Radio Tadio

Miundombinu

8 Januari 2026, 11:36 mu

Nyang’hwale yasisitiza matumizi ya teknolojia kukuza biashara

Ucheleweshaji wa marejesho una punguza juhudi za serikali kuendelea kutoa fedha za mikopo kwa vikundi vingine. Na Mrisho Sadick: Halmashauri ya Wilaya ya Nyang’hwale mkoani Geita imewataka wanufaika wa mikopo ya asilimia 10 kutumia teknolojia ya mawasiliano ikiwemo mitandao ya…

16 Disemba 2025, 8:15 um

Wafanyabiashara  Manyara washauriwa kuwa na mpango mkakati

Wafanyabiashara mkoani  Manyara wametakiwa kuzingatia vigezo, sheria na matakwa yote ya kibiashara  ili kuepuka kupata adhabu mbalimbali ambazo wanawaweza kuzipata na kupelekea kushuka kibiashara. Na Mzidalfa Zaid Wito huo umetolewa leo na Meneja wa Chemba ya Taifa ya biashara (TNCC)…

18 Novemba 2025, 12:21 um

Maafisa maendeleo Geita wapewa maagizo mazito

Fursa ya ufugaji wa Samaki kwa kutumia vizimba iliyokuwa haitazamwi sana kwasasa imekuwa kimbilio Na Mrisho Sadick: Serikali Mkoani Geita imewataka maafisa maendeleo kuhakikisha wanakuwa daraja muhimu la kuwakwamua Wananchi kiuchumi kwa kuibua fursa mbalimbali zinazopatikana kwenye maeneo yao ikiwemo…

10 Oktoba 2025, 2:37 um

Utupaji taka ngumu na athari kimazingira

Kurunzi Maalum Utupaji hovyo wa taka ngumu kama plastiki, chupa, matairi na vifaa vya elekroniki unazidi kuwa tatizo kubwa kwa mazingira, taka hizo huchukua muda mrefu sana kuoza, mara nyingi taka hizi huzuia mifereji ya maji, kusababisha mafuriko na kutoa…

19 Septemba 2025, 1:49 um

Jeshi la zimamoto na uokoaji Geita laipongeza Storm FM

Dhamira ya Storm FM ni kuendelea kuwa chombo madhubuti cha mawasiliano kwa jamii kwa kuhakikisha kuwa wananchi wanapata taarifa sahihi elimu ya kujikinga na majanga. Na Mrisho Sadick: Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Mkoa wa Geita leo Septemba 18, 2025,…