Jamii
4 Machi 2023, 6:57 um
Madiwani Halmashauri ya Mji wa Bunda walia na mpango wa wanufaika wa TASAF kufa…
Madiwani Halmashauri ya Mji wa Bunda Mkoani Mara walia na mpango wa wanufaika wa TASAF kufanyishwa shughuli za kulima barabara ndipo wapewe fedha zao. Wakizungumza katika Baraza la Madiwani mkutano wa robo ya pili ya mwaka wa fedha 2022/2023 uliofanyika…
3 Machi 2023, 2:37 um
Baraza la madiwani Bunda mjini laagiza kukagua uwekezaji eneo la mlima balili.
Baraza la Madiwani Halmashauri ya Mji wa Bunda Mkoani Mara, limehitimisha mjadala juu ya eneo la uwekezaji la Landmasters kwa maelekezo ya kamati kukaa na kwenda na mapendekezo ambayo yatawawezesha kufanya maamuzi. Uelekeo huo umetolewa tarehe 2 March 2023 katika…
3 Machi 2023, 2:05 um
Wakaazi wa Nyamuswa walalamika kuingiliwa kingono kwa njia za kishirikina
Wakaazi wa Kijiji Cha Nyamuswa Kata ya Nyamuswa Halmashauri ya wilaya ya Bunda mkoani Mara wamelalamikia vitendo vya kuingiliwa kingono wakati wamelala jambo linaloleta taharuki kwa wananchi Wakizungumza kwa nyakati tofauti wakazi hao wamesema licha ya vitendo hivyo kukemewa na…
Machi 2, 2023, 12:48 um
Elimu kuhusu Mikopo yatolewa kwa wananchi wa Tarafa ya Ikuwo
Elimu kuhusu Mikopo yatolewa kwa wananchi wa Tarafa ya Ikuwo
1 Machi 2023, 4:38 um
RUWASA Bunda; Ifikapo 2025 Bunda kupata maji 85% vijijini
Meneja wa RUWASA wilaya ya Bunda Mhandisi William Boniphas amesema ifikapo 2025 wilaya ya Bunda itakuwa imefikia 85% ya upatikanaji wa maji vijijini kama inavyoelekeza ilani ya CCM ya 2020 na 2025 Hayo ameyasema ofisini kwake wakati akizungumza na Mazingira…
26 Febuari 2023, 11:20 mu
Mbunge Mabotto ; ameitaka serikali isione haya kuwalipa wakazi wa nyatwali stahi…
MBUNGE WA JIMBO la Bunda mjini Mhe Robert Chacha Mabotto ameitaka serikali isione haya kuwalipa wakazi wa nyatwali stahiki zao kwa kuwa siyo wavamizi. Akizungumza katika kikao cha wananchi kilichoitishwa na mkuu wa wilaya ya Bunda Mhe Dkt Vicent Naano…
23 Febuari 2023, 9:24 um
Sitaki niongoze wilaya ya watu wenye njaa : DC Bunda
Mkuu wa Wilaya ya Bunda Mhe Dkt Vicent Naano amesema hataki kuongoza Wilaya ambayo watu wake Wana njaa Kauli hiyo ameitoa kwenye kikao Cha Baraza maalumu la madiwani lililoketi Juma hili kulijadili zoezi la Nyatwali Amesema katika maeneo mengi ya…
23 Febuari 2023, 9:22 um
DC Naano asema wakazi wa Nyatwali watapata haki zao
Mkuu wa wilaya ya Bunda mhe Dkt Vicent Naano amewatoa hofu madiwani wa Halmashauri ya Mji wa Bunda kuwa hoja zao juu ya suala la Nyatwali wamezichukua na watashauriana na mamlaka husika kuweza kupata muafaka uliyo sahihi. Mhe Dkt Naano…
22 Febuari 2023, 11:26 mu
Tasisi ya TAMWA na TUJIPE wapania kumaliza suala la udhalilishaji
NA Amina Masoud WAZAZI na walezi kisiwani Pemba wamezishukuru taasisi za kiharakati zinazo ongozwa na wanawake kwa kuwapatia elimu ya kutoa ushahidi Mahakamani ili kuepuka kumaliza kesi za udhalilishaji katika ngazi za familia. Wakizungumza kwa nyakati tofauti baadhi ya wazazi…
20 Febuari 2023, 4:20 um
Mashekhe watakiwa kufanya kazi kwa weledi
Baadhi ya mashekhe wa kata wameshindwa kuwa na fikra ya utatuzi wa baadhi ya changamoto katika jamii ikiwemo masuala ndoa, migogoro ya kifamilia na kuwa na njia ya kuhakikisha ofisi za kata zinapatikana Na Seleman Kodima. Baraza la Waislamu Tanzania(BAKWATA)…