
Misitu

15 December 2022, 10:24 am
Majaliwa amewataka TFS kuangalia upya utoaji wa vibali vya ukataji miti.
MLELE Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amewataka Wakala wa huduma za misitu Tanzania (TFS) kuangalia upya utolewaji wa vibali vya ukataji miti ili kuthibiti ukataji miti na kutunza mazingira. Akizungumza na watumishi wa umma katika halmashauri ya…

22 November 2022, 5:28 am
Asilimia 60 Ya Misitu Ya Vijiji Morogoro Yavamiwa, Mashirika Ya Tfcg Na Mjumita…
Wakazi wa Mkoa wa Morogoro wametakiwa kuepukana na vitendo vya uharibifu wa Mazingira katika Mkoa huo badala yake washiriki kikamilifu katika utunzaji kwakuwa mkoa huo umekuwa na mchango Mkubwa katika mikoa mbalimbali nchini ikiwemo Dar es salaam na Pwani. Kauli…

1 June 2022, 2:50 pm
Uhifadhi wa milima ya Tao umesema utaendelea kuhakikisha maeneo yanayo zunguka h…
Na;Mindi Joseph. Katika kuendelea kukabiliana na mabadiliko ya Tabianchi Mfuko wa uhifadhi wa milima ya Tao la mashariki umesema utaendelea kuhakikisha mimea,wanyama na vyanzo vya maji katika maeneo ya Hifadhi vinatunzwa. Akizungumza katika mahojiano na Dodoma Fm Afisa Miradi Kanda…

27 May 2022, 2:45 pm
Uharibifu wa misitu wailetea nchi hasara ya asilimia 5%ya pato la Taifa
Na;Mindi Joseph. Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Dkt. Selemani Jafo amesema takriban hekta laki nne ( 469,420) za misitu huharibiwa kila mwaka Nchini. Akizungumza leo jijini Dodoma na Waandishi wa Habari Waziri Jafo…

13 July 2021, 12:35 pm
Wakazi wa Dodoma wametakiwa kuendelea kuchukua tahadhari dhidi ya Uviko 19
Na; Shani Nicolous. Wakazi jijini Dodoma wamehimizwa kuchukua tahadhari ya kujikinga na maambukizi ya uviko kwani ugonjwa huo ni hatari ulimwenguni kote. Akizungumza na Dodoma fm Dr. Nassoro Ally Matuzya na maratibu wa elimu ya afya kwa umma mkoa wa…