Habari za Jumla
20 Novemba 2024, 6:06 um
Katavi:wazazi,walezi watakiwa kulinda na kutetea haki za watoto
Wazazi na walezi mkoani Katavi wametakiwa kulinda na kutetea haki za watoto dhidi ya ukatili wa kijinsia. Wakizungumza kwa nyakati tofauti na Mpanda radio fm ikiwa leo ni siku ya maadhimisho ya watoto duniani inayo fanyika kila mwaka tarehe 20…
15/11/2024, 19:40
Bahi walia kero ya maji chumvi
Na. Anselima Komba. Wananchi Wilayani Bahi Wameiomba Serikali kutimiza ahadi ya kutatuliwa kwa kero ya maji chumvi kwa kuwaunganishai maji baridi kutoka katika kata ya Ibihwa. Baadhi ya wanachi wanasema Serikali kupitia wizara ya maji iliwaahidi kutatua adha ya maji…
15/11/2024, 19:40
Jifunze kumlinda mtoto dhidi ya ukatili
Na Lilian Leopold Jamii inakabiliwa na tatizo la uelewa kufahamu vitendo vya ukatili ambavyo mtoto hapaswi kufanyiwa. Hidaya Kaonga, Wakili na Mratibu wa Kituo Cha Sheria na Haki za Binadamu Mkoani Dodoma amebainisha mambo ambavyo yananyima haki ya msingi kwa…
15/11/2024, 14:00
Watumishi wa afya Kilosa wapewa nondo kubaini ukondefu, udumavu kwa watoto
Serikali inaendelea kupambana na changamoto zinazowakabili watoto chini ya miaka miwili ambao wamekuja wakikabiliwa na ukondefu mkali ama utapiamulo pamoja na udumavu kwa kutoa elimu kwa watumishi wa afya. Na Asha Rashid Madohola Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Lishe, Ndugu…
15 Novemba 2024, 12:26
BUFADESO wahaidi kuwa kinala maonesho ya kilimo mseto Mara
Baraka amesema kama walivyofanya miaka mingine nyuma na msimu huu wamejipanga kushinda katika maonesho hayo kutokana na ubora wa bidhaa zinazozalishwa na wakulima wao. Na Adelinus Banenwa Imeelezwa kuwa Serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, inaendelea kujenga mazingira wezeshi…
14/11/2024, 20:05
Badili mtindo wa maisha kuepuka magonjwa yasiyoambukiza!
Na Mariam Ma Mtindo wa maisha umetajwa kuchaingia kwa kuchangia uwezekano wa jamii kuathiriwa na magonjwa yasiyoambukiza. Gaudensia Kalalu ni mtaalamu wa saikolojia kutoka hospitali ya taifa afya akili mirembe anazungumzia zaidi aina ya magonjwa yasiyoambukiza pamoja na sababu zinazopellekea…
12/11/2024, 17:26
Chuo cha ualimu Mpwapwa chatumia nishati mbadala kwa mapishi
Na Noel Steven. Chuo cha ualimu Mpwapwa kimetekekeza agizo la Ofisi ya makamu wa Rais muungano na mazingira ya kutumia nishati rafiki ili kupunguza atathari za mazingira. Mkuu wa Chuo hicho Bwn. Gerald Richard amesema kuwa kwa sasa wanatumia kuni…
12 Novemba 2024, 12:17 um
Katavi :Wanahabari na wadau wa utamaduni Wametakiwa kuibua Urithi wa Utamadu…
Baadhi ya waandishi wa habari mkoa wa Katavi ,wadau wa utamaduni pamoja na wakufunzi kutoka TAMCODE.picha na Betord Chove vijana wanaachana na dhana ya kutegemea ajira serikalini na kujishughulisha na vitu vyao vya asili kujipatia kipato Na Betord Chove -Katavi…
12/11/2024, 10:22
Zifahamu athari za kunyanyapaa mtoto yatima
Na Leonard Mwacha Dunia inaadhimisha siku ya mtoto yatima huku ikilenga kuangazia mahitaji yao ya muhimu na makuzi yasiyo ya kibaguzi. Mwandishi wetu Leonard Mwacha amezungumza na mwanasaikolojia na mshauri nasihi Peter Njau, kuhusu namna bora ya kuishi na mtoto…
08/11/2024, 19:15
Shule ya Sekondari Kiwanja cha Ndege yajimarisha kiulinzi
N Mindi Joseph. Ujenzi wa uzio katika shule ya sekondari kiwanja cha ndege Dodoma umetajwa kuwalinda wanafunzi dhidi ya utoro pamoja na changamoto mbalimbali. Mkuu wa shule hiyo Mwl. Daniel Mpagama anaelezea hali ya usalama hali ilivyokuwa kabla ya ujenzi…