Kilimo
16 Januari 2026, 14:15
Kigoma waaswa kuchukua tahadhari majanga ya moto kwenye usafiri
Jeshi la Zima moto na uokoaji Mkoani Kigoma limewataka wananchi kuhakikisha wanachukua tahadhari za majanga ya moto. Na Sadiki Kibwana Wananchi wanaotumia bandari za Mkoa wa Kigoma wametakiwa kuchukua tahadhari mapema kabla ya kuanza kusafiri majini ili kujikinga na majanga…
16 Januari 2026, 11:38
Wakuu wa shule watakiwa kusimamia ufaulu kwa wanafunzi Kasulu
Serikali imesema inaendelea kuweka mikakati ya kuhakikisha inaongeza ufaulu kwa wanafunzi wa shule za msingi na Sekondari Wakuu wa shule za msingi na Sekondari katika Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu Mkoani Kigoma wametakiwa kusimama kidete kuhakikisha ufaulu kwa wanafunzi unaongezeka.…
19 Disemba 2025, 13:03
Wahitimu UBA waaswa kuzingatia maadili ya uandishi wa habari Kigoma
Wahitimu na wanafunzi wa vyuo mbalimbali nchini wanaosoma fani ya uandishi wa habari, wameshauriwa kuongeza ujuzi wao katika masuala ya kidijitali, ili kuepusha matumizi mabaya ya teknolojia yanayoweza kupotosha umma. Na Orida Sayon Wahitimu kutoka chuo cha utangazaji Ujiji Broadcasting…
4 Disemba 2025, 14:17
DC Kigoma asisitiza wanafunzi kupata chakula shuleni
Chakula ni sehemu muhimu sana katika maisha ya mwanafunzi shuleni hasa walio katika umri wa ukuaji, wanahitaji virutubisho vya kutosha kama protini, vitamini, madini, na wanga ili miili yao ikue kwa afya lishe duni inaweza kusababisha kudumaa, udhaifu, na magonjwa…
2 Disemba 2025, 09:24
Wananchi waaswa kuendelea kulinda amani Kigoma
Amani ni nguzo muhimu katika maisha ya binadamu na msingi wa ustawi wa jamii yoyote ile bila amani, hakuna jambo linaloweza kufanikiwa ipasavyo na ndiyo maana jamii nyingi duniani huchukua hatua mbalimbali kuhakikisha kuwa amani inadumishwa na amani si jukumu…
1 Disemba 2025, 16:25
Wazazi waaswa kufuatilia maendeleo ya watoto shuleni Kigoma
Wazazi wanapofuatilia maendeleo ya watoto wanaweza kugundua mapema kama mtoto ana matatizo ya kitaaluma, kitabia, au kihisia ili changamoto zikibainika, ni rahisi kupata suluhisho kabla hazijawa kubwa na ushiriki wa mzazi umethibitishwa kuwa na athari chanya kwenye matokeo ya mtoto…
29 Novemba 2025, 10:01
Bodi ya Maji Uroki Bomang’ombe yahitimisha ukaguzi na tathmini ya miundombinu
Bodi ya Maji Uroki Bomang’ombe imehitimisha ukaguzi wa kila mwaka wa vyanzo na miundombinu ya maji katika Wilaya ya Hai, lengo ikiwa ni kuhakikisha miradi ya maji inakuwa endelevu na maji yanayotolewa kwa wananchi ni salama, na huduma ya maji…
26 Novemba 2025, 15:47
World vision yakabidhi madarasa mapya na vyoo Kasulu
Shirika la World Vision Tanzania limekabidhi madarasa na vyoo kwa uongozi wa Halmashauri ya Wilaya Kasulu ikiwa nisehemu ya kuunga mkono juhudi za kuboresha sekta ya elimu Na Mwandishi wetu Mkuu wa Wilaya ya Kasulu Kanali Isaack Mwakisu, amelipongeza Shirika…
25 Novemba 2025, 11:00
Wazazi waaswa kuzingatia elimu ya awali kwa watoto
Wito umetolewa kwa wazazi na walezi wilayani Kigoma mkoani Kigoma kuwekeza kwenye elimu kwa kuhakikisha wanawasomesha watoto wao ili waweze kufikia ndoto zao. Na Sofia Cosmas Wazazi na walezi wametakiwa kuwapeleka watoto kusoma elimu ya awali katika shule zilizopo karibu…
24 Novemba 2025, 12:32
Wazazi watakiwa kuchangia chakula shuleni Kibondo
Wazazi na Walezi Wilayani Kibondo Mkoani Kigoma wametakiwa kuwa na desturi ya kuanda lishe bora kwa watoto Na Dotto Josephati Wazazi Wilayani Kibondo Mkoani Kigoma wanatakiwa kuongeza juhudi kwa kuwachangia chakula cha watoto wao shuleni ili iwasaidie kuongeza ufanisi wa…