Familia
3 Septemba 2024, 5:12 um
DUWASA yashauriwa kutatua kero za maji kwa wananchi
Na Yusuph Hassan. Mamlaka ya Maji na Usafi wa Mazingira mkoani Dodoma DUWASA imeshauriwa kuanzisha dawati kwa ajili ya kusikiliza na kutatua kero za maji kwa wananchi. Ushauri huo umetolewa na Mkuu wa Wilaya ya Chamwino Janet Mayanja akizungumza katika…
15 Agosti 2024, 5:44 um
Wakazi Mchito watatuliwa kero ya maji
Baadhi ya wananchi hao wametoa shukrani zao za dhati kwa shirika hilo kwani kupitia msaada wa kisima kirefu cha maji kimepelekea wananchi kujikita na kilimo cha umwagiliaji. Na Victor Chigwada.Wananchi wa kijiji cha Mchito wametoa shukrani kwa wadau na wahisani…
13 Agosti 2024, 4:03 um
Wananchi Bahi Sokoni waipongeza serikali kuwasogezea huduma muhimu
Pamoja na maendeleo makubwa yaliyofanyika kwenye kijiji hicho bado wana uhaba wa huduma ya soko. Na Kadala Komba.Wananchi wa Kijiji cha Bahi Sokoni Wilayani Bahi Mkoani Dodoma wameipongeza Serikali kwa hatua ya kuwasogezea huduma muhimu za kijamii ikiwemo maji na…
6 Agosti 2024, 6:13 um
DUWASA kuendelea kushirikiana na mamlaka za serikali kufanikisha upatikanaji wa…
Itaendelea kushirikiana na mamlaka za serikali za mitaa katika kuhakikisha wanafanikisha upatikanaji wa maendeleo kwa wananchi. Na Seleman Kodima.Katika kuhakikisha wanatekeleza kauli mbiu ya Mwaka huu ya Maonesho ya wakulima na wafugaji Nane nane 2024,Mamlaka ya Maji safi na usafi…
5 Agosti 2024, 5:44 um
Upatikanaji wa maji Vikonje waimarika
Wanasema mwanzoni walikuwa wanapata maji yasiyo salama kutoka vyanzo visivyosahihi ila kwa sasa changamoto hiyo imepata suluhu kupitia mradi wa maji. Na Mindi Joseph.Upatikanaji wa Maji safi na salama katika Mtaa wa Vikonje A Kata ya Mtumba Mkoani Dodoma umeimarika…
2 Agosti 2024, 5:26 um
Kusuasua kwa huduma ya maji kero kwa wakazi wa mtaa wa Miganga
Mhandisi Aron Joseph anasema bado hawajaweza kufikia 100% ya malengo ya utoaji wa huduma za maji Dodoma lakini mpaka mwisho wa mwaka wa fedha wa 2024/25 watafikia 75%. Na Mindi Joseph.Kusuasua kwa upatikanaji wa huduma ya maji katika mtaa wa…
17 Julai 2024, 5:45 um
Wakazi wa Nzuguni waombwa kuwa wavumilivu kwa siku kumi maboresho ya Tanki la ma…
Mhandishi Aron amewaomba wananchi kuhifadhi na kutumia maji kwa uangalifu. Na Mariam KasawaMkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dodoma (DUWASA), Mhandisi Aron Joseph amewaomba wananchi wa Nzuguni na maeneo yanayohudumiwa na mradi wa maji wa Nzuguni…
15 Julai 2024, 5:29 um
Serikali kuchimba visima Igandu zaidi ya vitatu
Hata hivyo Serikali kupitia RUWASA bajeti ya 2023/2024 imepanga kujenga jumla ya miradi 1546. Na Victor Chigwada.Matumaini ya kupata huduma ya maji safi na salama yameanza kupata nuru kwa wananchi wa Kata ya Igandu baada Serikali kutenga fedha za kuchimba…
23 Mei 2024, 4:27 um
Wakazi zaidi 14,000 waondokana na adha ya maji Ntyuka
Kata ya Ntyuka ina Mitaa mitano na wamenufaika na Visima 3 viliyochimbwa katika maeneo yao kwani viwili vinatoa maji na kimoja bado hakijaanza kutoa maji. Na Mindi Joseph.Wakazi zaidi ya Elfu 14,000 wa kata ya Ntyuka Jijini Dodoma Wameondokana adha…
15 Aprili 2024, 9:34 um
Msukumo mkubwa wa maji wachangia kupasuka kwa mabomba
Duwasa imeendelea kuhakikisha inakabiliana na changamoto ya upotevu wa maji ambao husababishwa na kupasuka kwa miundombinu ya Mabomba ya maji kutokana na presha kubwa ya maji. Na Mindi Joseph. Msukumo mkubwa wa maji umetajwa kuchangia Kupasuka kwa miundombinu ya mabomba…