Radio Tadio

Misitu

15 December 2022, 10:24 am

Majaliwa amewataka TFS kuangalia upya utoaji wa vibali vya ukataji miti.

MLELE Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amewataka Wakala wa huduma za misitu Tanzania (TFS) kuangalia upya utolewaji wa vibali vya ukataji miti ili kuthibiti ukataji miti na kutunza mazingira. Akizungumza na watumishi wa umma katika halmashauri ya…