Radio Tadio

Maji

4 December 2025, 17:41 pm

SDA yaadhimisha IDPWD kwa usafi wa mazingira

Ikiwa leo ni Siku ya Watu wenye Ulemavu Duniani, siku hii imeambatana na mabadiliko ya tabianchi na uwepo wa mabadiliko hayo kuna athari kwa watu wenye ulemavu. Na Grace Hamisi Shirika lisilo la kiserikali Sports Development Aids (SDA) kupitia mradi…

2 December 2025, 7:32 pm

Vipaumbele vya Reuben Sagayika baada ya kula kiapo

Baraza la madiwani la halmashauri ya manispaa ya Geita limeketi leo Disemba 02, 2025 katika kikao cha kwanza ambapo lilianza kwa zoezi la madiwani wateule kula viapo vya utumishi. Na: Ester Mabula Diwani wa kata ya Kalangalala Reuben Sagayika mara…

21 November 2025, 12:45 pm

ASP Abdallah maafisa usafirishaji jiepusheni na maandamano

“Amani ya nchi ndiyo msingi wa maendeleo katika taifa lolote lile amani ikikosekana hapo maendeleo hakuna maana hakuna mtu yeyote ambaye anaweza kufanya shughuli za uchumi muda huo anawaza kukimbia machafuko mfano mzuri tu angalia miji kama Goma,Kivu ni miji…

19 November 2025, 11:00 am

DC Maswa ataka uzalendo kwa watumishi wa umma

“Kwa nini kila kukicha tunaimba uzalendo uzalendo kwa watumishi wa umma nini kimekosekana mpaka tunaanza kukumbushana kwani wao hawajui maana ya neno la uzalendo au wao wanalijuwa kulisoma tu lakini kwenye vitendo ni hakuna ukiona hivyo juwa kuna kitu hakipo…

18 November 2025, 12:25 pm

DC Anney watumishi wa halmashauri tunzeni jengo

“Uzuri wa jengo kipya la makao makuu ya halmashauri ya wilaya ya Maswa ukatoe utendaji mzuri kwa watumishi wa umma katika kuwahudumia wananchi ili kutoa tafsiri sahihi ya uzuri wa jengo na kuleta tabasamu kwa wakazi wa wilaya”. Na,Daniel Manyanga …

17 November 2025, 12:31 pm

6 Desemba kubadili mitazamo ya wanawake Katavi

“Matukio haya yote yanalenga kumsukuma mwanamke kuleta mafanikio” Na Anna Millanzi Uongozi wa Katavi Worth Women umezindua msimu mpya wa kutoa hamasa kwa wanawake na kuwakutanisha pamoja ili kuendelea kupeana maarifa ya kujikwamua kiuchumi. Akizungumza na Waandishi wa habari na…

11 November 2025, 11:23 am

DC Anney watumishi wa afya fanyeni kazi kwa weledi

“Hakuna maendeleo ya vitu bila watu ndiyo maana sasa duniani kote wanapambana sana kuleta ustawi wa afya za watu wakijuwa kabisa kwamba watu wakiwa na afya imara hata uchumi nao utakuwa kwa kasi kwa sababu tu wananchi wake wako na…

11 November 2025, 10:43 am

Kondoo, mbuzi 33 wauliwa na chui Mkoani Simiyu

“Tulianza na matukio ya  Fisi kushambulia mifugo ya wananchi katika baadhi ya maeneo mkoani Simiyu na sasa hivi Chui nao wanapita mule mule kuwatia hasara wananchi kwa akili yangu tu ndogo najiuliza hizi hasara nani anazilipa maana kama kuna mamlaka…

10 November 2025, 16:24 pm

Makala: mabinti wa Mtwara wavunja ukimya

“Wasichana wanajifunza kwamba sauti yao ina thamani, na kwamba wao pia wana nafasi muhimu katika jamii hasa mabinti wa Mtwara” Na Mwanahamisi Chikambu Katika dunia ya sasa inayokua kwa kasi kutokana na maendeleo ya teknolojia, bado mtoto wa kike wa…