Habari za Jumla
5 September 2024, 6:04 pm
Mwalimu afungwa jela maisha kubaka mtoto wa miaka 7
Na Khadja Omary Mahakama ya Hakimu Mkazi Wilaya ya Lindi imemuhukumu Hassan Saddi, mwenye umri wa miaka (28) mkazi wa Mchinga Mkoani Lindi kutumikia adhabu ya kifungo cha maisha jela na kumlipa muhanga fidia ya shilingi Laki Tano (500,000/=) kwa…
5 September 2024, 4:45 pm
Ili kukabiliana na ukataji ovyo wa miti zaidi ya kaya 500 zimepatiwa gesi Rungwe
ili kuendelea kulinda misitu yetu jamii imetakiwa kupewa elimu juu ya utunzaji wa mitu ikiwa ni pamoja kutokukata miti ovyo bali ilindwe kwa kutunzwa kwa dhumini la kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi. RUNGWE-MBEYA Na Lennox Mwamakula Mbunge wa viti maalumu…
5 September 2024, 3:42 pm
Wananchi wakerwa kusuasua ujenzi wa barabara
Kusuasua kwa ujenzi wa barabara yenye urefu wa mita 600 mkabala na kituo kikubwa cha magari ya abiria mjini Geita hadi soko la Mbagala kunatajwa kuongeza changamoto. Na: Kale Chongela – Geita Akizungumza kwa niaba ya madereva wenzake ambao hutumia barabara…
4 September 2024, 7:03 pm
Kelele nyumba za starehe zinakwamisha maendeleo
Halmashauri za nchi zimehimizwa kuandaa muongozo maalumu wa maadili kwaajili ya uendeshaji na usimamizi wa baa na klabu katika maeneo mbalimbali Kelele nyumba za starehe zinakwamisha maendeleo Na Mariaam Kasawa. Halmashauri za nchi zimehimizwa kuandaa muongozo maalumu wa maadili kwaajili…
4 September 2024, 9:32 am
Wananchi Katavi wasisitizwa kuwa wazalendo
katika picha waliokaa upande wa kushoto ni mwenyekiti wa taasisi zisizo za kiserikali katavi ,anayefuatia ni katibu tawala mkoa wa katavi na kulia ni afisa maendeleo mkoa wa katavi.picha na Rachel Ezekia. “lengo kuu la kukuza uzalendo ni kulinda rasilimali…
1 September 2024, 9:11 pm
TAMISEMI yatoa maagizo kwa mkandarasi Geita
Kusuasua kwa mkandarasi anaetekeleza ujenzi wa mradi wa TACTIC wa barabara zenye urefu wa kilometa 17 TAMISEMI yatoa tamko. Na Evance Mlyakado – Geita. Licha ya serikali kutenga bajeti ya zaidi ya bilioni 22 kwaajili ya ujenzi wa barabara zenye…
1 September 2024, 8:45 pm
Akiba atelekeza mke na watoto watatu
Licha ya serikali kuendelea kupambana kukomesha vitendo vya ukatili katika jamii lakini vitendo hivi vinaonekana kuendelea kujitokeza katika maeneo mengi hasa ya vijijini Mkoani Geita Na Evance Mlyakado -Geita. Mwanaume mmoja mkazi wa Nyantorotoro A anadaiwa kutekeleza Familia ya Mama…
1 September 2024, 6:11 pm
Takukuru Simiyu ilivyorejesha Furaha ya Wananchi Wilayani Itilima
Na Nicholaus Machunda Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Takukuru Mkoa wa Simiyu imefanikiwa kurejesha furaha ya Wananchi wa Wilaya Itilima baada ya kufuatilia Mradi wa Maji katika kijiji cha Ng’wang’wita uliotoa Huduma ya Maji kwa Mwezi mmoja tu …
31 August 2024, 23:04
MNEC Mwaselela na Viongozi wengine wauaga Mwenge wa Uhuru.
Baada ya Mwenge wa Uhuru kukagua na kizindua miradi Mbalimbali mkoani mbeya, umeagwa rasmi kuelekea mkoani Songwe. Na Ezra Mwilwa Mjumbe Wa Halmashauri Kuu Ya CCM Taifa NEC Ndugu Ndele Mwaselela Amewaongoza Wajumbe Wa Kamati ya Siasa Mkoa Wa Mbeya…
26 August 2024, 5:19 pm
NEC yawaomba wananchi Simiyu kujitokeza kuboresha taarifa zao
Tume huru ya uchaguzi imewataka wananchi mkoani simiyu kujitokeza kwa wingi kuboresha taarifa zao katika daftari la kudumu la wapiga kura, ili wawe na sifa za kushiriki uchaguzi ujao. Akizungumza katika Mkutano huo uliowakutanisha wadau mbalimbali mhe. Jaji mustaafu MBAROUK…