Habari za Jumla
23 Agosti 2024, 1:17 um
Waandishi wa habari waaswa kufanya kazi kwa maslahi ya wananchi
Kufuatia yanayoendelea Ngorongoro na kuelekea Uchaguzi wa serikali za mitaa maratibu wa THRDC awataka Waandishi wa habari wasikae kimya kwa sababu wananchi wanaumia. Na Saitoti Saringe Akizingumza hii leo Agosti 23, 2024 jijini Dodoma akifungua mafunzo kwa Waandishi wa Habari…
23 Agosti 2024, 12:23 mu
Mhitimu kidato cha sita Loliondo afariki kwa kupigwa risasi kwenye maandamano
Ni maandamano yaliyofanyika Agosti 21, 2024 mkoani Simiyu kwa wananchi kuandamana wakidai polisi kutochukua hatua ya kufuatilia matukio ya kupotea kwa watoto na kupatikana wakiwa wamefariki dunia. Na mwandishi wetu. Kijana Meshack Daudi Paka (21) mhitimu wa kidato cha sita…
22 Agosti 2024, 3:20 um
CHADEMA: Tatizo la Ngorongoro haliwezi kumalizwa na mitutu ya bunduki
Hakuna tamko lolote rasmi kutoka serikalini kuhusu maandamano ya wananchi wanaoishi tarafa ya Ngorongoro kuhusu kero mbalimbali zinazowakabili. Na mwandishi wetu. Chama cha demokrasia na maendeleo Chadema kupitia mwenyekiti wa chama hicho mh Freeman Mbowe wametoa tamko na msimamo wao…
22 Agosti 2024, 9:33 mu
367 wahamia Msomera licha ya maandamano Ngorongoro
Kumekuwa na maandamano kwa wananchi wanaoishi tarafa ya Ngorongoro wakiitaka serikali kuwasikiliza na kutatua changamoto na kero zinazowakabili bila ya mafanikio, hata hivyo wengine wameendelea kukubali kuhama kwa hiari kulekea Msomera. Na mwandishi wetu. Mwitikio wa wananchi wanaoishi katika eneo…
20 Agosti 2024, 12:13 um
Wakatazwa kujihusisha na kilevi wakati wa uandikishaji
Tume huru ya uchaguzi nchini inatarajia kuanza zoezi la uboreshaji daftari la kudumu la mpiga kura kwa mikoa ya Mwanza na Shinyanga tar21/08/2024 Na:Emmanuel Twimanye Maafisa uandikishaji wa uboreshaji wa Daftari la kudumu la wapiga kura katika Jimbo la Sengerema…
19 Agosti 2024, 16:42
Maafisa ugani watakiwa kuwatembelea wakulima Kigoma
Mkuu wa Mkoa Kigoma Kamishna Jenerali mstaafu wa jeshi la zimamoto na uokoaji Thobias Andengenye amewataka maafisa ugani kuwatembelea maafisa ugani na kusikiliza kero zinazowakabili kwenye shughuli za kilimo na kuzitatua. Na Tryphone Odace – Kigoma Kutatuliwa kwa Changamoto ya…
Agosti 19, 2024, 2:51 um
Gari la uzoaji taka lazua malalamiko Kahama
Na, Neema Yohana, Veronica Kazimoto Baadhi ya wananchi wa Mtaa wa Nyasubi Manispaa ya Kahama Mkoani Shinyanga wameiomba serikali ya mtaa wa Nyasubi Kutatua changamoto ya kuchelewa kwa gari linalotumika kukusanya taka zinazozalishwa kwenye makazi yao. Wametoa ombi hilo wakati…
18 Agosti 2024, 8:59 um
NCAA: Shughuli za utalii zinaendelea Ngorongoro pamoja na uwepo wa maandamano
Idadi kubwa ya wananchi wanaoishi katika tarafa ya Ngorongoro wameandamana hii leo Agosti 18,2024 wakishinikiza serikali iwasikilize na kutatua kero zao mbalimbali zinazowakabili. Na mwandishi wetu. Mamlaka ya hifadhi ya Ngorongoro (NCAA) imesema kuwa shughuli za utalii bado zinaendelea katika…
17 Agosti 2024, 06:17
Kurasa za magazeti Agosti 17, 2024
Agosti 16, 2024, 10:29 um
Takukuru Nyasa yatoa elimu kupambana na rushwa kuelekea uchaguzi selikali za mit…
Taasisi ya kuzui na kupamba na rushwa (TAKUKURU) wilaya ya nyasa mkoani Ruvuma inaendele na zoezi la kutoa elimu kwa wananchi kuhusu kupiga vita vitendo vya rushwa wakati taifa likielekea katika uchaguzi wa serikali za mitaa. Akizungumza na waandisha wa…