Habari za Jumla
Aprili 20, 2021, 12:18 um
Miundo mbinu ya barabara yawa changamoto kwa wananchi
Wananchi wa Mtaa wa Malunga Kata ya Malunga iliyopo Manispaa ya Kahama Mkoani Shinyanga wanakabiliwa na changamoto ya miundombinu ya barabara katika maeneo yao. Wakizungumza kwa nyakati tofauti na HUHESO FM wananchi wa Mtaa huo wamesema changamoto ya miundombinu ya…
20 Aprili 2021, 11:31 mu
Kiboko; Wanaotumia TASAF kulewa kukiona
Diwani wa kata ya Nyasura Magigi Samwel Kiboko amewataka wanufaika wa mpango wa kunusuru kaya masikini yaani TASAF kutumia fedha hizo kwa malengo yaliyokusudiwa. akizungumza na Mazingira kwenye ofisi ya mtendaji kata ya Nyasura Kiboko amesema kwa upande wa wale…
20 Aprili 2021, 10:40 mu
Meneja TRA Kilosa atoa siri ukusanyaji kodi .
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA)Wilaya ya Kilosa Mkoani Morogoro imefanikiwa kukusanya zaidi ya shilingi bilioni 3.6 kutoka kwa wafanyabiashara waliolipa kodi kwa wakati kwa mwaka wa fedha 2020/2021 ambako kumechangia kuongeza mapato katika Wilaya na kuiwezesha serikali kutimiza malengo ya…
20 Aprili 2021, 10:28 mu
Zaidi ya Ng’ombe laki tatu kuchanjwa wilayani Maswa
Zaidi ya Ng’ombe laki tatu wilayani Maswa mkoani Simiyu zinatarajiwa kuchanjwa ili kudhibiti Magonjwa ya Mifugo ikiwemo Ugonjwa wa Mapele ya ngozi ili kuboresha bidhaa ya ngozi na Ushindani wa Soko.. Akitoa taarifa kwa Mkuu wa wilaya ya Maswa Mh…
20 Aprili 2021, 5:15 MU
WANANCHI waishio vitongoji saba vilivyopo kata ya Nagaga wilayani Masasi wamecha…
WANANCHI waishio vitongoji saba vilivyopo kata ya Nagaga wilayani Masasi mkoani Mtwara wameamua kujitolea nguvu kazi kuchanga sh.5000 kwa kila kaya na kufyatua matofari lengo ni kujenga majengo mawili ya kisasa ambayo yatatumika kufunga vifaa tiba ikiwemo kiti cha kung’olea…
20 Aprili 2021, 5:10 MU
CHAMA kikuu Cha Ushirika wa wakulima Mtwara-Masasi ( MAMCU) kimezindua rasmi uje…
CHAMA kikuu Cha Ushirika wa wakulima Mtwara-Masasi ( MAMCU) kimezindua rasmi ujenzi wa ghala kubwa la kisasa la kuhifadhia mazao mbalimbali yaliyo katika mfumo wa stakabadhi mazao ghalani ikiwemo korosho lenye uwezo wa kuhifadhi mazao tani zaidi ya 5000 Ujenzi…
20 Aprili 2021, 5:05 MU
MAAFISA ugani( kilimo) wapatiwa Pikipiki
MAAFISA ugani( kilimo) wa Chama kikuu cha Ushirika wa wakulima Mtwara-Masasi ( MAMCU) wapatiwa Pikipiki kama vitendea kazi ili ziweze kuwarahisishia kutekeleza majumu yao katika kuvitembelea na kuvihudumia vyama vya msingi ili kutoa elimu ya kilimo kwa wakulima na kuongeza…
19 Aprili 2021, 5:09 um
Vifo vitokanavyo na Uzazi vyapungua Wilayani Maswa
Vifo vitokanavyo na Uzazi wilayani Maswa mkoani Simiyu vimepungua kutoka vifo 12 kwa mwaka 2018 hadi kufikia vifo 3 kwa mwaka 2020. Takwimu hizo zimetolewa na Mratibu wa Huduma ya Mama ya mtoto kutoka Hospitali ya wilaya ya Maswa Angella …
19 Aprili 2021, 4:32 um
Sekondari 15 kati ya 22 zafanikisha Lishe
Afisa Elimu sekondari wilayani Missenyi mkoani Kagera Mwl Saverina Misinde amezipongeza shule za sekondari 15 za serikali zinazotoa huduma ya chakula cha mchana ili kuwawezesha wanafunzi kujifunza vizuri wakiwa wameshiba Pongezi hizo amezitoa hivi karibuni wakati Kamati ya fedha Utawala…
Aprili 19, 2021, 3:02 um
Wasimamizi uchaguzi mdogo watakiwa kuzingatia matakwa ya tume ya uchaguzi na maa…
Washiriki wa semina ya mafunzo ya uchaguzi mdogo katika halmashauri saba nchini wametakiwa kujitambua, kujiamini, kufuata na kuzingatia katiba ya nchi na maadili ya tume ya uchaguzi na sheria zake. Hayo yamesemwa na kamishna wa tume ya taifa ya uchaguzi…