Kilimo
29 Novemba 2025, 10:01 mu
Bodi ya Maji Uroki Bomang’ombe yahitimisha ukaguzi na tathmini ya miundombinu
Bodi ya Maji Uroki Bomang’ombe imehitimisha ukaguzi wa kila mwaka wa vyanzo na miundombinu ya maji katika Wilaya ya Hai, lengo ikiwa ni kuhakikisha miradi ya maji inakuwa endelevu na maji yanayotolewa kwa wananchi ni salama, na huduma ya maji…
26 Novemba 2025, 15:47
World vision yakabidhi madarasa mapya na vyoo Kasulu
Shirika la World Vision Tanzania limekabidhi madarasa na vyoo kwa uongozi wa Halmashauri ya Wilaya Kasulu ikiwa nisehemu ya kuunga mkono juhudi za kuboresha sekta ya elimu Na Mwandishi wetu Mkuu wa Wilaya ya Kasulu Kanali Isaack Mwakisu, amelipongeza Shirika…
25 Novemba 2025, 11:00
Wazazi waaswa kuzingatia elimu ya awali kwa watoto
Wito umetolewa kwa wazazi na walezi wilayani Kigoma mkoani Kigoma kuwekeza kwenye elimu kwa kuhakikisha wanawasomesha watoto wao ili waweze kufikia ndoto zao. Na Sofia Cosmas Wazazi na walezi wametakiwa kuwapeleka watoto kusoma elimu ya awali katika shule zilizopo karibu…
24 Novemba 2025, 12:32
Wazazi watakiwa kuchangia chakula shuleni Kibondo
Wazazi na Walezi Wilayani Kibondo Mkoani Kigoma wametakiwa kuwa na desturi ya kuanda lishe bora kwa watoto Na Dotto Josephati Wazazi Wilayani Kibondo Mkoani Kigoma wanatakiwa kuongeza juhudi kwa kuwachangia chakula cha watoto wao shuleni ili iwasaidie kuongeza ufanisi wa…
22 Novemba 2025, 09:31
Wahitimu TIA Kigoma waaswa kuwa wabunifu katika biashara
Wahitimu wa fani mbalimbali katika chuo cha uhasibu ndaki ya Kigoma wametakiwa kuendelea kuwa wabunifu ili waweze kujiajiri na kuacha kuendelea kusubiri kuajiriwa na serikali au mashirika binafsi. Na Mwandishi wetu Mkuu wa Mkoa Kigoma Balozi Simon Sirro amewataka wahitimu…
21 Novemba 2025, 08:34
RC Sirro ataka wakurugenzi kugeukia ufundishaji kidijitali
Serikali ya Mkoa wa Kigoma imesema kutokana na ukuaji wa teknolojia elimu haina budi kutolewa kwa kuzingatiamatumizi ya teknolojia kwa wanafunzi Na Mwandishi wetu Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Balozi Simon Sirro amewataka wakurugenzi wa halmshauri za mkoa Kigoma kuongeza…
20 Novemba 2025, 15:43
ENABEL yatoa msaada wa vifaa vya kufundishia Kigoma
Serikali ya Mkoa wa Kigoma imesema inaendelea kuthamini mchango wa mashirika mbalimbali yanayounga mkono juhudi za serikali katika kuboresha sekta ya elimu Na Lucas Hoha Shirika la Maendeleo la Ubelgiji ENABEL limekabidhi vifaa vya kidijitali vya kufundishia shuleni kwa Mkuu…
17 Novemba 2025, 17:12
Wahitimu VETA Kibondo wahimizwa kujikwamua kimaisha
Wahitimu katika chuo cha ufundi stadi veta Wilayani Kibondo mkoani Kigoma wamehimizwa kutumia mafunzo waliyoyapata kwa ajili ya manufaa yao ili waweze kujikwamua katika maisha yao ya kila siku hali itakayopunguza wimbi la vijana wasio na ajira hapa nchini. Na…
6 Novemba 2025, 13:56
Waratibu wa JZK watakiwa kuleta matokeo chanya kwenye elimu
Serikali imeendelea kuwanoa waratibu wa Jumuiya za Kujifunza ili waweze kusiamamia maadili ya kazi Na Emmanuel Kamangu Waratibu wa Jumuiya za Kujifunza (JZK) katika Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu wametakiwa kuacha tabia ya kutanguliza posho mbele hasa wanaposhiriki mafunzo badala…
23 Oktoba 2025, 5:10 um
Zaidi ya mil.156 zatolewa kwa wajasiriamali Itilima
“Tunataka kuwa na wananchi wenye uchumi himilivu katika taifa hili ili kusaidia kupunguza umasikini uliokithili,kupunguza vifo vitokanavyo na watu kukosa pesa ya kujikimu kimatibabu ikuwa pamoja na kuondoa changamoto ya wimbi la watoto mitaani”. Na,Daniel Manyanga Zaidi ya milioni 156…