Radio Tadio

Habari za Jumla

23/10/2024, 00:55

Betri chakavu za magari ni hatari kwa afya

Na Mariam Kasawa. Taka za betri chakavu zinatajwa kuwa na athari kimazingira na kiafya kwa binadamu hivyo  umakini unahitajila katika kuziteketeza au kurejelezwa. Akizingumza katika wiki ya kujiondosha  na kuepukana na taka za As lead zinazotokana na betri chakavu, Bwn…

23/10/2024, 00:55

Shule ya Msingi Idilo yafaidika na mapato ya Kijiji

Na Noel Steven. Shule ya msingi  Idilo imeafaidika  na kwa kupata msaada wa madawati 30 kutokana  na miradi  ya uwekezaji katika kijiji hicho. Zaidi ya Wanafunzi 90 waliokuwa wakisoma huku wamekaa chini Katika shule ya Msingi Idilo wameondokana na adha…

23/10/2024, 00:55

Serikali yaipandisha hadhi shule ya msingi Mandawa

Nas Mindi Joseph. Serikali imeipandisha hadhi shule ya msingi Mandawa ili kuweza kutoa elimu ya  ya kidato cha tano na sita. Akizungumza kwa niaba ya wanafunzi wenzake, Kaka Mkuu wa shule ya sekondari Mandawa, Saidi Mohammed Mkowola ameishukuru Serikali kwa…

22/10/2024, 18:31

Wananchi tunzeni wanyama pori

Serikali yasema imeweka mazingira yakuvutia wageni  kupitia filamu ya royal tour ambapo watalii wameongezeka  hasa mkoani Manyara nakuleta fedha nyingi za kigeni ambazo zinanufaisha vijiji hivyo. Na Marino Kawishe Wananchi waishio karibu na hifadhi  za taifa za Manyara na Tarangire…

20/10/2024, 20:09

Watoto bado wanakabiliwa na changamoto Geita

Watoto hususani wa kike mkoani Geita bado wanakabiliwa na changamoto nyingi katika jamii ikiwemo kutoaminiwa,nakupewa nafasi ya kufanya maamuzi. Na Mrisho Sadick: Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kushirikiana na mashirika yasiyo ya kiserikali imedhamiria kuboresha na kulinda…

18/10/2024, 20:05

NIMR  yatafiti mikakati ya chanjo ya Uviko-19

Na Yussuph Hassan. Taasisi ya Utafiti wa Kiuchumi na Kijamii ESRF kwa kushirikiana na taasisi ya utafiti wa magonjwa ya binadamu NIMR zimefanya utafiti wa kutathmini mikakati ya kuongeza upataji chanjo ya Uviko-19 nchini. Akizungumza jijini Dodoma katika kongamano la…

18/10/2024, 20:04

TANZIA: PCMA wamlilia Askofu Mondeya

Na Nazael Mkude. Wachungaji na waamini wa kanisa la PCMA Mkoani Dodoma  wamepokea kwa masikitiko kifo cha Askofu Mkuu  Dr.  Mondea Kabeho Katibu Mkuu wa Kanisa la hilo Patrick Kajila anaelezea jinsi msiba huo ulivyotokea wakati wa ibada ya kuwafariji…

17/10/2024, 20:01

Zijue athari za malezi ya upande mmoja

Na Anwary Shabani                                     Malezi ya upande mmoja yametajwa kuwa ni changamto kwa makuzi ya mtoto. Kwa nyakati tofauti, wananchi Jijini Dodoma  wamesema kuwa zipo changamoto  nyingi zinamkabili mtoto anayepata malezi ya upande mmoja ikiwemo suala la elimu. Aidha wananchi  hao…

17 Oktoba 2024, 5:01 um

Dc Mtulyakwaku: Nendeni mkajiorodheshe mpate viongozi bora

Na Nyamizi Mdaki Mkuu wa Wilaya ya Uyui Mkoani Tabora Mohamed Mtulyakwaku amesema nyumba nzuri inaendana na msingi imara hivyo wananchi wanapaswa kujiorodesha kwenye daftari la orodha ya wapiga kura ili wapate viongozi bora. Mtulyakwaku ametoa rai kwenye uzinduzi wa…