Miundombinu
28/03/2026, 12:49
Kasi ya usambazaji umeme Nyang’hwale yawakosha wananchi
Wakazi wa Kitongoji cha Elimu, Kijiji cha Kaboha wilayani Nyang’hwale mkoani Geita wameipongeza serikali kwa kufanikisha upatikanaji wa nishati ya umeme katika eneo hilo, hatua iliyosaidia kuondoa changamoto ya kusafiri umbali mrefu kwenda vijiji jirani kufuata huduma za kukoboa mpunga…
23/03/2026, 14:56
JUMAZA yahimiza malezi ya dini kwa vijana
Waumini wa dini ya Kiislamu wamehimizwa kuwalea vijana katika misingi ya maadili mema ili waweze kuijua vyema dini ya Allah. Wito huo umetolewa na Sheikh Farid Hadi Ahmed wakati wa mahafali ya Eid yaliyofanyika Chake Chake, Pemba. Na Is-haka Mohammed…
20 Machi 2026, 5:37 um
Mpanda: Mwalimu auawa, atenganishwa kichwa na kiwiliwili
“Amekutwa amefariki dunia kwa kuchinjwa na kutenganishwa kichwa na kiwiliwili “ Na Ben Gadau -Katavi Mtu mmoja aliyefahamika jina moja la Haidari anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 42 mwalimu wa shule ya msingi Nguvumali amekutwa amefariki dunia kwa kuchinjwa…
19 Machi 2026, 16:58
Vijana Manyara wahimizwa kujiajiri
Vijana mkoani Manyara wamehimizwa kutoa fikra za kuajiriwa na kuweka mawazo yao katika kujiajiri ili kuweza kurithisha vizazi vyao katika biashara zao. Na Diana Dionis Hayo yamesemwa na Afisa biashara mkoani Manyara Ally Salehe Mokiwa katika uzinduzi wa Mgendi MinSupermarket yenye Biashara…
14/03/2026, 22:30
Kamati yaridhishwa na ujenzi wa jengo la TAKUKURU Nyangh’wale
“Tangu serikali ya awamu ya sita iingie madarakani jumla ya miradi 45 yenye thamani ya shilingi Bilioni 14 imetekelezwa na TAKUKURU” – Mkurugenzi mkuu wa TAKUKURU Crispin Chalamila Na: Ester Mabula Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala, Katiba na…
26/02/2026, 13:51
Maafisa usafirishaji Geita waendelea kunufaika kupitia BCRO
“Ndani ya miaka yangu mitano nitaendelea kuweka mazingira wezeshi kwa wajasiriamali na watu wote wa kata ya Kalangalala ikiwemo na nyie maafisa usafirishaji ili muweze kujikwamua kiuchumi” – Reuben Sagayika Na: Ester Mabula Asasi ya BCRO (Bajaj In Community Reform…
25 Febuari 2026, 11:05 mu
Waliohusika kumuua Irene kukiona
“Nilimtuma mdogo wake hakumkuta,tukaenda wote kumtafuta hadi usiku wa saa sita hatukufanikiwa kumuona basi tukafunga mlango tukalala“ Na Anna Milanzi -Katavi Kufuatia mauaji ya Irene Yosia binti mwenye umri wa miaka 16 mkazi wa mtaa wa Tulieni manispaa ya Mpanda…
16 Febuari 2026, 23:27
Hivi ndivyo uchumi wa wana-Pangani utakavyokuwa
“Ujenzi wa barabara hii na daraja la Mto Pangani imeweka alama isiyofutika katika wilaya ya Pangani” Na Cosmas Clement Waziri mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dokta Mwigulu Nchemba ameiagiza wizara ya ujenzi kuhakikisha vipande vya barabara vinavyoendelea…
30 Januari 2026, 13:46
Wananchi Dodoma wahimizwa kuwekeza kibiashara
Picha ni Mwenyekiti wa Baraza la Biashara la Wilaya ya Dodoma, Alhaj Jabir Shekimweri wakati akizungumza katika kikao cha Baraza la Biashara la Wilaya ya Dodoma. Picha na Dodoma City Tv. Katika kikao hicho, Shekimweri amelipongeza baraza hilo kwa kazi…
27/01/2026, 17:10
Manispaa ya Geita yapitisha bajeti ya Tsh. bil. 78.8 kwa mwaka 2026/2027
Baraza la madiwani la halmashauri ya Manispaa ya Geita leo Januari 27, 2026 limejadili na kupitisha rasimu ya bajeti kisasi cha shilingi bilioni 78,811,212,825.7 kwa mwaka wa fedha 2026/2027. Na: Ester Mabula Bajeti hiyo ina ongezeko la 8.3% zaidi ya…