Maendeleo
20 October 2022, 11:54 am
Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Mpanda Yarejesha Fedha za Wananchi Zilizochangwa kwa…
MPANDA Ofisi ya Mkuu wa wilaya ya Mpanda imefanikiwa kuzirejesha fedha kiasi cha Shilingi Milion moja laki mbili na arobaini na tano zilizochangwa na wananchi wa mtaa wa mtemi beda kata ya misunkumilo ili wapimiwe viwanja. Akizungumza na Mpanda redio…
13 October 2022, 5:27 am
KINANA Ataja Mambo Manne Yaliyokuwa Yakisimamiwa Na Mwalimu NYERERE Ili Kuleta M…
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi ( CCM) Tanzania Bara Kanali Mstaafu Abdulrahman Kinana ametaja mambo manne ambayo Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere alikuwa akiyasimamia enzi ya uhai wake kwa ajili ya maendeleo ya Watanzania. Kinana ameyataja mambo…
28 September 2022, 6:53 pm
Fursa kibao za ajira zatangazwa kwaajili ya Wananchi
Wananchi wilayani Karagwe wamehimizwa kujiandaa ili waweze kunufaika kiuchumi kupitia Ujio wa mbio za Mwenge wa Uhuru utakao kesha katika uwanja wa changarawe Kayanga October 08 mwaka huu. Ni wito uliotolewa na mkuu wa wilaya Karagwe Mwalimu Julieth Binyura Sept…
16 September 2022, 4:43 am
Zaidi ya Wanafunzi 5,000 Kusomea Chini Kata ya Shanwe
MPANDA Zaidi ya wanafunzi 5000 katika Kata ya Shanwe manispaa ya Mpanda mkoani katavi hawana sehemu ya kusomea hali ambayo inapelekea kusomea nje. Akizungumza na Mpanda Redio FM Diwani wa Kata ya Shanwe Masumbuko Makolo kolo amesema kuwa shule zilizopo…
11 September 2022, 3:42 pm
Sh .Bilioni 1.7 Za Uviko_19 Zakamilisha Mradi Wa Jengo La Madarasa, Maabara Na O…
Fedha za Mpango wa Maendeleo kwa Ustawi wa Taifa na Mapambano dhidi ya UVIKO 19 zaidi ya bilioni 1.7 imewezesha kukamilishwa kwa Mradi wa jengo la madarasa, maabara na ofisi katika Chuo cha Ufundi Arusha (ATC) Akitoa taarifa ya utekelezaji…
7 September 2022, 10:55 am
Wananchi Wahoji Mil. 10 Kutumika Kujenga Choo Mnadani
KATAVI Uongozi wa Kata ya Majengo Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi umetoa ufafanuzi juu ya swali la mwananchi kutaka kujua kiasi cha fedha cha Tsh Milion kumi kilichotumika katika ujenzi wa choo cha wafanyabiashara wa Mnada Kapripoiti. Akizungumza katika Mkutano…
18 August 2022, 10:34 am
Meja Jenerali Suleimani Mzee mkuu wa Mkoa wa Mara ajitambulisha Bunda amtaka mka…
Mkuu wa Mkoa wa Mara Mhe Suleimani Mzee amefanya ziara katika Wilaya ya Bunda inayojumuisha Halmashauri 2 na majimbo matatu Akimkaribisha katika ziara hiyo mkuu wa Wilaya ya Bunda Mh Joshua Nassar amesema kwa Wilaya ya Bunda kuna mafanikio mengi…
7 July 2022, 9:17 pm
Mwenge wa uhuru wazindua miradi yenye thamani ya shilingi bilioni 2.2.Bunda
Mwenge wa Uhuru uwapo katika Halmashauri ya Mji wa Bunda tarehe 05.07.2022 umetembelea na kukagua Miradi mbalimbali, Umeweka jiwe la Msingi na kuzindua Miradi nane yenye thamani ya zaidi ya Shilingi Bilioni 2.2. Miradi iliyozinduliwa ni madarasa matatu na Ofisi…
8 June 2022, 3:45 pm
TUWEZESHENI, TUKAWAWEZESHE
Wanachama wa Chama cha wafugaji wa ngombe wa maziwa cha Kashauriri Livestock Keepers kilichopo Wilayani Mpanda wameomba kuwezeshwa na taasisi za fedha kwa lengo la kujikwamua kiuchumi na kutoa fursa ya ajira kwa jamii. Wakizungumuza wakati wa kilele cha maadhimisho…
26 May 2022, 1:27 pm
VIJIJI SABA KUNUFAIKA NA UPATIKANAJI WA MAJI KATAVI
Vijiji saba vilivyopo ndani ya Wilaya ya Mpanda mkoani katavi vitanufaika na upatikanaji wa maji kupitia Wakala wa maji na usafi wa Mazingira vijijini (RUWASA) katika mwaka wa fedha 2022/23. Akizungumza na Mpanda Radio FM Meneja wa RUWASA Wilayani Mpanda…