Habari
22 February 2025, 6:59 pm
Ukosefu wa mfumo wa utiririshaji maji kilio kwa wananchi
Wananchi mkoa wa Kigoma walia na serikali juu ya ukosefu wa mfumo wa utiririshaji wa maji wadai kunawapelekea kupatwa na magonjwa ya mlipuko. Na Linda Dismas Wananchi wilaya ya Uvinza mkoani Kigoma wameeleza changamoto wanazokumbana nazo kutokana na kutokuwa na…
14 February 2025, 9:26 am
Washauriwa kuongeza kasi ulaji vyakula vyenye lishe bora
Serikali imeendelea kusisitiza suala la ulaji wa vyakula vyenye lishe bora kwa wazazi na watoto. Na Theresia Damas Halmashauri ya Wilaya ya Uvinza imefanya tathmini ya kikao kuangazia lishe bora ikiwa na maazimio mbalimbali ikiwemo watoto kula shuleni ili kuwajenga…
11 February 2025, 4:52 pm
Wananchi waaswa kula vyakula vya kunde
Wananchi wametakiwa kujenga tabia ya kula vyakula vya jamii ya mikunde kwa lengo la kuboresha Afya. Na Theresia Damas Ikiwa ni Maadhimisho ya siku ya mikunde Duniani, wananchi wametakiwa kujenga tabia ya kula vyakula jamii ya mikunde kwa lengo la…
3 February 2025, 7:41 pm
TCRA kutoa mafunzo udhibiti uhalifu mtandaoni Kilombero
Na Katalina Liombechi Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania TCRA imesema itaendelea kushirikiana na wadau kushughulikia changamoto za kimawasilino ili kuhakikisha huduma hiyo inakuwa salama kwa watumiaji. Meneja kitengo cha watumia huduma ya mawasiliano TCRA Mhandisi Kadaya Baluhye ameyasema hayo February 2,2025…
28 January 2025, 9:30 pm
Wakimbizi 16 Nyarugusu hufariki kila wiki
Wakazi wengi katika kambi ya wakimbizi Nyarugusu wana uhaba mkubwa wa vyandarua. Na Emmanuel Kamangu Wakimbizi 9 mpaka 16 katika kambi ya Nyarugusu wilayani Kasulu mkoani Kigoma hufariki kila wiki kutokana na ugonjwa wa malaria. Akizungumza na Uvinza FM, Mkuu…
27 January 2025, 6:23 pm
Mtoto wa miaka 7 afariki kwa kuunguzwa moto
Picha ya mwenyekiti wa mtaa wa Kasimba Benard Nswima. Picha na Anna Mhina “Mtoto wa miaka 7 afariki dunia kwa madai ya kuunguzwa moto” Na Eda Enock Mtoto mmoja aliyefahamika kwa jina la Hamisi mwenye umri wa miaka 7 amefariki…
25 January 2025, 5:04 pm
Mazingira machafu mighahawani yanavyohatarisha maisha ya watu
Mama n’tilie wakiendelea na shughuli zao za kupika chakula. Picha kutoka maktaba Walaji wa vyakula vya mighahawani walia na changamoto wanazozipata kutokana na vyakula hivyo. Na Kelvin Mambaga Wananchi wa wilaya ya Uvinza mkoani Kigoma wameeleza namna ambavyo mazingira ya…
15 January 2025, 10:11 pm
Jamii yaaswa kula mboga za majani kuepuka magonjwa
Kwa sababu mboga za majani zina madini mbalimbali yanayosaidia katika kuimarisha afya kwa ujumla. Na Emmanuel Kamangu Jamii katika halmashauri ya mji wa Kasulu mkoani Kigoma imeshauriwa kujenga tabia ya kula mbogamboja za majani kwa ajili ya kuimalisha mfumo wa…
14 November 2024, 7:41 pm
Madiwani Bunda Mjini watishia kwenda mahakamani kudai fidia Nyatwali
Madiwani wanahitaji kujua thamani ya fedha kwa mali za halamshauri ya mji wa Bunda ambazo zimefanyiwa tathimini katika kata ya Nyatwali ambapo imechukuliwa na Tanapa. N Adelinus Banenwa Madiwani wa Halmashauri ya Bunda mji watishia kwenda mahakamani juu ya malipo…
29 October 2024, 9:08 am
Vyombo vya habari vyatakiwa kufuata sheria kuandaa maudhui ya uchaguzi
Serikali na wadau wameendelea kutoa elimu kuhusu uchaguzi wa serikali za mitaa mwaka huu, huku wananchi wakitakiwa kujitokeza kuchagua viongozi watakao wafaa kwa kipindi cha miaka mitano ijayo. Na;Elisha Magege Vyombo vya Habari nchini vimatakiwa kufuata sheria, kanuni na miongozi…