Habari za Jumla
24 Machi 2021, 10:12 um
Wakazi wa Mwanza wamejitokeza kwa wingi kumuaga Dkt Magufuli
Wakazi wa Jiji la Mwanza na maeneo ya mikoa jirani ya Shinyanga,Simiyu na Tabora wamejitokeza kwa wingi katika Uwanja wa CCM Kirumba kumuaga Dkt John Pombe Magufuli aliekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania aliefariki dunia Machi 17-2021 kwa…
24 Machi 2021, 6:45 um
Waganga na wakunga wa tiba asili Tanzania wamlilia Dkt. Magufuli
Na Mrisho Sadick – Geita Siku chache baada ya kufariki aliekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli, Umoja wa waganga na wakuga wa tiba asili Tanzania (UWAWATA) umesema kufariki kwa kiongozi huyo ameacha pengo kubwa…
24 Machi 2021, 1:14 um
Wafanyabiashara Dodoma Wamshukuru Magufuli
Na; Shani nicholous . Kufuatia kifo cha aliyekuwa rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania hayati Dkt.John Magufuli bado wajasiriamali wadogo pamoja na wafanyabiashara mbalimbali wameendelea kumlilia na kumshukuru kwa kuwaboreshea mazingira yao ya biashara. Wakizungumza na Dodoma Fm wajasiriamali…
24 Machi 2021, 12:24 um
Wananchi wilayani maswa wamlilia Dr Magufuli
Wananchi wilayani Maswa mkoani Simiyu wameeleza kuhuzunishwa na kifo cha aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati mh Dokta John Joseph Pombe Magufuli.. Wakiongea na Sibuka fm kwa nyakati tofauti wamesema kuwa Hayati Magufuli amefanya mambo mengi kwa…
24 Machi 2021, 12:06 um
Rais Magufuli aliutambua mchango wa wanawake katika uongozi
Na; Mariam Matundu. Viongozi wanawake jijini Dodoma wamesema watamkumbuka daima hayati Dkt.John Magufuli kwa kuwa aliwaamini wanawake na kuwapa nafasi mbali mbali za uongozi katika kipindi cha uongozi wake. Akizungumza na taswira ya habari mmoja wa madiwani wanawake Kata ya…
Machi 24, 2021, 10:31 mu
MASHARTI YA MILA ZA JADI CHANZO CHA MAGONJWA YA MILIPUKO MIGODINI
IMEELEZWA kwamba mila na desturi za jadi, zinazoabudiwa na baadhi ya wachimbaji wadogo,zimekuwa ni miongoni mwa vyanzo vinavyochangia kuibuka kwa magonjwa ya milipuko kipindi cha masika katika maeneo ya migodi. Hayo yalielezwa na Katibu wa Idara ya Afya na Mazingira,…
24 Machi 2021, 9:09 mu
Rais Magufuli ameacha alama njema kwa Taifa la Tanzania
Na ;Mariam Kasawa. Waziri wa Nchi ofisi ya waziri mkuu, Sera,Bunge,ajira ,vijana na wenye ulemavu Bi. Jenista Mhagama amesema kamati iliyo pewa kazi ya kufanya maandalizi yote ya mazishi imekamilisha maandalizi hayo na bado inaendelea kusimamia mambo mbalimbali. Bi. Mhagama ameyasema hayo…
24 Machi 2021, 6:21 mu
Mwili Wa Hayati Dkt. John Magufuli wawasili Jijini Mwanza
Na; Mariam Kasawa. Wakazi wa jiji la Mwanza na maeneo ya jirani tayari wamewasili katika uwanja wa CCM Kirumba kwa ajili ya kuaga mwili wa aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati Dkt. John Pombe Magufuli aliyefariki Dunia…
23 Machi 2021, 18:05 um
Naliendele Mtwara wamlilia Hayati Magufuli
Wananchi wa kata ya Naliendele Manispaa ya Mtwara Mikindani wametoa salamu za pole kwa Watanzani kufuatia kifo cha Rais Dkt.John Pombe Magufuli kilichotangazwa usiku wa kuamkia leo Machi 18,2021. Wakizungumza kwa masikitiko makubwa wameeleza namna ambavyo watamkumbuka Rais Dkt.Magufuli kwa…
23 Machi 2021, 11:36 mu
Bendera za UN kupepea nusu mlingoti
Na; Mariam Kasawa. Umoja wa Mataifa (UN) umesema Bendera ya Umoja huo itapepea nusu mlingoti katika Ofisi za Makao Makuu jijini New York Nchini Marekani. Bendera hiyo itapepea Machi 26, 2021 ili kumuenzi Rais John Magufuli ambaye atazikwa siku hiyo…