Miundombinu
26/02/2026, 13:51
Maafisa usafirishaji Geita waendelea kunufaika kupitia BCRO
“Ndani ya miaka yangu mitano nitaendelea kuweka mazingira wezeshi kwa wajasiriamali na watu wote wa kata ya Kalangalala ikiwemo na nyie maafisa usafirishaji ili muweze kujikwamua kiuchumi” – Reuben Sagayika Na: Ester Mabula Asasi ya BCRO (Bajaj In Community Reform…
25 Febuari 2026, 11:05 mu
Waliohusika kumuua Irene kukiona
“Nilimtuma mdogo wake hakumkuta,tukaenda wote kumtafuta hadi usiku wa saa sita hatukufanikiwa kumuona basi tukafunga mlango tukalala“ Na Anna Milanzi -Katavi Kufuatia mauaji ya Irene Yosia binti mwenye umri wa miaka 16 mkazi wa mtaa wa Tulieni manispaa ya Mpanda…
16/02/2026, 23:27
Hivi ndivyo uchumi wa wana-Pangani utakavyokuwa
“Ujenzi wa barabara hii na daraja la Mto Pangani imeweka alama isiyofutika katika wilaya ya Pangani” Na Cosmas Clement Waziri mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dokta Mwigulu Nchemba ameiagiza wizara ya ujenzi kuhakikisha vipande vya barabara vinavyoendelea…
30/01/2026, 13:46
Wananchi Dodoma wahimizwa kuwekeza kibiashara
Picha ni Mwenyekiti wa Baraza la Biashara la Wilaya ya Dodoma, Alhaj Jabir Shekimweri wakati akizungumza katika kikao cha Baraza la Biashara la Wilaya ya Dodoma. Picha na Dodoma City Tv. Katika kikao hicho, Shekimweri amelipongeza baraza hilo kwa kazi…
27/01/2026, 17:10
Manispaa ya Geita yapitisha bajeti ya Tsh. bil. 78.8 kwa mwaka 2026/2027
Baraza la madiwani la halmashauri ya Manispaa ya Geita leo Januari 27, 2026 limejadili na kupitisha rasimu ya bajeti kisasi cha shilingi bilioni 78,811,212,825.7 kwa mwaka wa fedha 2026/2027. Na: Ester Mabula Bajeti hiyo ina ongezeko la 8.3% zaidi ya…
20/01/2026, 12:50
TISEZA yafanya ziara mkoani Geita kuhamasisha uwekezaji
Jumla ya miradi 901 yenye thamani ya Tsh. bilioni 9.31 kwa mwaka 2024, na miradi 927 kwa mwaka 2025 yenye thamani ya Tsh. bilioni 11 ambapo jumla ya miradi 469 inamilikiwa na watanzania sawa na asilimia 51%. Na: Ester Mabula…
19/01/2026, 18:39
Mwanamke mwenye ulemavu aliyetelekezwa apatiwa msaada
Kundi la watu wenye ulemavu linaendelea kukumbana na changamoto mbalimbali, hususan wanawake wanaotelekezwa. Na Mrisho Sadick: Mwanamke mwenye ulemavu Sarah Malale mkazi wa Kata ya Lulembela Wilaya ya Mbogwe mkoani Geita amewaomba Watanzania wenye mapenzi mema kujitokeza kumsaidia baada ya…
17/01/2026, 17:08
Vijana zaidi ya 400 wakutana kujadili fursa na mkuu wa wilaya Nyang’hwale
Wilaya ya Nyang’hwale yenye wakazi 225,803 kwa mujibu wa Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022, ina makadirio ya vijana zaidi ya 90,000. Na Mrisho Sadick Zaidi ya vijana 400 kutoka Wilaya ya Nyang’hwale mkoani Geita wamekutana katika kongamano…
08/01/2026, 19:26
Sendiga: Tumieni fursa za kibiashara kujikwamua kiuchumi
Mkuu wa mkoa wa Manyara Queen Sendiga ametoa wito kwa wafanyabiashara wa mkoa huo kutumia fursa za kibiashara zinazojitokeza ndani na nje ya mkoa huo. Na Mzidalfa Zaid Sendiga ametoa wito huo wakati alipokuwa kwenye maonesho ya 12 ya kimataifa…
08/01/2026, 11:36
Nyang’hwale yasisitiza matumizi ya teknolojia kukuza biashara
Ucheleweshaji wa marejesho una punguza juhudi za serikali kuendelea kutoa fedha za mikopo kwa vikundi vingine. Na Mrisho Sadick: Halmashauri ya Wilaya ya Nyang’hwale mkoani Geita imewataka wanufaika wa mikopo ya asilimia 10 kutumia teknolojia ya mawasiliano ikiwemo mitandao ya…