Habari za Jumla
20 Juni 2024, 18:48
Kwaya kuu kanisa la Moravian jimbo la kusini magharibi wafanya ziara Uswiss
Baadhi ya Wanakwaya ya Wawakilishi Kanisa la Moravian Tanzania Jimbo la Kusini Magharibi wakiwa nchi ya Uswiss Na Ezekiel Kamanga Makamu Mwenyekiti wa Kanisa la Moravian Tanzania Jimbo la Kusini Magharibi Mchungaji Asulumenye Ever Mwahalende ameongoza Kwaya ya Jimbo katika…
20 Juni 2024, 15:21
Mbeya DC yanufaika na mabilioni ya fedha za Dkt. Rais samia
Shukrani ni sehemu ya kukubali matokeo ya jambo ambalo mtu au watu wanakuwa wamelipata,katika halmashauri ya Mbeya wananchi wameipongeza serikali kupitia ziara ya MNEC Ndele Mwaselela kwa kupeleka maendeleo kwenye maeneo yao. Na Hobokela Lwinga Serikali kupitia ilani ya chama…
19 Juni 2024, 6:51 um
Wanahabari Manyara wanolewa mradi bomba la mafuta
Ili kutekeleza mradi wa bomba la mafuta hoima Uganda hadi jiji Tanga na mkoa wa Manyara waandishi wa habari mkoani Manyara watakiwa kuendlea kutoa elimu kwa jamii kuhusu mradi huo na manufaa yake. Na Geogre Augustino Zaidi ya asilimia 99…
19 Juni 2024, 4:44 um
Jamii ya Maasai kuongozwa na viongozi wa kimila wanawake
Ni mara chache kushuhudia viongozi wa kimila wanawake wameaminiwa na kupewa nafasi katika kuongoza jamii, lakini shirika la Memutie limefanikiwa kuielimisha jamii ya kimaasai na kukubali kupata viongozi wa kimila wanawake maarufu Ingaigwanak na kuwasimika rasmi tayari kuanza majukumu yao.…
18 Juni 2024, 8:45 um
Waumini wa dini ya Kiislam Katavi watakiwa kujikita katika shughuli za maendeleo
Katika swala ya Eid Al Adha. “Ibada nzuri ni ile ya kuifikia jamii katika shughuli mbalimbali za maendeleo.” Na Fatuma Said -Katavi Katika kusherehekea sikukuu ya Eid Al Adha, Shehe Mkuu wa mkoa wa Katavi Mashaka Kakulukulu, amewataka waumini wa…
17 Juni 2024, 15:34
Waislamu wametakiwa kuwajali wasiojiweza
Wakati waislamu duniani kote wakiwa wameungana kusherekea siku ya Eid El Hajj wito umetolewa kwao kuendelea kuwasaidia watu wasiojiweza hasa wanaishikatika mazingira magumu. Na Hagai Ruyagila – Kasulu Waumini wa dini ya Kiislamu wilayani Kasulu mkoani Kigoma wameaswa kusherehekea sikukuu…
17 Juni 2024, 1:21 um
Maswa: Serikali yaombwa kuwekeza kwenye elimu jumuishi kwa watoto,vijana
“Elimu jumuishi kwa watoto na vijana itasaidia sana kupunguza wimbi la watoto mitaani na utegemezi wa ajira kutoka serikalini hivyo tusiogope kuwekeza kwenye elimu jumuishi.” Na Daniel Manyanga Wadau wa maendeleo kwa watoto na vijana wilayani Maswa mkoani Simiyu wameomba…
16 Juni 2024, 11:39
Wawili wafariki, 16 kujeruhiwa Mafinga
Na Bestina Nyangaro Watu wawili wamefariki Dunia na wengine 16 kujeruhiwa, wakiwemo watumishi 6 wa shirika la umeme (TANESCO) Mafinga na wakatamiti katika shamba la miti Sao Hill. Ajali hiyo imetokea Juni 15, 2024 ikihusisha gari namba T195 EDF aina…
15 Juni 2024, 11:15 mu
Wazazi Katavi waaswa kutowaozesha mabinti katika umri mdogo
“Wazazi wanachangia mimba za utotoni kwa watoto wao kutokana na kuruhusu watoto hao kuwa na mahusiano katika umri mdogo“ Na Lilian Vicent -Katavi Kuelekea maadhimisho ya Siku ya Mtoto wa Afrika ambayo hufanyika kila tarehe 16 Juni kila mwaka, halmashauri…
14 Juni 2024, 9:07 mu
Dc Ngorongoro:Tatueni migogoro kwenye kata zenu
Na Zacharia James Mkuu wa wilaya ya Ngorongoro Mhe.kanali Wilson Sakulo amewataka waheshimiwa madiwani kushiriki kikamilifu kusaidia kutatua migogoro yote iliyopo katika maeneo ya kata zao kwani wao wananguvu kubwa na imani ya Wananchi wao. Ameyasema hayo katika mkutano wa…