Radio Tadio

Maji

2 Aprili 2025, 8:04 um

Fisi wavamia na kuua kondoo wa mahari Bariadi

“Hivi hatuwezi kumaliza kabisa suala la fisi mkoani hapa? Siku chache zilizopita matukio kama haya yaliripotiwa katika wilaya za Itilima na Maswa leo hii wameingia mjini Bariadi je, ni kweli hatuwezi au ndiyo kusema bado hatujaamua kufanya hivyo? Naomba kwenye…

2 Aprili 2025, 9:42 mu

CCM Geita yawakalia kooni walioanza kampeni

Kuelekea uchaguzi mkuu mwaka huu baadhi ya makada wa CCM wameanza kutafuta nafasi za uongozi kwa nguvu zote huku wakingine wakianza kuvunja utaratibu wa chama. Na Mrisho Sadick: Chama Cha Mapinduzi CCM Mkoa wa Geita kimetoa onyo kali kwa wanachama…

28 Machi 2025, 10:11 mu

Maswa: Walioshindwa kurejesha mikopo kufikishwa mahakamani

“Hatuwezi kukaa kimya kwa wale ambao walichukua fedha za halmashauri na kwenda kujikwamua kiuchumi lakini linapokuja swala la kurejesha wanaingia mitini haiwezekani halmashauri ibane matumizi kwa ajili ya mikopo halafu watu wasirudishe ifike sehemu wajuwe hizi ni fedha za walipa…

19 Machi 2025, 4:55 um

IPOSA yatajwa kuwakwamua vijana kiuchumi mkoani Simiyu

‘‘Aliyesema kuwa elimu ni ufunguo wa maisha ni kweli hakukosea ndiyo tunawatu wengi sana ambao hawakuweza kupata elimu ndani ya mfumo rasmi lakini haimaanishi kuwa watu hawa wasiweze kupata fursa ya elimu hata ya ufundi stadi ili kuondoa utegemezi kwenye…

18 Machi 2025, 9:20 um

Wanafunzi mabalozi wazuri wa usalama barabarani Bariadi

“Elimu ya usalama barabarani bado haikwepeki hivyo mamlaka husika zinao wajibu wa kutoa elimu hasa kwa makundi ambayo yanaweza kuwa msaada mkubwa wa kufikisha elimu kwa jamii kubwa”. Na, Daniel Manyanga  Katika kuhakikisha ajali za barabarani zinaisha au kupungua mkoani…

12 Machi 2025, 12:19 um

Masunga, Daudi jela miaka 5 kwa wizi wa nguruwe wilayani Maswa

“Hatuwezi kuendelea kuona watu ambao wanapambana katika kujikwamua kiuchumi kwa kufanya shughuli mbalimbali wanarudishwa nyuma na watu ambao hawana nia njema ya kujenga uchumi wa mtu mmoja mmoja hadi Taifa kwa ujumla lazima tuwajibishane kwa kufuata sheria ili kukomesha tabia…