Radio Tadio

Maji

7 Januari 2025, 8:34 um

Binadamu waathiri pori la akiba Kijereshi

“Shughuli za kibinadamu ni changamoto nyingine katika kuhifadhi mapori ya akiba tunakila sababu jamii kwa ujumla kushiriki kikamilifu katika kulinda tuzu zetu”. Na, Daniel Manyanga Wananchi waishio pembezoni mwa pori la akiba Kijereshi lililopo katika wilaya za Bariadi na Busega…

6 Januari 2025, 8:43 um

Wafugaji Itilima watakiwa kutoingiza mifugo hifadhini

“Mifugo inachangia pato la Taifa lakini hatuwezi kuacha maeneo ya hifadhi hapa nchini yaharibiwe na wafugaji wasiotaka kufuata sheria,kanuni na taratibu za uhifadhi katika kulinda uoto wa asili ili kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi.”  Na, Daniel Manyanga  Wafugaji waishio…

31 Disemba 2024, 9:06 um

Rais Samia apeleka furaha kwa yatima mkoani Simiyu

“Dini ya kweli ni kuwakumbuka wenye uhitaji ili nao waweze kujisikia kuwa wanathaminiwa na jamii na kuwatambua katika kuijenga nchi bila kujali mapungufu waliyonayo”. Na, Daniel Manyanga Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt.Samia Suluhu Hassan, amewakumbuka watoto yatima…

24 Disemba 2024, 15:34 um

Upatikanaji wa huduma za kijamii kwa wenye ulemavu

Na Msafiri Kipila na Grace Hamis Abedi Yusuph Lukanga ambaye ni mlemavu wa miguu, amesema kwamba bado kuna changamoto kubwa katika huduma za afya na za kijamii kwa watu wenye ulemavu kutokana na miundombinu isiyo rafiki kwa mahitaji yao. Hata…

24 Disemba 2024, 12:31 um

Nini kifanyike kuondoa unyanyapaa wa walemavu katika jamii?

Na Grace Hamisi Unyanyapaa kwa watu wenye ulemavu ni changamoto inayowakumba katika sehemu mbalimbali za maisha yao. Mara nyingi, watu wenye ulemavu huonekana kana kwamba hawana uwezo wa kujitetea au kushiriki kikamilifu katika shughuli za kijamii. Katika makala hii, tunachunguza…

23 Disemba 2024, 8:36 um

Wazazi wafelisha wanafunzi 213 elimu ya msingi mkoani Simiyu

“Pamoja na kwamba maandiko matakatifu yanasema kuwa mkamate sana elimu usimwache aende zake mshike maana yeye ni uzima wako Mithali 4:13 lakini wazazi wameendelea kuwa vikwazo kwa wanafunzi kutimiza ndoto zao”. Na, Daniel Manyanga Wanafunzi 213 walifanya mtihani wa kumaliza…

18 Disemba 2024, 9:07 um

2900 wapata huduma ya utengamao mkoani Simiyu

“Kupatikana kwa huduma ya utengamao katika hospitali ya rufaa ya mkoa wa Simiyu kumepunguza gharama na muda kwa wananchi waliokuwa wanafuata huduma hiyo jijini Mwanza.” Na, Daniel Manyanga Zaidi ya wananchi  2900 mkoani  Simiyu wamenufaika na huduma za utengamao kwenye …

17 Disemba 2024, 9:30 um

X-ray yapunguza gharama na muda wa matibabu wilayani Maswa

” Umbali na gharama za kufuata huduma ya mionzi katika wilaya jirani ulikuwa kikwazo kwa wananchi wenye kipato cha chini lakini kusogezwa kwa huduma hiyo karibu kwa wananchi kumeleta faraja.” Na, Daniel Manyanga Wananchi wilayani Maswa mkoani Simiyu wamefurahia ujio…

16 Disemba 2024, 8:51 um

TCB yagawa baiskeli 218 kwa wakulima wezeshi wa pamba Maswa

“Mkoa wa Simiyu ni mmoja wapo wa mkoa unaozalisha Pamba nyingi hapa nchini hivyo kuwa zao mkuu la kibiashara na lakimkakati zaidi.” Na, Daniel Manyanga Katika kuhakikisha kilimo cha zao la Pamba kinawatoa wakulima kimaisha bodi ya Pamba Tanzania (TCB)…

14 Disemba 2024, 10:33

Wananchi Chunya wazikimbia nyumba zao kisa mwekezaji

Mgogoro mkubwa kati ya wananchi na mwekezaji umezuka, huku polisi wakitumia mabomu ya machozi kuwatawanya. Na Ezekiel Kamanga Wananchi wa Kijiji cha Ifumbo Kata ya Ifumbo Wilaya ya Chunya Mkoani Mbeya wamelazimika kuzikimbia nyumba zao baada ya Jeshi la Polisi…