Radio Tadio

Lishe

1 February 2023, 11:51 am

Mrindoko Atoa Siku Saba Majibu ya Mkataba wa Lishe

KATAVIMkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko ametoa siku saba kwa wakurugenzi wa halmashauri, waganga wakuu walaya na maafisa lishe kutoa maelezo ya kina kwa maandishi kwa kushindwa kusimamia mkataba wa lishe. Agizo hilo amelitoa wakati wa kikao cha kujadili…

3 December 2022, 12:47 pm

Wananchi washauriwa kuunga mkono bishaa za wajasiliamali wa ndani

Wananchi kisiwani pemba wametakiwa kutumia bidhaa zinazozalishwa na wajasiriamali wanawake ili kuunga mkono juhudi za kujikwamua na umasikini. Akizungumza na mwandishi wa habari hizi Habiba Khamis Mohd mjasiriamali na muuzaji wa unga wa lishe wa Hopeca amesema imefika wakati sasa…

9 June 2022, 15:32

Serikali kufanya uwekezaji wa lishe kupambana na utapia mlo

Na;Mindi Joseph Chanzo. Serikali imeahidi kufanya Uwekezaji Kitaifa katika lishe nchini kama sehemu ya mapambano dhidi ya utapiamlo kuanzia ngazi ya Kaya hadi Taifa. Akizungumza Jijini Dodoma Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu  (Sera, Bunge na Uratibu) Mhe. George…