Habari za Jumla
9 Julai 2021, 7:25 MU
MKUU wa Wilaya ya Masasi mkoani Mtwara, ameomba kupewa ushirikiano wa karibu kut…
MKUU wa Wilaya ya Masasi mkoani Mtwara, Claudia Kitta( katikati) ameomba kupewa ushirikiano wa karibu kutoka kwa watendaji na wananchi wa wilaya hiyo ili kwa pamoja kuweza kufanya kazi kwa bidii katika kutatua kero za wananchi wa wilaya ya Masasi.…
9 Julai 2021, 7:19 MU
Mtoto ambaye ni Msichan amekufa baada ya fisi kuvamia Jando la wasichana
Mtoto ambaye ni Msichana mwenye umri wa miaka nane wa kijiji cha kivukoni kata ya Chiwale , Wilayani Masasi mkoani Mtwara ambapo mtoto huyo alikuwa amewekwa unyango Jandoni amekufa baada ya fisi kuvamia Jando la wasichana na kumkamata mtoto huyo…
6 Julai 2021, 6:35 um
Dampo lawa kero kwa wakazi wa Migungani kata ya Bunda stoo
By Adelinus Banenwa Wananchi wa mtaa wa Migungani kata ya Bunda stoo Halmashauri ya Mji wa Bunda wameiomba serikali kuhamisha dampo la Migungani kutokana na kero kubwa wanazozipata Hayo wameyasema leo july 5, katika eneo la dampo la maji taka…
6 Julai 2021, 11:57 mu
Simiyu yazindua Mkakati wa kuongeza Tija katika zao la Pamba.
Mkoa wa Simiyu Umezindua Kampeni ya kuongeza Tija katika zao la Pamba ili kuwainua wakulima Kiuchumi. Kampeni hiyo imezinduliwa na Waziri wa Kilimo Profesa Adolf Mkenda na kusema kuwa Serikali haiwezi kuamua Bei ya Pamba katika Soko la Dunia na …
Julai 6, 2021, 9:57 mu
USHETU:DC Kiswaga awapa mbinu ya kutoboa kimaisha vijana wanaocheza Pool Table n…
KAHAMA: Mkuu wa wilaya ya kahama, Festo Kiswaga amepiga marufuku tabia ya vijana wasiokuwa kazi maalumu hususani wanaokaa vijiweni na kuendekeza michezo ya kubahatisha maarufu kama betting na pool table na badala yake watakiwa kujiorodhesha kupitia kwa viongozi wao wa…
3 Julai 2021, 3:33 um
Baraza la umoja wa Vijana UVCCM Wilaya ya Bunda
By Adelinus Banenwa Katibu wa Umoja wa Vijana UVCCM mkoa wa Mara Wambula Peresia amesema niwajibu wa madiwani na wabunge kuwawezesha Vijana hasa kwenye kuandaa mabaraza ya Wilaya Hayo ameyasema leo July 3, 2021 kwenye baraza la Vijana UVCCM Wilaya…
2 Julai 2021, 1:15 um
Diwan wa kata ya Neruma wilayani Bunda kupitia CCM afariki dunia
by Adelinus Banenwa Diwani wa kata ya Neruma Mh. Alfred Maungo amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mfupi Akizungumza na Mazingira fm Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Bunda mh. Charles Manunbu amethibitisha kifo cha diwani huyo huku taarifa…
Julai 1, 2021, 9:54 mu
Mwalimu wa tuisheni afungwa maisha jela Kahama
Mahakama ya wilaya ya Kahama mkoani Shinyanga jana June 30, 2021 imemhukumu kifungo cha maisha jela, Baraka Andrea (25) mkazi wa Kata ya Mhongolo ambaye alikuwa mwalimu wa Tuisheni kwa kosa la kumlawiti mwanafunzi wake wa miaka nane. Akisoma hukumu…
26 Juni 2021, 3:07 um
Mkutano wa wadau kuchangia maoni uboreshaji wa mitaala ya elimu Nchini wafanyika…
Na,Mindi Joseph . Serikali imesmea ni vyema kusitisha mabadiliko yoyote kwenye mitaala ya Ngazi ya Elimu ya Awali, Msingi na Sekondari iliyopo sasa Nchini mpaka mchakato wa wadau kuchangia maoni ili kuwa na Mtaala ambao ni shirikishi na jumuishi utakapokamilika.…
24 Juni 2021, 10:05 mu
RC Simiyu aagiza kusimamishwa kazi Daktari aliyesababisha kifo cha Mam…
Mkuu wa mkoa wa Simiyu Mh David Kafulila amemuagiza Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Maswa kumsimamisha kazi mganga Mfawidhi wa Zahati ya Senani iliyopo kata ya Senani wilayani hapa Ally Soud kwa kusababisha Kifo cha Mama na Mtoto …