokana na mazao hayo ili kupata masoko ya uhakika ya ndani na nje ya nchi badala ya kuuza mazao ghafi kwa bei ya chini.…
19 September 2025, 1:49 pm
Jeshi la zimamoto na uokoaji Geita laipongeza Storm FM
Dhamira ya Storm FM ni kuendelea kuwa chombo madhubuti cha mawasiliano kwa jamii kwa kuhakikisha kuwa wananchi wanapata taarifa sahihi elimu ya kujikinga na majanga. Na Mrisho Sadick: Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Mkoa wa Geita leo Septemba 18, 2025,…
4 September 2025, 10:38 am
Mwenge waridhishwa na mradi wa visima Nyangh’wale
Mwenge wa uhuru ukiwa wilaya ya Nyangh’wale umetembelea, kukagua na kuweka mawe ya msingi kwenye jumla ya miradi 11 yenye thamani ya zaidi ya shilingi bilioni 1. Na: Kale Chongela Mwenge wa uhuru umeridhishwa na ujenzi wa mradi wa visima vitano vya maji katika kata ya Shabaka, halmashauri…
3 September 2025, 9:56 am
Picha: Mwenge wa uhuru wakabidhiwa Nyangh’wale
Ikumbukwe Mwenge wa uhuru ulipokelewa mkoani Geita Septemba mosi, 2025 ukitokea mkoani Mwanza ambapo umeendelea kupitia miradi mbalimbali ya maendeleo. Na: Kale Chongela Mkuu wa wilaya ya Nyang’hwale Mhe. Grace Kigalame ameupokea Mwenge wa Uhuru kutoka kwa Mkuu wa wilaya…
30 August 2025, 6:22 pm
Geita kuupokea Mwenge wa Uhuru Jumatatu
Mwenge wa Uhuru ukiwa mkoani Geita utatembelea , kukagua , kuzindua kuweka mawe ya msingi jumla ya miradi 61ya maendeleo. Na Kale Chongela: Mkoa wa Geita unatarajia kuupokea Mwenge wa Uhuru kwa mwaka 2025 katika kijiji cha Lwezera Halmashauri ya…
30 August 2025, 6:00 pm
Serikali yatoa hekta 5,000 za hifadhi kwa wananchi Bukombe
Hakuna wananchi wenye uhaba wa maeneo na makazi katika kitongoji cha Idosero baada ya serikali kutoa hekta zaidi ya 5,000. Na Mrisho Sadick: Serikali imetenga zaidi ya hekta 5,600 kutoka maeneo ya hifadhi na kuwagawia wananchi wa Kitongoji cha Idosero…
22 August 2025, 3:27 pm
GGML yaridhia kuwalipa fidia wakazi Nyakabale na Nyamalembo
Hatua hiyo imefikiwa baada ya pande zote kukubaliana kuanza mchakato wa ulipaji fidia kwa wananchi wanaotakiwa kupisha maeneo yanayotumiwa na mgodi huo Na: Ester Mabula Serikali kupitia wizara ya madini imetangaza rasmi kumalizika kwa mgogoro uliodumu kwa zaidi ya miaka…