Radio Tadio

Habari za Jumla

6 Disemba 2024, 18:47

DSW yatoa mafunzo kwa Vijana,walimu na watalaamu wa afya chunya

katika kuhakikisha sauti za vijana zinasikika ili kutokomeza ukatili wa kijinsia na kuwapatia huduma rafiki kwa afya ya vijana viongozi wa shirika la DSW Tanzania wamewakutanisha vijana,walimu na wataalamu wa afya Chunya mkoani Mbeya. Na Lukia Chasanika Vijana,walimu na wahudumu…

4 Disemba 2024, 8:19 um

Katavi:halmashauri zatakiwa kulipa madeni ya wafanyabiashara

“halmashauri zimekuwa zikidaiwa madeni hayo kwa muda mrefu bila mafanikio“ Na Samwel Mbugi-Katavi Wafanyabiashara mkoa wa Katavi wailalamikia serikali kutolipa madeni kwa wakati wanayodaiwa na baadhi ya wafanyabiashara ambao wanazidai halmashauri Hayo yamesemwa na Aman Mahellah mwenyekiti wa jumuiya ya…

Disemba 3, 2024, 11:39 mu

Veta Nyasa Fursa kwa kujiajiri

Chuo cha Ufundi Stadi Veta Nyasa kimefanya Mahafali yake ya kwanza mahafali yaliyofanyika hivi karibuni  katika Viwanja vya Chuo hicho na Mgeni Rasmi katika Mahafali hayo ni Mkuu Wa Wilaya ya Nyasa Mhe. Peres Magiri . kwenye picha ni mgeni…

3 Disemba 2024, 06:48

CBE yapongezwa na serikali kutoa Elimu bora ya uchumi

Katika kuhakikisha vyuo vinaendelea kutoa Elimu bora Naibu Waziri wa viwanda na biashara Mheshimiwa Exaud Kigahe amepongeza juhudi zinazo fanywa na wakufunzi wa chuo cha elimu ya biashara nchini CBE. Na Kelvin Lameck Serikali imesema inatambua na kuthamini mchango wa…

2 Disemba 2024, 10:00 mu

‘Fani ya habari si kikwazo kwa wanawake’

kumekuwa na changamoto kwa baadhi ya wazazi kuwanyima fursa watoto wa kike kusoma fani ya habari kwa kisingizio haina maadili kwa kundi hilo, jambo ambalo si sahihi na kukmkosesha uhuru wake kielimu.