
Miundombinu

19 March 2025, 5:58 pm
Wananchi Geita wahoji mapato ya 10% ya viwanja
‘Inabidi viongozi wa mtaa waweke wazi juu ya mapato ya asilimia 10 ili tuelewe inatumika katika maeneo gani’ – Mwananchi Na: Kale Chongela – Geita Baadhi ya wakazi wa kata ya Buhalahala katika halmashauri ya manispaa ya Geita wamewaomba viongozi…

19 March 2025, 4:00 pm
Miaka minne ya Rais Samia yaacha neema Geita
Leo Marchi 19, 2025 imetimia miaka minne ya uongozi wa Rais wa awamu ya sita Dkt. Samia Suluhu Hassan, ambapo katika kipindi hicho miradi mbalimbali ya kimkakati imeanzishwa wilayani Geita. Na: Ester Mabula – Geita Wananchi wilayani na mkoani Geita…

March 4, 2025, 4:37 pm
Kifo cha mwanamke mwenye ualbino ufanyike uchunguzi
Siku moja baada ya kuripotiwa kifo cha mwanamke mwenye ualbino Wande Mbiti mkazi wa kijiji cha Nhelegani kata ya Kizumbi Manispaa ya Shinyanga mkoani Shinyanga ambaye mwili wake umekutwa ndani ya nyumba aliyokuwa akiishi huku mlango ukiwa umefungwa kwa nje,…

20 February 2025, 11:03 pm
RC Sendiga awaonya wafanyabiashara wadanganyifu
Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Queen Cuthbert Sendiga, ameongoza hafla ya kilele cha siku ya mlipa kodi. Na Mzidalfa Zaid Mkuu wa mkoa wa manyara Queen Sendiga amewaonya baadhi wafanyabiashara ambao wamekuwa hawatoi risiti au kutoa risiti ambazo haziendani na…

17 February 2025, 5:41 pm
Jengo la ofisi za hazina lazinduliwa mkoani Geita
Serikali imeendelea kuimarisha na kuboresha huduma za wizara ya fedha ikiwemo kusogeza huduma hizo karibu na wananchi zaidi. Na: Edga Rwenduru – Geita Wizara ya fedha imetoa onyo kwa watu na taasisi mbalimbali za fedha zinazotoa mikopo umiza kwa wananchi…

February 6, 2025, 10:46 pm
Mwanafunzi afariki kwa kuangukiwa na ukuta wa nyumba aliyokuwa amepanga
Mvua zinazoendelea kunyesha katika halmashauri ya Ushetu zimesababisha ukuta wa nyumba kupata unyevu na kusababisha kuanguka kutokana na nyumba hiyo kutokuwa imara. Na Leokadia Andrew Mwanafunzi wa kidato cha tatu katika shule ya Sekondari ya Chona Halmashauri ya Ushetu Wilayani…

February 6, 2025, 11:23 am
Miili ya wachimbaji wadogo waliofariki mgodi wa Nkandi yaagwa Kahama
Mpaka sasa miili miwili kati ya mitatu ya wachimbaji wanaodhaniwa kufukiwa na kifusi ndani ya mgodi wa Nkandi uliopo eneo la mwime Wilayani Kahama imepatikana, huku mmoja ukiendelea kutafutwa na leo miili miwili imekabidhiwa kwa ndugu kwa ajili ya kusafirishwa…

31 January 2025, 11:56 am
Nyangh’wale yapendekeza bajeti ya bilioni 4.3
Madiwani waishauri halmashauri ya Nyangh’wale kuongeza wigo wa ukusanyaji wa mapato kwa kubuni vyanzo vipya ambavyo haviwaumizi wananchi. Na Mrisho Sadick: Halmashauri ya wilaya ya Nyang’hwale Mkoani Geita imeendelea kufanya vizuri kwenye ukusanyaji wa mapato kwa miaka mitano mfululizo hali…

28 January 2025, 6:39 am
Dc Bunda awakutanisha wafanyabiashara kujadili changamoto zao
Lengo la mkutano wake na wafanyabiashara ni kukaa na kujadili namna gani ya kushirikiana ili kusonga mbele kwa mwaka huu wa 2025. Na Edward Lucas Wafanyabiashara wilayani Bunda wajadili changamoto zao katika sekta ya mifugo, uvuvi , kilimo pamoja na…

January 18, 2025, 5:32 pm
Mwili wa mwanamke wapatikana ukiwa umezikwa
wachungaji wa ng’ombe walikuwa wanachunga katika maeneo hayo ndipo ng’ombe walikimbilia eneo hilo na kuanza kufukua, wachungaji waliwapiga ng’ombe ili watoke ndipo walipogundua kwamba kuna kitu kimefukiwa na kwenda kutoa taarifa Na Sebastian Mnakaya Mwili wa Mwanamke Asha Mayenga anayekadiriwa…