Miundombinu
27 Januari 2026, 5:10 um
Manispaa ya Geita yapitisha bajeti ya Tsh. bil. 78.8 kwa mwaka 2026/2027
Baraza la madiwani la halmashauri ya Manispaa ya Geita leo Januari 27, 2026 limejadili na kupitisha rasimu ya bajeti kisasi cha shilingi bilioni 78,811,212,825.7 kwa mwaka wa fedha 2026/2027. Na: Ester Mabula Bajeti hiyo ina ongezeko la 8.3% zaidi ya…
20 Januari 2026, 12:50 um
TISEZA yafanya ziara mkoani Geita kuhamasisha uwekezaji
Jumla ya miradi 901 yenye thamani ya Tsh. bilioni 9.31 kwa mwaka 2024, na miradi 927 kwa mwaka 2025 yenye thamani ya Tsh. bilioni 11 ambapo jumla ya miradi 469 inamilikiwa na watanzania sawa na asilimia 51%. Na: Ester Mabula…
19 Januari 2026, 6:39 um
Mwanamke mwenye ulemavu aliyetelekezwa apatiwa msaada
Kundi la watu wenye ulemavu linaendelea kukumbana na changamoto mbalimbali, hususan wanawake wanaotelekezwa. Na Mrisho Sadick: Mwanamke mwenye ulemavu Sarah Malale mkazi wa Kata ya Lulembela Wilaya ya Mbogwe mkoani Geita amewaomba Watanzania wenye mapenzi mema kujitokeza kumsaidia baada ya…
17 Januari 2026, 5:08 um
Vijana zaidi ya 400 wakutana kujadili fursa na mkuu wa wilaya Nyang’hwale
Wilaya ya Nyang’hwale yenye wakazi 225,803 kwa mujibu wa Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022, ina makadirio ya vijana zaidi ya 90,000. Na Mrisho Sadick Zaidi ya vijana 400 kutoka Wilaya ya Nyang’hwale mkoani Geita wamekutana katika kongamano…
8 Januari 2026, 7:26 um
Sendiga: Tumieni fursa za kibiashara kujikwamua kiuchumi
Mkuu wa mkoa wa Manyara Queen Sendiga ametoa wito kwa wafanyabiashara wa mkoa huo kutumia fursa za kibiashara zinazojitokeza ndani na nje ya mkoa huo. Na Mzidalfa Zaid Sendiga ametoa wito huo wakati alipokuwa kwenye maonesho ya 12 ya kimataifa…
8 Januari 2026, 11:36 mu
Nyang’hwale yasisitiza matumizi ya teknolojia kukuza biashara
Ucheleweshaji wa marejesho una punguza juhudi za serikali kuendelea kutoa fedha za mikopo kwa vikundi vingine. Na Mrisho Sadick: Halmashauri ya Wilaya ya Nyang’hwale mkoani Geita imewataka wanufaika wa mikopo ya asilimia 10 kutumia teknolojia ya mawasiliano ikiwemo mitandao ya…
16 Disemba 2025, 8:15 um
Wafanyabiashara Manyara washauriwa kuwa na mpango mkakati
Wafanyabiashara mkoani Manyara wametakiwa kuzingatia vigezo, sheria na matakwa yote ya kibiashara ili kuepuka kupata adhabu mbalimbali ambazo wanawaweza kuzipata na kupelekea kushuka kibiashara. Na Mzidalfa Zaid Wito huo umetolewa leo na Meneja wa Chemba ya Taifa ya biashara (TNCC)…
15 Disemba 2025, 4:15 um
Wafanyabiashara Manyara watakiwa kuwa waaminifu msimu wa sikukuu
Katika msimu huu wa sikukuu, wafanyabiashara mkoani Manyara wametakiwa kuwa waaminifu kwa kutumia vipimo sahihi na kuacha kutumia vipimo batili ili muuzaji na mnunuzi wote wapate haki sawa. Na Mzidalfa Zaid Hayo yameelezwa leo na Meneja wakala wa vipimo mkoa…
12 Disemba 2025, 12:12 um
Kata nne kunufaika na milioni 600 kutoka mgodi wa Bucreef Geita
Vipaumbele vikubwa vya fedha hizo za CSR ni huduma za Afya kwakuwa kata hizo zina ongezeko kubwa la watu kutokana na shughuli za uchimbaji wa madini. Na Mrisho Sadick: Wakazi wa Kata nne za Halmashauri ya wilaya ya Geita Mkoani…
18 Novemba 2025, 12:21 um
Maafisa maendeleo Geita wapewa maagizo mazito
Fursa ya ufugaji wa Samaki kwa kutumia vizimba iliyokuwa haitazamwi sana kwasasa imekuwa kimbilio Na Mrisho Sadick: Serikali Mkoani Geita imewataka maafisa maendeleo kuhakikisha wanakuwa daraja muhimu la kuwakwamua Wananchi kiuchumi kwa kuibua fursa mbalimbali zinazopatikana kwenye maeneo yao ikiwemo…