Radio Tadio

Habari za Jumla

30 September 2024, 7:10 pm

Elimu zaidi ya VVU yahitajika kwa Vijana

Na Yussuph Hassan. Vijana Jijini Dodoma wameomba elimu iendelee kutolewa ili kukumbusha jamii juu ya kujikinga na maambukizi ya Virusi vya UKIMWI. Wakizungumza nyakati tofauti na Dodoma TV wakazi hao wamesema kuwa kwa kufanya hivyo itasaidia kupunguza maambukizi mapya ya…

30 September 2024, 7:09 pm

Chidachi walilia urasimishaji wa makazi

Na Nazael Mkude . Wakazi wa Chidachi Kusini Mkoani Dodoma wameomba kupata huduma ya  upimaji  wa viwanja pamoja na kurasimishiwa makazi yao ambayo wamekuwa  wakiyatumia kwa muda mrefu. Wakieleza malalamiko yao kupitia  kituo cha habari cha Dodoma TV, wamesema  kuwa…

27 September 2024, 8:42 pm

Vijana tumieni  vipaji  kutatua changamoto ya ajira

Na Steven Noel. Changamoto  kubwa inayowakabili vijana kwa sasa ni suala la upatikanaji wa ajira. Kutokana na changamoto hiyo,  baadhi ya vijana wamefikiria njia mbadala ya kutumia vipaji walivyonavyo ili kujipatia kipato ili kuweza kujikimu kimaisha. Hapa tumsikie moja ya…

25 September 2024, 8:27 pm

Sagini awapongeza waandishi wa habari

Na Yussuph Hassan Naibu Waziri wa Katiba na Sheria, Mhe. Jumanne Sagini amepongeza waandishi wa habari kwa kutumia kalamu zao kujenga nchi ,kukosoa pamoja na kuelimisha wakati akifungua semina ya wanahabari ya kusherekea miaka 70 ya Misaada ya Japan. Shirika…

24 September 2024, 5:03 pm

Watumishi Ngorongoro wahimizwa kushiriki kikamilifu uchaguzi

Halmashauri ya wilaya ya Ngorongoro ni miongoni mwa halmashauri baadhi ya vijiji na vitongoji vilikuwa vimefutwa na kutangazwa kutoshoriki uchaguzi wa serikali za mitaa hata hivyo hivi karibuni waziri wa TAMISEMI mh Mohamed Mchengerwa ametangaza kuvirejesha tena na maandilizi yanaendelea…

24 September 2024, 4:32 pm

Shilingi milioni 10 zachangwa na wananchi kujenga daraja

Katika eneo hilo wananchi wamekuwa wakipata tabu ya kuvuka hususasni kipindi cha masika na kusababisha maafa ya watoto,kuibiwa na vitendo vya ukatili wa kijinsia. Na Salma Abdul Wananchi wa kata ya chemchem Manispaa ya Tabora wamechangia fedha na nguvu kazi…

20 September 2024, 7:51 pm

Mavunde aweka alama ya kudumu Dodoma

Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Dodoma ambayo ina umr iwa miaka 104  inauwezo wa kuhudumia wagonjwa zaidi ya 1,500 kwa siku moja imekuwa na changamoto ya kuwa na miundombiny ya jengo la kusubiria wangonjwa kwa wananchi. Na Mindi Joseph…