Radio Tadio

Makala

27 February 2023, 3:11 pm

Hii hapa historia ya zabibu kuingia nchini

Leo tutaangalia ni jinsi gani tunda la zabibu lilivyoweza kuingia nchini pamoja na historia nzima ya kuhusiana na zabibu. Na Yusuph Hassani. Darwesh Said ambaye ni mwakilishi wa kikundi cha kutunza mazingira chapakazi anasimulia historia mzima ya kuhusiana na tunda…

22 February 2023, 1:00 pm

Zifahamu siri za fimbo za kitemi

Simulizi hii inatufafanulia masuala ya fimbo zilizokuwa zikimilikiwa na watemi wa kabila la wagogo na majaabu ya fimbo hizo. Na Yusuph Hassan. Chifu Lazaro Masuma Chihoma kutoka katika kata ya Iyumbu himaya ya Bwibwi jijini Dodoma amesimulia simulizi hiyo ya…

12 April 2021, 2:06 pm

Ligi ya wilaya yaanza jijini Dodoma

Na; Matereka Junior Ligi ya wilaya imeanza rasmi jana na mechi ya ufunguzi imewakutanisha kati ya WAGONGA NYUNDO 3-0 NZUGUNI RANGERS. Katibu wa DUFA, Omarooh Omar amezungumzia kuanza kwa ligi hii. CLIP OMAROH