Habari za Jumla
5 November 2024, 5:58 pm
Fahamu faida za hifadhi hai za Tanzania
Na Fred Cheti. Nevomba 3 ya kila mwaka dunia huadhimisha siku ya kimataifa ya hifadhi hai duniani ambapo kuna hifadhi hai zipatazo 748 huku Tanzania ikiwa na jumla ya hifadhi hai 6. Bwn. Novatusi Moshi ni Afisa Mazingira mwandamizi kutoka…
5 November 2024, 2:46 pm
Katavi:wananchi watakiwa kuchukua tahadhari dhidi ya radi wakati wa masika
Koplo Paul Mtani Masungwa picha na Lilian Vicent “iwapo utakuwa katika njia ya radi ni rahisi kupigwa na radi na kupata madhara “ Na Lilian Vicent -Katavi Kuelekea msimu wa mvua za masika ,wananchi mkoani Katavi wameeleza kuwa moja ya…
5 November 2024, 12:22 pm
Picha: Tazama mvua ilivyowasumbua wakazi wa Msalala road
Ni msimu wa masika ambapo mvua zinaendelea kunyesha kwa maeneo mbalimbali nchini. Na: Amon Mwakalobo – Geita Tazama hali ilivyo katika mtaa wa Msalala road barabara ya kuelekea Msufini karibu na egesho la bodaboda halmashauri ya mjinwa Geita baada ya…
5 November 2024, 11:29 am
THRDC watoa msaada wa magodoro gereza la Loliondo
Mtandao wa watetezi wa haki za binadamu Tanzania ni miongoni mwa wadau muhimu wa kutetea haki za binadamu hapa nchini sambamba na hilo wamekuwa wakishiriki kwenye shughuli zingine za kijamii ikiwepo kutoa misaada mbalimbali ya huduma muhimu za kijamii katika…
5 November 2024, 10:53 am
Elimu ya uzalendo yatolewa kwa vijana Rungwe
Mchungaji /mwalimu Methew Chawala akizungunza na waumini wa kanisa hilo Wazazi na walezi wametakiwa kuwa mstari wa mbele kukabiliana na vitendo vya ukatili vinavyo chamili kwenye jamii RUNGWE -MBEYA Na Lennox Mwamakula Mwangalizi wa makanisa ya pentecoste Hollinests Association Mission…
1 November 2024, 7:11 pm
Sintofahamu yagubika kura za maoni Mtube Dodoma
Na Nazael Mkude. Sintofahamu imeibuka kwa wajumbe wa CCM wa mtaaa wa Matube Kata ya Nkuhungu jijini Dododma baada ya mgombea kutotangazwa jina lake baada ya mchakato wa kura za maoni kukamilika. Wajumbe wa CCM kutoka mtaa huo wamefika katika…
1 November 2024, 6:51 pm
Serikali yajizatiti kutatua changamoto za vijana balehe
Na Mariam Kasawa. Serikali imejidhatiti kutatua changamoto zinazowakumba vijana balehe kwa kuweka mazingira salama na rafiki kwa vijana kupitia afua mbalimbali zinazowawezesha vijana kufikia malengo yao na utimilifu wao kwa ujumla. Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu,Sera ,Bunge na Uratibu…
1 November 2024, 6:50 pm
Matumizi ya nishati ya umeme jua ni tija katika kilimo
Na Mindi Joseph Matumizi ya nishati ya umeme jua katika shughuli za Kilimo inatajwa kuwa Mkombozi kwa wakulima kutokana na kuokoa gharama mbalimbali pamoja na kuwezesha uzalishaji wenye tija kwa msimu mzima. Bwana Ngalya mkulima mkazi wa Kata cha Matungulu…
1 November 2024, 3:15 pm
Walimu wakuu 554 mkoani lindi wapewa mafunzo ya uongozi
Na Mwanne Jumaah Wakala wa Maendeleo ya usimamizi wa Elimu (ADEM) kupitia Mradi wa boost wamewajengea uwezo walimu wakuu 554 juu ya uongozi, usimamizi na uendeshaji wa shule kutoka Katika Wilaya tano za Mkoa wa Lindi Mratibu wa Mafunzo hayo…
1 November 2024, 3:06 pm
Katavi:Takukuru yaokoa fedha zaidi ya Tshs milion 6
kaimu mkuu wa TAKUKURU mkoa wa Katavi Stuart Kiondo.picha na Samwel Mbugi “ametoa rai kwa wananchi wote wa mkoa wa Katavi kutoa taarifa za vitendo vya Rushwa hususani katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa November 27…