
Kilimo

3 March 2025, 12:36 pm
Maswa:Halmashauri maswa yazindua mnada mpya
Halmashauri Wilayani Maswa Mkoani Simiyu imeendelea na adhima yake ya kuhakikisha inaongeza ukusanyaji wa mapato kwa kuanzisha vyanzo vipya vya mapato kwa lengo la kuharakisha maendeleo Wilayani hapo Na, Alex Sayi-Maswa Simiyu. Halmashauri wilayani Maswa mkoani Simiyu imeanzisha gulio na…

2 March 2025, 11:16 am
Mnada mpya wazinduliwa Maswa, Watajwa kuongeza Mapato ya Halmashauri
Malengo ya kuanzishwa kwa Mnada huo ni kusogeza huduma kwa Ukaribu ya uuzaji wa Mifugo, Upatikanaji wa Mahitaji mbalimbali ya kila siku kwa Wananchi wa Wigelekelo na maeneo jirani pamoja na kuongeza wigo wa Ukusanyaji wa Mapato katika Halmashauri Na…

1 March 2025, 9:42 am
Kyerwa yajivunia ongezeko la sekondari za kidato cha tano na sita
Ofisi za uthibiti ubora wa elimu katika halmashauri za wilaya mkoani Kagera zimeendelea na ufuatiliaji wa miradi ya elimu na kuishukuru serikali kwa jinsi inavyoendelea kusajili na kusimamia shule za msingi na sekondari Na Ezra Lugakila Afisa uthibiti ubora wa…

26 February 2025, 14:38
TEA yakabidhi mradi wa nyumba nne na madarasa matatu Kasulu
Serikali imeendelea kuboresha elimu nchini kwa kujenga vyumba vya madarasa ili wananfunzi waweze kupata elimu bora. Na Hagai Ruyagila Mamlaka ya Elimu Tanzania TEA imekabidhi mradi wa nyumba nne kwa shule ya sekondari Nyumbigwa na madarasa matatu katika shule ya…

25 February 2025, 6:17 pm
Maswa mbioni kuzalisha chaki zitakazouzwa nchi nzima
Kiwanda cha kuzalisha chaki kilichopo wilayani Maswa mkoani Simiyu mbioni kuzalisha chaki zitakazokuwa mwarobaini kwa mahitaji ya chaki nchini kwa shule za msingi na sekondari. Na, Alex Sayi Halmashauri ya Wilaya ya Maswa mkoani Simiyu iko mbioni kuanza uzalishaji wa…

24 February 2025, 3:51 pm
TRA mkoa wa Simiyu yakusanya bilioni 14.2 kwa miezi sita
‘‘Hakuna mtu yeyote atakayetoka nje ya nchi kuja hapa nchini kwetu kutuambia namna bora ya kulifanya taifa letu liweze kusonga mbele katika kutekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo ili kufikia malengo mama ya taifa kama sisi wenyewe hatutaweza kulipa kodi kwa…

19 February 2025, 10:45
Baraza la madiwani lapitisha bajeti ya bilioni 35.7 Kasulu Mji
Kaimu Mkuu wa Wilaya Kasulu Kanali Kanali Michael Ngayalina ambaye pia ni Mkuu wa Wilaya Buhigwe amesema bajeti iliyopishwa ikawe chachu ya kuchochea maendeleo kupitia miradi mbalimbali Na Hagai Ruyagila – Kasulu Baraza la Madiwani wa halmashauri ya Mji Kasulu…

19 February 2025, 9:15 am
Wananchi watakiwa kutunza mazingira
Picha ikionesha takataka zilizotupwa ovyo. Picha na Leah Kamala “Wananchi watunze mazingira ili kuepuka magonjwa ya mlipuko” Baadhi ya wananchi wa manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wameta maoni yao mseto kuhusiana na mandhara ya utupaji holela wa taka katika mazingira.…

18 February 2025, 17:24
Baraza la madiwani lapitisha bajeti ya zaidi ya bilioni 36 Kigoma Dc
Mawadiwani katika halmashauri ya wilaya Kigoma wametakiwa kubuni vyanzo vipya vya mapato ili kuongeza mapato ya halmashauri hiyo. Na Tryphone Odace Baraza la madiwani katika Halmashauri ya Wilaya Kigoma limepitisha rasimu ya bajeti ya zaidi ya shilingi bilioni 36 ambayo…

10 February 2025, 11:45
M-mama yaja na suluhisho la vifo vya wajawazito, watoto
Serikali kwa kushirikiana na wadau mbalimbali wa afya wameendelea kuweka mikakati ya kupata suluhisho la tatizo la vifo vya wajawazito na watoto wachanga kwa kuhakikisha huduma za dharula zinapatikana kwenye jamii. Na Emmanuel Kamangu Katika kukabiliana na vifo vya mama…