Habari za Jumla
1 October 2024, 4:36 PM
Comrade Mobitu ajitambilisha kwa wanachama baada ya kuteuliwa
MASASI. Katibu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoani Mtwara Comrade Mobutu Malima amefanya mkutano na Wajumbe wa Chama hicho kutoka Wilaya ya Masasi ikiwa ni sehemu ya kuja kijitambulisha Baada ya kuteuliwa kuwa Katibu wa Ccm Mkoa wa Mtwara. Akizungumza…
30 September 2024, 7:10 pm
Elimu zaidi ya VVU yahitajika kwa Vijana
Na Yussuph Hassan. Vijana Jijini Dodoma wameomba elimu iendelee kutolewa ili kukumbusha jamii juu ya kujikinga na maambukizi ya Virusi vya UKIMWI. Wakizungumza nyakati tofauti na Dodoma TV wakazi hao wamesema kuwa kwa kufanya hivyo itasaidia kupunguza maambukizi mapya ya…
30 September 2024, 7:09 pm
Chidachi walilia urasimishaji wa makazi
Na Nazael Mkude . Wakazi wa Chidachi Kusini Mkoani Dodoma wameomba kupata huduma ya upimaji wa viwanja pamoja na kurasimishiwa makazi yao ambayo wamekuwa wakiyatumia kwa muda mrefu. Wakieleza malalamiko yao kupitia kituo cha habari cha Dodoma TV, wamesema kuwa…
27 September 2024, 8:42 pm
Vijana tumieni vipaji kutatua changamoto ya ajira
Na Steven Noel. Changamoto kubwa inayowakabili vijana kwa sasa ni suala la upatikanaji wa ajira. Kutokana na changamoto hiyo, baadhi ya vijana wamefikiria njia mbadala ya kutumia vipaji walivyonavyo ili kujipatia kipato ili kuweza kujikimu kimaisha. Hapa tumsikie moja ya…
27 September 2024, 8:42 pm
Hakuna tozo kuandikisha au kuboresha taarifa daftari la mpiga kura
Na Mindi Joseph. Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mh. Rosemary Senyamule ameonya juu ya upotoshaji unaofanywa na baadhi ya watu kuhusu mwenendo wa zoezi la uandikishaji wananchi katika daftari la kudumu la mpiga kura . Akizungumza na waandishi wa habari…
25 September 2024, 8:27 pm
Sagini awapongeza waandishi wa habari
Na Yussuph Hassan Naibu Waziri wa Katiba na Sheria, Mhe. Jumanne Sagini amepongeza waandishi wa habari kwa kutumia kalamu zao kujenga nchi ,kukosoa pamoja na kuelimisha wakati akifungua semina ya wanahabari ya kusherekea miaka 70 ya Misaada ya Japan. Shirika…
25 September 2024, 8:26 am
Mtoto wa miaka 6 atelekezwa na baba yake mzazi mjini Sengerema
Kufuatia kuwepo kwa matukio ya mauaji na utekaji wa watoto nchini, baadhi ya wazazi au walezi wamekuwa na tabia ya kutelekeza watoto mtaani nyakati za usiku na baadaye kulalamika kuwa watoto wao wametekwa na wasiojulikana. Na:Emmanuel Twimanye Mtoto anaye kadiliwa…
24 September 2024, 5:03 pm
Watumishi Ngorongoro wahimizwa kushiriki kikamilifu uchaguzi
Halmashauri ya wilaya ya Ngorongoro ni miongoni mwa halmashauri baadhi ya vijiji na vitongoji vilikuwa vimefutwa na kutangazwa kutoshoriki uchaguzi wa serikali za mitaa hata hivyo hivi karibuni waziri wa TAMISEMI mh Mohamed Mchengerwa ametangaza kuvirejesha tena na maandilizi yanaendelea…
24 September 2024, 4:32 pm
Shilingi milioni 10 zachangwa na wananchi kujenga daraja
Katika eneo hilo wananchi wamekuwa wakipata tabu ya kuvuka hususasni kipindi cha masika na kusababisha maafa ya watoto,kuibiwa na vitendo vya ukatili wa kijinsia. Na Salma Abdul Wananchi wa kata ya chemchem Manispaa ya Tabora wamechangia fedha na nguvu kazi…
20 September 2024, 7:51 pm
Mavunde aweka alama ya kudumu Dodoma
Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Dodoma ambayo ina umr iwa miaka 104 inauwezo wa kuhudumia wagonjwa zaidi ya 1,500 kwa siku moja imekuwa na changamoto ya kuwa na miundombiny ya jengo la kusubiria wangonjwa kwa wananchi. Na Mindi Joseph…