Radio Tadio

Habari za Jumla

14 Novemba 2024, 8:05 um

Badili mtindo wa maisha kuepuka magonjwa yasiyoambukiza!

Na Mariam Ma Mtindo wa maisha umetajwa kuchaingia kwa kuchangia uwezekano wa  jamii kuathiriwa na magonjwa yasiyoambukiza. Gaudensia Kalalu ni mtaalamu wa saikolojia kutoka hospitali ya taifa afya akili mirembe anazungumzia zaidi  aina ya magonjwa yasiyoambukiza pamoja na sababu zinazopellekea…

12 Novemba 2024, 10:22 mu

Zifahamu athari za kunyanyapaa mtoto yatima

Na Leonard Mwacha Dunia inaadhimisha siku ya mtoto yatima huku ikilenga kuangazia mahitaji yao ya muhimu na makuzi yasiyo ya kibaguzi. Mwandishi wetu Leonard Mwacha amezungumza na mwanasaikolojia na mshauri nasihi Peter Njau, kuhusu namna bora ya kuishi na mtoto…

6 Novemba 2024, 5:53 um

Utandawazi chanzo cha ufahamu kwa  mtoto

Na Lilian Leopold.                                    Mitandao ya kijamii imetajwa kuwa ni moja ya chanzo kikubwa cha ufahamu  watoto wa kitanzania kujifunza mambo mbalimbali. Hayo yamebainishwa na baadhi ya wazazi mkoani Dodoma ambapo wamesema kuwa mitandao ya kijamii ikitumiwa vizuri itawasaidia watoto kujifunza…

5 Novemba 2024, 5:58 um

Fahamu faida za hifadhi hai za Tanzania

Na Fred Cheti.                                          Nevomba 3 ya kila mwaka dunia huadhimisha siku ya kimataifa ya hifadhi hai duniani ambapo kuna hifadhi hai zipatazo 748 huku Tanzania ikiwa na jumla ya hifadhi hai 6. Bwn. Novatusi Moshi ni Afisa Mazingira mwandamizi kutoka…