
Maji

9 April 2025, 3:41 pm
Mvua yaziacha kaya 16 bila makazi Itilima
“Bado tunakila sababu kwa mamlaka husika kuendelea kutoa elimu kwa wananchi juu ya madhara ya kujenga kwenye mikondo ya maji maana kila kiongozi yakitokea maafa kama ya mafuriko tunaanza kuwaambia wananchi madhara ya kujenga bondeni Je? Kipindi wanaanza ujenzi mamlaka…

2 April 2025, 8:04 pm
Fisi wavamia na kuua kondoo wa mahari Bariadi
“Hivi hatuwezi kumaliza kabisa suala la fisi mkoani hapa? Siku chache zilizopita matukio kama haya yaliripotiwa katika wilaya za Itilima na Maswa leo hii wameingia mjini Bariadi je, ni kweli hatuwezi au ndiyo kusema bado hatujaamua kufanya hivyo? Naomba kwenye…

2 April 2025, 9:42 am
CCM Geita yawakalia kooni walioanza kampeni
Kuelekea uchaguzi mkuu mwaka huu baadhi ya makada wa CCM wameanza kutafuta nafasi za uongozi kwa nguvu zote huku wakingine wakianza kuvunja utaratibu wa chama. Na Mrisho Sadick: Chama Cha Mapinduzi CCM Mkoa wa Geita kimetoa onyo kali kwa wanachama…

1 April 2025, 5:27 pm
Sheikh Kwezi: Wananchi acheni kuwaazimisha akili watu wengine
“Maneno ya wanasiasa yenye viashiria vya uvunjifu wa amani yasipuuzwe lazima tuweze kuchukua hatua kwa hao viongozi maana amani tuliyonayo Kuna nchi zingine huko kila kukicha wanatafuta amani na hawajui lini wataipata hiyo amani fikra zangu tu ivi kwani sheria…

28 March 2025, 10:11 am
Maswa: Walioshindwa kurejesha mikopo kufikishwa mahakamani
“Hatuwezi kukaa kimya kwa wale ambao walichukua fedha za halmashauri na kwenda kujikwamua kiuchumi lakini linapokuja swala la kurejesha wanaingia mitini haiwezekani halmashauri ibane matumizi kwa ajili ya mikopo halafu watu wasirudishe ifike sehemu wajuwe hizi ni fedha za walipa…

19 March 2025, 4:55 pm
IPOSA yatajwa kuwakwamua vijana kiuchumi mkoani Simiyu
‘‘Aliyesema kuwa elimu ni ufunguo wa maisha ni kweli hakukosea ndiyo tunawatu wengi sana ambao hawakuweza kupata elimu ndani ya mfumo rasmi lakini haimaanishi kuwa watu hawa wasiweze kupata fursa ya elimu hata ya ufundi stadi ili kuondoa utegemezi kwenye…

18 March 2025, 9:20 pm
Wanafunzi mabalozi wazuri wa usalama barabarani Bariadi
“Elimu ya usalama barabarani bado haikwepeki hivyo mamlaka husika zinao wajibu wa kutoa elimu hasa kwa makundi ambayo yanaweza kuwa msaada mkubwa wa kufikisha elimu kwa jamii kubwa”. Na, Daniel Manyanga Katika kuhakikisha ajali za barabarani zinaisha au kupungua mkoani…

March 17, 2025, 9:43 pm
Wakandarasi wasio kamilisha miradi kwa wakati, kunyang’anywa kazi
Kulia ni Naibu Waziri wa TAMISEMI Zainab Katimba na katika ni Mwenyekiti wa Kamati ya kudumu ya bunge TAMISEMI, Jastine Nyamoga (Picha na Sebastian Mnakaya) kasi ya mkandarasi huyo haidhirishi ambapo mpaka sasa ametekeleza ujenzi kwa asilimia 48 pekee huku…

13 March 2025, 1:04 pm
Bariadi: Chifu wa Kilulu jela miaka 20, viboko 12 kwa kumiliki fisi
“Je sheria zetu zinasemaje mtu mpaka kuanza kumiliki nyara za serikali bila kuwa na kibali chochote kutoka kwa mamlaka za uhifadhi wanyamapori huyo mnyama mpaka anaanza kumilikiwa je ! mamlaka za uhifadhi tulikuwa wapi kuzuia vitendo hivyo ni fikra zangu…

12 March 2025, 6:07 pm
Madereva wa magari madogo ya abiria wagoma kufanya usafirishaji Bariadi
“Hoja za madereva wa daladala mkoa wa Simiyu naomba zisikilizwe maana kuna hoja kubwa sana ni kweli serikali yangu ya jamhuri ya muungano wa Tanzania imejenga stund tena nzuri kweli ya kisasa lakini sasa hatuwezi kuwachanganya hawa tunaenda kuua biashara…