Radio Tadio

Biashara

15 November 2024, 15:00

DC Kasulu awafunda madiwani kuelekea uchaguzi

Zikiwa zimebaikia siku 12 kuelekea kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa mkuu wa wilaya ya kasulu kanal Isack mwakisu amewataka madiwani wilayani humo kuhakikisha wanakuwa mstari wa mbele kuwahimiza wananchi wajitokeze kuwachagua viongozi wao. Kanal mwakisu amesema hayo katika mkutano…

8 November 2024, 4:00 pm

Maswa:Kanda ya ziwa kinara kwa uharibifu wa mazingira

“Wakati dunia inapambana na mabadiliko ya tabia nchi utokanao na uharibifu wa mazingira haswa katika matumizi ya nishati ya kuni na mkaa kanda ya ziwa kinara kwa uharibifu wa mazingira”. Na, Daniel Manyanga Zaidi ya hekta laki nne hupotea nchini…

7 November 2024, 11:08 am

Maswa: Wanawake na Samia waaswa kutumia nishati safi yakupikia

Matumizi ya nishati safi yakupikia inatajwa kuwa ni mwarobaini wa kukabiliana na uharibifu wa mazingira,huku ikitajwa kuwanufaisha wanawake Mkoani Simiyu kwakuokoa gharama,muda na maradhi yanayotokana na matumizi ya mkaa na kuni Na,Alex Sayi Wanawake na Samia mkoani Simiyu wameaswa kuunga…

31 October 2024, 3:01 pm

CCM Nyasura wawapamba wagombea kurejesha fomu

Mwenyekiti wa CCM kata ya Nyasura asema makundi yote yaliyokuwepo kwenye kura za maoni yalishavunjwa awataka wanachama kujitokeza kwenye mikutano na kupiga kura atoa rai kwa vyama vya siasa kufanya kampeini za kistaarabu. Na Adelinus Banenwa Waliochukua fomu za kugombea…

27 September 2024, 11:06 pm

Wananchi Maswa walalamikia umeme kufika maeneo ya mijini tu

“Unakuta meme umefika maeneo ya sentani tu halafu sisi tuliopo pembezoni hatupati tunaambiwa tu mradi unaishia hapo kwani sisi wa pembezoni hatustahili kupata huduma ya umeme?“ Wananchi wa kijiji cha Mwakabeya   kata  ya  Ipililo  Wilayani  Maswa  Wamelalamikia Huduma  ya  Umeme  kufika  kwenye  Senta …

21 September 2024, 16:15 pm

Waandishi wa habari, wadau wafanya usafi Mtwara

Hii ni Siku ya usafi Duniani ambapo chama cha Waandishi wa Habari Mkoa wa Mtwara (MTPC) kwa kushirikiana na ofisi ya Mkurugenzi Manispaa ya Mtwara Mikindani, Ofisi ya Mbunge Mtwara Mjini ,Mganga mkuu wa mkoa na Wadau wengine wamefanya usafi…

26 August 2024, 7:45 pm

Zoezi la uboreshaji wa daftari la kudumu kufanyika Manyara

Tume huru ya taifa ya uchaguzi imewataka wadau mbali kuhamasisha jamii kujiandikisha kwenye daftri la kudumu la mpiga kura. Na Mzidalfa Zaid Wadau wa uchaguzi wa uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura mkoani Manyara wametakiwa kuielimisha jamii kuacha…

22 July 2024, 09:10 am

Upepo wa ajabu waezua paa la nyumba Mtwara

Limeanzia kati kati ya Bahari ,tumeona taswira muonekano kama Samaki wawili wakubwa wenye mvuke wa moshi na upepo mkubwa ambao umeleta taharuki ambao ulikuja kuishia kwenye nyumba ya Bwana Fadhili Ismail Na Musa Mtepa Watu wawili wamenusurika kujeruhiwa na paa…