Maji
18 Febuari 2026, 10:41 mu
Watatu wanusurika kufa moto kufuatia nyumba kuungua Bariadi
“Kuna majanga ambayo hanaweza kuzuilika kama tu tukiwa na utamaduni wa kuangalia mara kwa mara mfumo wa umeme wa majumbani ili kutatua changamoto za kuunguliwa kwa nyumba.” Na,Daniel Manyanga Watu watatu wa mtaa wa Kidinda wilayani Bariadi mkoani Simiyu wamenusurika…
17 Febuari 2026, 3:45 um
Baraza la madiwani Maswa lapitisha bil. 51 mwaka 2026/27
“Tunahitaji kuona miradi inayotekelezwa iwaguse moja kwa moja wananchi katika kuleta maendeleo kwenye maeneo yao ili kuongeza kipato cha mtu mmoja mmoja kutokana na shughuli anayoifanya”. Na,Daniel Manyanga Baraza la madiwani la halmashauri ya wilaya ya Maswa mkoa wa Simiyu…
16 Febuari 2026, 1:14 um
Maji ya kemikali ya kiwandani yaleta taaruki kwa wakazi wa Isanga
“Kwani sheria zetu zipo kwa ajili ya kumuhukumu nani kama kuna watu hadi leo wanatumia vibaya mamlaka na utajiri wao kuwaumiza wananchi wengine ambao hata hawana wanalolijuwa juu ya utajiri wako .” Na,Daniel Manyanga Hali ya wasiwasi na hofu kubwa…
15 Febuari 2026, 12:44 mu
Diwani kata ya Ichwankima ahimiza umoja
“Maendeleo ya kata yetu yanahitaji umoja na ushirikiano na tuweke makundi pembeni, na mimi nawahakikishia nitakuwa kiongozi wa wote bila kumbagua mtu” – Diwani Kulwa Ludaho Na: Ester Mabula Diwani wa Kata ya Ichwankima wilayani Chato, mkoani Geita, Kulwa Elias…
13 Febuari 2026, 3:21 um
Wandishi wa habari waombwa kuwa sehemu ya mabadiliko ya tabianchi
“Tunamatumaini makubwa kutoka kwenu ya kuleta chachu ya mabadiliko ya tabianchi jamii ifahamu madhara yake na namna ya kukabiliana na mabadiliko hayo”. Na,Anita Balingilaki Mabadiliko ya tabianchi ambayo yamekuwa chanzo kikubwa cha kusababisha mafuriko na ukame kwenye maeneo mbalimbali yanatajwa…
13 Febuari 2026, 12:52 um
Zaidi bilioni 39 zapitishwa kwa matumizi mwaka wa fedha 2026/27 Bariadi DC
“Hatutakuwa na uvumilivu kwa watendaji wazembe ambao watakuwa sehemu ya kukwamisha ukusanyaji wa mapato ya halmashauri tunataka ufanisi zaidi katika kukusanya mapato ili kurahisisha utekelezaji wa miradi ya maendeleo kwa wananchi”. Na,Daniel Manyanga Baraza la madiwani la halmashauri ya wilaya…
5 Febuari 2026, 8:18 um
Paulo Bunga wa Malita auliwa na mamba mto Simiyu
“Maendeleo bila watu hayo siyo maendeleo katika kujenga nchi yetu lazima kwanza tuhakikishe usalama wa wananchi maana hawa ndiyo walipa kodi za maendeleo ya taifa ukiona nchi inauchumi imara nyuma yake kuna watu na siyo wanyama”. Na,Daniel Manyanga Mtoto mmoja…
21 Januari 2026, 5:58 mu
DC Simalenga awa mbogo kwa wazazi wasiopeleka watoto shule
“Elimu ni urithi pekee kwa mwanadamu ambao huwezi kupokomywa na mtu yeyote lakini pia kwa dunia ya sasa usipokuwa na elimu walau kidogo ni ngumu sana kufanikiwa maana siku hizi kila kitu kinahitaji elimu hivyo tuwapeleke watoto wakapate elimu maana…
20 Januari 2026, 12:26 um
34% ya vifo nchini ni magonjwa yasiyoambukiza
“Tuweni na tabia ya kupima afya zetu mara kwa mara ili kuweza kujuwa hali zetu katika kukabiliana na changamoto zozote za kiafya hali hii itasaidia sana kupunguza magonjwa yasiyo ya kuambukiza kama kisukari,presha na mengine”. Na,Daniel Manyanga Asilimia 34 ya…
14 Januari 2026, 8:04 um
Anamringi: Zimamoto washirikishwe kabla ya ujenzi wa majengo kuanza
“Tunahitaji kumaliza au kupunguza majanga ya moto kuunguza nyumba elimu pekee tu haitoshi lazima sasa tuweke mashariti magumu kidogo lakini kwa manufaa ya badae tunaweza kujenga majengo bila ushauri wa jeshi la zimamoto na uokoaji ni muda sasa wa kubadilika…