Habari za Jumla
19/11/2020, 10:52
Makala -Changamoto Za Wafanya Biashara Soko La Sokosela Mjini Masasi
Hizi ni baadhi ya changamoto na kelo zinazo wakuta wafanya biashara wa soko la sokosela mjini masasi wakizungumza na radio fadhila utawasikia wakibainisha changamoto hizo HOST- ASHA MSITAPHA
18/11/2020, 09:49
Ujasilia Mali-BiasharaYa Chipsi Inawalipa Vijana
KIPINDI CH UJASILIA MALI-huyu ni kijana anayejishugulisha na biashara ya chpsi anaelezea mafanikio aliyo yapata kupitia biashara ya chipsi baada tu ya kumalishule alifanya shuguli mbalimbali lakinia alipo amua tu kufanya biashara ya chipsi imemlipa anaendesha familia yake kupitia biashara…
17/11/2020, 05:44
Umenufaika Na Nini Kutumia Mitandao Ya Kijamii Facebook,Instagram,You Tube Twit…
Maoni ya wasikilizaji Tangia uaze kutumia mitandao ya kijamii facebook ,inst, twitter you tube n.k imekusaidia nini mitandao hii katika maisha yako ya kila sikuHOST MATHEW MAGASHA
17/11/2020, 04:47
Magazeti ya Leo 17-11-2020 Radio Fadhila 95.0 fm
November 17, 2020,nakukaribisha kusikiliza kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za nyuma za magazeti ya leo HOST- MATHEW MAGASHA
16/11/2020, 19:58
Mkurugenzi ruangwa aagiza walimu kufundisha kwa bidii
Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya wilaya Ruangwa mkoani Lindi, FRANK FABIAN CHONYA, amewataka walimu kuendelea kufundisha kwa bidii na kwa mujibu wa kalenda ya masomo inavyowataka, ili kutimiza malengo ya ufaulu waliojiwekea katika halmashauri hiyo. Chonya ameyasema hayo jumatatu 16/11/2020…
11/11/2020, 11:59
Makala Inayo Elezea Kitabu Cha rais Benjamini William Mkapa
sikiliza makala inayozungumzia kitabu cha rais wa awamu ya tatu Benjamini William Mkapa na badhi ya hotuba zake alizo wahi zungumza enzi za uhai wake. katika kipindi cha watu mashuhuri
10/11/2020, 18:27
Athari ya uzazi wa mpango kwa mabinti wadogo
Hujambo, karibu kusikiliza kipindi Maalum kinachoangazia Athari za utumiaji wa Dawa za uzazi wa mpango kwa mabinti wenye umri mdogo ambao wanatumia sindano na vidonge ili kujikinga na ujauzito bila kujua athari zake. Hapa utawasikia mabinti, wazazi na Daktari Deogratius…
10/11/2020, 17:49
TADIO yawahasa Wanahabari kutoandika Habari za uchochezi
Waandishi wa habari hususan wa redio za kijamii Tanzania wametakiwa kuandika habari za kudumisha Amani nchini na kuacha kupendelea kuandika habari za uchochezi na zenye kuleta taaruki. Wito huo umetolewa leo na Mwezeshaji wa mafunzo ya kujenga Amani hasa baada…
09/11/2020, 04:11
Kipindi cha Ujasilia Mali Radio fadhila 95.0 FM-Mitungi Yakupandia maua!!
Msikilize shAibu ambaye yeye ni mjasilia mali anajihusisha na utengenezaji wa mitungi ya kupandia maua amea amua kujiajili na kazi hii ndi inayompa kipato cha kujikimu yeye na familia yake HOST- MATHEW MAGASHA
03/11/2020, 11:51
Amka Na Radio Fadhila- Maoni Ya Wasikiliza Juu ya Malezi Ya Vijana
sikiliza maoni juu wa mada iliyokuwa izungumziwa katika kipindi cha amka na radio fadhila 95.0 fm JE NI KWELI BAADHI YA WAZAZI NI CHANZO CHA VIJANA KUINGIA KATIKA MAKUNDI MABAYA KAMA VILE MAKUNDI YA KIHARIFU, UVUTAJI BANGI,WIZI USHERATI N.K NINI…