Radio Tadio

Kilimo

17 November 2025, 17:12

Wahitimu VETA Kibondo wahimizwa kujikwamua kimaisha

Wahitimu katika chuo cha ufundi stadi veta Wilayani Kibondo mkoani Kigoma wamehimizwa kutumia mafunzo waliyoyapata kwa ajili ya manufaa yao ili waweze kujikwamua katika maisha yao ya kila siku hali itakayopunguza wimbi la vijana wasio na ajira hapa nchini. Na…

6 November 2025, 13:56

Waratibu wa JZK watakiwa kuleta matokeo chanya kwenye elimu

Serikali imeendelea kuwanoa waratibu wa Jumuiya za Kujifunza ili waweze kusiamamia maadili ya kazi Na Emmanuel Kamangu Waratibu wa Jumuiya za Kujifunza (JZK) katika Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu wametakiwa kuacha tabia ya kutanguliza posho mbele hasa wanaposhiriki mafunzo badala…

23 October 2025, 5:10 pm

Zaidi ya milioni 156 zimetolewa kwa wajasiliamali Itilima

“Tunataka kuwa na wananchi wenye uchumi himilivu katika taifa hili ili kusaidia kupunguza umasikini uliokithili,kupunguza vifo vitokanavyo na watu kukosa pesa ya kujikimu kimatibabu ikuwa pamoja na kuondoa changamoto ya wimbi la watoto mitaani”.  Na,Daniel Manyanga  Zaidi ya milioni 156…

10 October 2025, 21:35

Sirro ahimiza watoto kusoma masomo ya sayansi Kigoma

Serikali imesema itaendelea kushirikiana na wadau wa maendeleo katika kubotesha miundombinu ya kujifunza na kufundishia ili kuhakikisha watoto wanapata elimu iliyo bora Na Mwandishi wetu Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Balozi Simon Sirro amewahimiza wazazi Mkoani Kigoma kuhamasisha watoto kuyapenda…

10 October 2025, 11:45

Walimu wanolewa kutengeneza zana za kufundishia Kigoma

Katika kuhakikisha walimu wanaendelea kuwa mahiri katika ufundishaji serikali imeendelea kuwapa ujuzi wa walimu ili kufahamu namna ya kutengeneza zana za kufundishia wanafunzi. Na Tryphone Odace Mafunzo ya uandaaji na utengenezaji wa zana za kufundishia na kujifunzia kwa Walimu mahiri…

9 October 2025, 16:31 pm

Mkaa wenye moto waunguza nyumba Mangamba chini

Nyumba ya mkazi wa Mangamba Chini, Bw. Roboti, imeteketea kwa moto asubuhi ya Oktoba 8, 2025, kutokana na mkaa uliokuwa bado una moto. Jeshi la Zimamoto lilifika kwa haraka kuzima moto huo, huku viongozi na majirani wakitoa pole na elimu…

8 October 2025, 12:04

Wamiliki vyombo vya habari Kigoma watakiwa kuajiri wenye taaluma

Serikali imeendelea kuwakumbusha wamiliki wa vyombo vya habari kufuata matakwa ya kisheria kwa kuhakikisha wanatumia na kuajiri waandishi wa habari wenye taaluma ya habari. Na Josephine Kiravu Wamiliki wa vyombo vya habari mkoani Kigoma wametakiwa kuajiri wanahabari wenye taaluma ya…

6 October 2025, 10:03

Wanafunzi walia na wazazi kuwachagulia masomo Kigoma

Wito umetolewa kwa wazazi na walezi kuwaunga mkono watoto wao katika masomo wanayopenda kusoma na kuacha kuwalazimisha kusoma masomo ambayo hawayawezi Na Emmanuel Kamangu Wanafunzi wa kidato cha nne katika shule ya Sekondari Mikamba Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma wamewaomba…

22 September 2025, 14:03

Mwenge wa uhuru wazindua kituo cha sayansi Buhigwe

Jumla ya miradi 7 ya maendeleo yenye thamani ya zaidi ya Shilingi bilioni 2 wilayani Buhigwe Mkoani Kigoma imetembelewa,kuzinduliwa na mingine kuwekewa mawe ya msingi na kiongozi wa mbio za mwenge wa uhuru Kitaifa Ismail Ali Ussi. Na Emmanuel Kamangu…

17 September 2025, 15:06

Ussi akoshwa na mradi wa nyumba za walimu Kasulu

Katika kuthamini mchango wa watumishi  wa Umma, Serikali imeendelea kuimarisha mazingira ya kutolea huduma ikiwemo kujenga nyumba kwa ajili ya makazi ya watumishi ili kuongeza ufanisi katika utendaji kazi wao. Na Hagai Ruyagila Kiongozi wa mbio za Mwenge wa Uhuru…