![](https://radiotadio.co.tz/wp-content/themes/radiotadio/assets/img/banner/1500x300.jpg)
Habari za Jumla
![](http://placehold.jp/f4d629/003147/250x350.jpg?text=post+thumb+250x300)
8 January 2021, 8:12 am
Wakena Mama wanao Nyonyesha wametakiwa kuzingatia usafi Kilosa.
![](http://placehold.jp/f4d629/003147/250x350.jpg?text=post+thumb+250x300)
8 January 2021, 7:59 am
Wakena mama wanao Nyonyesha washauriwa kuzingatia usafi -Kilosa.
![](http://placehold.jp/f4d629/003147/250x350.jpg?text=post+thumb+250x300)
8 January 2021, 7:47 am
Wakinamama wanao nyonyesha watakiwa kuzingatia usafi- Kilosa.
![](
https://radiotadio.co.tz/wp-content/uploads/sites/9/2021/01/img-20210107-wa0012-350x350.jpg )
7 January 2021, 1:05 pm
Rc Morogoro awachukulia hatua Wenyeviti wa vitongoji Mikumi.
Mkuu wa mkoa wa Morogoro Loata Ole Sanare amekemea vikali kitendo kilichoonyeshwa na Wenyeviti wa vitongoji 21 Katika Mamlaka ya Mji Mdogo Mikumi kwa kushindwa kuhamasisha wananchi kushiriki kwenye ujenzi wa vyumba vinne vya madarasa Katika shule ya Sekondari Mikumi…
![](
https://radiotadio.co.tz/wp-content/uploads/sites/9/2021/01/img-20210106-114904-780-edited-350x350.jpg )
7 January 2021, 2:39 am
Wananchi wametakiwa kupanda Miti,Maua na kusafisha Mifereji ya Maji ya Mvua -Kil…
Wananchi Wilayani Kilosa Mkoani Morogoro wahamasishwa kupanda Miti na Maua pamoja na kusafisha Mifereji ya Maji ya Mvua Ili kutunza Mazingira. Akizungumza na Radio Jamii Kilosa Januari 6,2021 Afisa Mazingira Kilosa Anthony Heriel Mbise kuwa ni vizuri Wananchi wakatumia Mvua…
![](http://placehold.jp/f4d629/003147/250x350.jpg?text=post+thumb+250x300)
6 January 2021, 6:45 pm
Wananchi watakiwa kupanda Miti,Maua na kusafisha mifereji ya maji ya mvua Kilosa…
![](http://placehold.jp/f4d629/003147/250x350.jpg?text=post+thumb+250x300)
6 January 2021, 3:10 pm
Wananchi Wilayani Kilosa Wametakiwa kutunza na kuifadhi mazingira .
Wananchi Wilayani Kilosa Mkoani Morogoro wahamasishwa kupanda Miti na Maua pamoja na kusafisha mifereji ya maji ya mvua Katika maeneo yao Ili Kutunza mazingira. Akizungumza na Radio Jamii Kilosa januari 6,2021 Afisa Mazingira Kilosa Anthony Mbise amesema kuwa ni vizuri…
![](http://placehold.jp/f4d629/003147/250x350.jpg?text=post+thumb+250x300)
6 January 2021, 2:17 pm
Wananchi wananchi wailayani Kilosa wametakiwa kupanda miti maia na kusafisha Mif…
![](
https://radiotadio.co.tz/wp-content/uploads/sites/10/2021/01/ssa-350x350.jpg )
5 January 2021, 3:21 pm
Wananchi Chilonwa waomba kukarabatiwa daraja
Na,Mariam Matundu, Dodoma. Wakazi wa kijiji cha Mahama Kata ya Chilonwa Wilayani Chamwino wameiomba Serikali kufanya ukarabati wa daraja lililopo kati ya kijiji cha mahama na Nzali ili kuondoa adha ya usafiri wanayokutana nayo kipindi cha mvua za masika.Wakizungumza na…
![](
https://radiotadio.co.tz/wp-content/uploads/sites/5/2020/12/20201230-080821-350x350.jpg )
31 December 2020, 4:03 AM
Tatizo la kupata Hedhi nyingi kupita kiasi sababu na athari zake
Je ni wakati gani mwanamke anatakiwa kuhisi kuwa anapata hedhi kupita kiasi? Unapata hedhi inayozidi siku 7 Unapata hedhi nzito inayofanya ubadiri pedi moja ndani ya masaa mawili Unapata hedhi nzito inayokulazimu kuvaa pedi zaidi ya moja Unapata hedhi nzito inayolowesha hadi nguo za…