Radio Tadio
02/07/2022, 20:06
Wazazi wametakiwa kuwa karibu na watoto wao ili kupunguza vitendo vinavyoashiria ukatili dhidi yao. Hayo yamesemwa na Bi Ester Nyagari Mzazi wa Serafini Elman katika tamasha la michezo lililohusisha wanafunzi na wazazi yaliyoratibiwa na shule ya Watoto ya Eastgate iliyopo…
14/04/2021, 08:05
Na ; Mariam Kasawa. Shirika la Viwango Tanzania (TBS) limeteketeza bidhaa hafifu za vyakula na vipodozi zenye thamani ya shilingi milioni 19 katika maeneo mbalimbali ya biashara katika mikoa ya Nyanda za Juu Kusini. Kwa Mujibu wa Meneja wa Shirika…