Habari za Jumla
1 Oktoba 2024, 8:25 um
Ujumbe wa marehemu wazua ‘Utata’ Arusha
Na Joel Headman Arusha Jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha linafanya uchunguzi wa kifo cha mtu mmoja mkazi wa Baraa jijini Arusha aliyekutwa msituni akiwa amening’inia juu ya mti. Akitoa taarifa kwa vyombo vya habari leo, kamanda wa Polisi Mkoa…
01/10/2024, 19:54
Miundombinu wezeshi inahitajika Viziwi kushiriki chaguzi zijazo
Na Mariam Matundu Kuelekea katika uchaguzi wa serikali za mitaa kundi la viziwi bado linatajwa kuachwa nyuma katika kushiriki mchakato huo kutokana na changamoto ya mawasiliano. Hii ni kutokana na uhaba wa wakalimani wa lugha ya alama katika mchakato huo…
01/10/2024, 19:53
Mradi wa bwawa kuipaisha Swaswa kiuchumi
Na Mindi Joseph. Ujenzi wa eneo la mapumziko katika Bwawa la Swaswa Jijini Dodoma unatarajiwa kuwanufaisha wananchi kiuchumi. Bwn. Isaack Daniel ambaye ni mjumbe na pia msimamizi wa ulinzi na usalama katika mtaa wa Swaswa amezitaja fursa za kiuchumi zinazotokana…
01/10/2024, 16:36
Comrade Mobitu ajitambilisha kwa wanachama baada ya kuteuliwa
MASASI. Katibu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoani Mtwara Comrade Mobutu Malima amefanya mkutano na Wajumbe wa Chama hicho kutoka Wilaya ya Masasi ikiwa ni sehemu ya kuja kijitambulisha Baada ya kuteuliwa kuwa Katibu wa Ccm Mkoa wa Mtwara. Akizungumza…
30/09/2024, 19:10
Elimu zaidi ya VVU yahitajika kwa Vijana
Na Yussuph Hassan. Vijana Jijini Dodoma wameomba elimu iendelee kutolewa ili kukumbusha jamii juu ya kujikinga na maambukizi ya Virusi vya UKIMWI. Wakizungumza nyakati tofauti na Dodoma TV wakazi hao wamesema kuwa kwa kufanya hivyo itasaidia kupunguza maambukizi mapya ya…
30/09/2024, 19:09
Chidachi walilia urasimishaji wa makazi
Na Nazael Mkude . Wakazi wa Chidachi Kusini Mkoani Dodoma wameomba kupata huduma ya upimaji wa viwanja pamoja na kurasimishiwa makazi yao ambayo wamekuwa wakiyatumia kwa muda mrefu. Wakieleza malalamiko yao kupitia kituo cha habari cha Dodoma TV, wamesema kuwa…
27/09/2024, 20:42
Vijana tumieni vipaji kutatua changamoto ya ajira
Na Steven Noel. Changamoto kubwa inayowakabili vijana kwa sasa ni suala la upatikanaji wa ajira. Kutokana na changamoto hiyo, baadhi ya vijana wamefikiria njia mbadala ya kutumia vipaji walivyonavyo ili kujipatia kipato ili kuweza kujikimu kimaisha. Hapa tumsikie moja ya…
27/09/2024, 20:42
Hakuna tozo kuandikisha au kuboresha taarifa daftari la mpiga kura
Na Mindi Joseph. Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mh. Rosemary Senyamule ameonya juu ya upotoshaji unaofanywa na baadhi ya watu kuhusu mwenendo wa zoezi la uandikishaji wananchi katika daftari la kudumu la mpiga kura . Akizungumza na waandishi wa habari…
25/09/2024, 20:27
Sagini awapongeza waandishi wa habari
Na Yussuph Hassan Naibu Waziri wa Katiba na Sheria, Mhe. Jumanne Sagini amepongeza waandishi wa habari kwa kutumia kalamu zao kujenga nchi ,kukosoa pamoja na kuelimisha wakati akifungua semina ya wanahabari ya kusherekea miaka 70 ya Misaada ya Japan. Shirika…
25 Septemba 2024, 8:26 mu
Mtoto wa miaka 6 atelekezwa na baba yake mzazi mjini Sengerema
Kufuatia kuwepo kwa matukio ya mauaji na utekaji wa watoto nchini, baadhi ya wazazi au walezi wamekuwa na tabia ya kutelekeza watoto mtaani nyakati za usiku na baadaye kulalamika kuwa watoto wao wametekwa na wasiojulikana. Na:Emmanuel Twimanye Mtoto anaye kadiliwa…