Radio Tadio

Maji

31 July 2024, 4:33 pm

Kura 17 za ndio zampitisha makamu mwenyekiti Pangani DC

Ni kawaida kila mwaka wa fedha baraza la madiwani hupiga kura kumchagua makamu mwenyekiti wa halmashauri anayeongoza kwa mwaka mmoja. Na Cosmas Clement Baraza la Madiwani wa halmashauri ya wilaya ya Pangani July 31 2024 limempitisha kwa mara nyingine Mheshimiwa…

25 July 2024, 10:34 am

M/Kiti UVCCM wilaya ya Geita ahimiza vijana kujiandikisha

Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana CCM mkoa wa Geita Manjale Magambo amewataka vijana kujitokeza katika kwenda kujiandikisha katika daftari la mpinga kura. Na: Kale Chongela – Geita Mwenyekiti wa UVCCM Manjale Magambo akiwa katika mkutano wa hadhara uliofanyika Julai 22,…

24 July 2024, 2:37 pm

Mbinu bora za uhifadhi mazao ya chakula

Picha kwa msaada wa mtandao Na Evanda Barnaba Uhifadhi wa mazao ya chakula ni suala muhimu sana, hasa kwa wakulima na jamii zetu kwa ujumla. Mazao mengi yanaharibika baada ya mavuno kutokana na uhifadhi duni, jambo ambalo linaweza kusababisha upungufu…

23 July 2024, 12:39 pm

Mbinu bora za uhifadhi wa mazao ya chakula

Picha kwa masaada wa mtandaoni Na Mwaandishi wetu Evanda Barnaba Jamii na wakulima hawana uelewa wa namna bora ya kuhifadhi mazao ya chakula mwandishi wetu Evanda Barnaba Amemtembelea bwana Maulidi Hashimu kutoka kijiji cha loksale kuzungumza naye mchakato mzima kuanzia…

19 July 2024, 17:29

UWSA Mbeya kuongeza mtandao wa maji taka

Na Sifael Kyonjola Mamlaka ya maji safi na usafi wa mazingira mkoa wa Mbeya imepanga kuongeza mtandao wa maji taka  na kukarabati ili kuwafikia  wateja wengi zaidi. Hayo yamesemwa na kaimu meneja wa mamlaka ya maji safi  na usafi wa…

19 July 2024, 5:29 pm

Madereva wazembe,vyombo vibovu hakuna atakae kuwa salama Simiyu

“Katika kuzuia na kupambana na madereva wazembe  wanaosababisha ajali zisizo za lazima zinazotokana na ubovu wa vyombo vya usafirishaji wanavyotumia jeshi la polisi mkoa wa Simiyu limekuja oparesheni la ukaguzi wa vyombo vya moto” Na,Daniel Manyanga Kamanda wa jeshi la…

19 July 2024, 2:27 pm

Shimo lakatisha maisha ya Anna, Martha Bariadi

“Usalama wa maisha ni jambo muhimu ili kutimiza malengo ya wananchi wetu nchi bila kuhakikisha usalama wa maeneo wanapotoka wananchi hatuwezi kufikia azma ya maendeleo ngazi ya jamii na taifa kwa ujumla” Na Daniel Manyanga Wanafunzi wawili waliotambulika kwa majina…