
Burudani

11 April 2025, 2:43 pm
Wajasiriamali Mpomvu wapongeza uboreshwaji wa soko
Soko la Mpomvu linatumiwa na wakazi wa kata ya Mtakuja yenye idadi ya wakazi wapatao 26,676 kwa mujibu wa sensa ya watu na makazi iliyofanyika mwaka 2022. Na: Kale Chongela: Wajasiriamali waliopo katika mtaa wa Mpomvu kata ya Mtakuja katika halmashauri…

8 April 2025, 12:49 pm
Wakazi wa kitongoji cha Mhama walia na ubovu wa barabara
Kufuatia mvua zinzoendelea kunyesha katika baadhi ya maeneo nchini, zimepelekea changamoto ya miundombinu ya barabara katika baadhi ya maeneo mkoani Geita. Na: Ester Mabula: Wananchi wa kitongoji cha Mhama, Kijiji cha Nampangwe, kata ya Runzewe-mashariki wilayani Bukombe mkoani Geita wameiomba…

March 28, 2025, 4:52 pm
Wasira: Wajumbe chagueni wagombea wanaokubalika kwa wananchi
”Utaratibu wa sasa katika kura za maoni CCM, wajumbe wameongezeka ili kuweza kupata viongozi wanaokubalika kwa wananchi” Na Sebastian Mnakaya Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Bara, Stephen Wasira amewataka wanachama wa chama hicho wanapoelekea katika uchaguzi mkuu unaotarajia…

March 27, 2025, 10:42 am
Wasira: Viongozi tatueni na kusikiliza kero za wananchi
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Bara, Stephen Wasira akizungumza na wanancha wa CCM mkoa wa Shinyanga ”Wajibu wa viongozi wa chama hicho ni kutatua shida za Wananchi hususani wa Bodaboda, Wanawake wajasiriamali na Wakulima, CCM sio chama cha…

March 27, 2025, 10:24 am
Wananchi watakiwa kuunga mkono ajenda za viongozi wa CHADEMA
Wananchi watakiwa kuunga mkono ajenda mbalimbali zinazoletwa na CHADEMA katika kuelekea Uchaguzi mkuu mwaka huu 2025 Na Sebastian Mnakaya Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Kanda ya Serengeti kimewataka wananchi kuungana na Viongozi wa Chama hicho katika ajenda ambazo ni…

March 25, 2025, 5:58 pm
Vijana jitokezeni katika kugombea nafasi mbalimbali za uongozi
Katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika mwezi oktoba mwaka huu 2025, vijana wengi wametakiwa kujitokeza kwa wingi katika kushirik na kugombea nafai mbalimbali za uongozi Na Sebastian Mnakaya Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinuzi (UVCCM) mkoani…

March 16, 2025, 4:41 pm
Marufuku kufukuzwa CCM Shinyanga bila ya kuzingatia kanuni
”Hakuna mwanachama yeyote kusimamishwa ama kufukuzwa kwenye chama bila ya kuzingatia taratibu na kanuni za chama” Na Sebastian Mnakaya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Shinyanga kimewataka viongozi mbalimbali wa chama hicho kusitisha kuwafunguza uwanachama na kuwasimisha katika nafasi mbalimabli…

March 11, 2025, 3:46 pm
Viongozi CCM kahama watakiwa kusikiliza, kutatua kero za wananchi
Viongozi wa CCM kata kuacha tabia ya kuwafukuza makatibu wa matawi na mabalozi na badala yake wawafukuze wanaovunja utaratibu wa Chama kwa kuanza kupita kwa wajumbe kwa ajili ya kuwachagua tunapoelekea uchaguzi mkuu Na Sebastian Mnakaya Viongozi wa Chama Cha…

February 28, 2025, 11:41 am
Viongozi CCM jimbo la Msalala watakiwa kuacha migogoro
Naibu waziri mkuu na waziri wa Nishati Doto Biteki akiwa na viongozi mbalimbali wa Chama Cha Mapinduzi CCM katika mkutano maalum Msalala( picha na Sebastian Mnakaya) Viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Jimbo la Msalala wilayani Kahama mkoani Shinyanga wametakiwa…

January 24, 2025, 10:59 am
Wanachama CHADEMA Kahama wampongeza Lisu kwa ushindi
Tundu Lisu ameibuka kuwa mshindi kwa nafasi ya mwenyekiti wa CHADEMA baada ya kupata kura 513 sawa na silimia 51.5% huku mpinzani wake wa karibu Freeman Mbowe 482 sawa na asilimia 48.3 na Odero Charles akipata kura 01%, katika uchaguzi…