Radio Tadio

Maji

12 Januari 2026, 3:36 um

Kilimo cha umwagiliaji mkombozi mwenye tija Simiyu

“Haiwezekani kila kukicha wakandarasi wazama kuilalamikia serikali kutowapatia miradi na badala yake wanawapatia tu wageni swali tu dogo ni lini wakandarasi hao wameomba na hawakupata je vigezo wanatimiza na wanatekeleza kwa ubora bila ya kuwa chenga chenga.” Na,Daniel Manyanga  Naibu…

12 Januari 2026, 1:45 um

Wabunge Simiyu walia na ubovu wa miundombinu ya barabara

“Ndiyo kusema wakandarasi wanaojenga barabara za lami hawajui ni aina gani ya magari yanayotakiwa kutumia hiyo miundombinu au ndiyo kusema wanatimiza wajibu tu maana haiwezekani kila baada ya muda mchache tunaanza kuweka viraka hata barabara haijamaliza hata mwaka mmoja hapa…

12 Januari 2026, 12:50 um

Mil. 253 kuanzisha mashamba darasa 300 ya malisho nchini

“Kufuga mifugo siyo kufungo tunataka kuwaona wafugaji waone faida ya kuitwa mfugaji lazima sasa tutoke huko tuanze kufuga kwa tija ili waweze kuendesha maisha yao mazuri na familia zao ikiwemo elimu nzuri kwa watoto wao ,makazi mazuri .” Na,Daniel Manyanga …

22 Disemba 2025, 9:30 mu

Kilimo cha umwagiliaji kinavyowawezesha wanawake Simanjiro

Na Isack Dickson, Katika Wilaya ya Simanjiro, mabadiliko ya tabianchi si hadithi tena, bali ni ukweli mchungu unaohatarisha usalama wa chakula, hata hivyo kundi la wanawake 111 katika vijiji 5 limeamua kubadili mwelekeo. Kupitia ushirikiano na shirika la TACCEI, wanawake…

18 Disemba 2025, 12:34 um

Jela miezi 9 kwa kuua kwa maneno baba yake Itilima

“Vijana vijana vijana nawaita mara tatu tafuteni mali zenu za halali kwa kutoa nguvu, akili, uwezo uliopewa na Mungu achaneni kuanza kutamani urithi angali wazazi wako bado wapo hai hapo ni kuliaibisha kundi la vijana taifa la leo na kesho…

4 Disemba 2025, 17:41 um

SDA yaadhimisha IDPWD kwa usafi wa mazingira

Ikiwa leo ni Siku ya Watu wenye Ulemavu Duniani, siku hii imeambatana na mabadiliko ya tabianchi na uwepo wa mabadiliko hayo kuna athari kwa watu wenye ulemavu. Na Grace Hamisi Shirika lisilo la kiserikali Sports Development Aids (SDA) kupitia mradi…

2 Disemba 2025, 7:32 um

Vipaumbele vya Reuben Sagayika baada ya kula kiapo

Baraza la madiwani la halmashauri ya manispaa ya Geita limeketi leo Disemba 02, 2025 katika kikao cha kwanza ambapo lilianza kwa zoezi la madiwani wateule kula viapo vya utumishi. Na: Ester Mabula Diwani wa kata ya Kalangalala Reuben Sagayika mara…

21 Novemba 2025, 12:45 um

ASP Abdallah maafisa usafirishaji jiepusheni na maandamano

“Amani ya nchi ndiyo msingi wa maendeleo katika taifa lolote lile amani ikikosekana hapo maendeleo hakuna maana hakuna mtu yeyote ambaye anaweza kufanya shughuli za uchumi muda huo anawaza kukimbia machafuko mfano mzuri tu angalia miji kama Goma,Kivu ni miji…

19 Novemba 2025, 11:00 mu

DC Maswa ataka uzalendo kwa watumishi wa umma

“Kwa nini kila kukicha tunaimba uzalendo uzalendo kwa watumishi wa umma nini kimekosekana mpaka tunaanza kukumbushana kwani wao hawajui maana ya neno la uzalendo au wao wanalijuwa kulisoma tu lakini kwenye vitendo ni hakuna ukiona hivyo juwa kuna kitu hakipo…