
Ajali

12 April 2025, 7:16 pm
Barrick North Mara watenga bil. 4.687 miradi mipya CSR
Barrick North Mara umetenga kiasi cha shilingi bilioni 4.687 fedha ya uwajibikaji wa kampuni kwa wananchi CSR Na Edward Lucas Mgodi wa Barrick North Mara umetenga kiasi cha shilingi bilioni 4.687 fedha ya uwajibikaji wa kampuni kwa wananchi CSR kwa…

4 April 2025, 20:16
Ghala la magodoro lawaka moto Mbeya
Jeshi la zimamoto limekuwa likitoa elimu ya matumizi ya vifaa vya kuzimia moto pindi unapotokea huku wakisisitiza utoaji wa taarifa mapema yanapotokea majanga hayo. Na Kelvin Lameck Moto mkubwa umezuka usiku wa kuamkia leo tarehe 4 April 2025 katika ghala…

March 17, 2025, 9:43 pm
Wakandarasi wasio kamilisha miradi kwa wakati, kunyang’anywa kazi
Kulia ni Naibu Waziri wa TAMISEMI Zainab Katimba na katika ni Mwenyekiti wa Kamati ya kudumu ya bunge TAMISEMI, Jastine Nyamoga (Picha na Sebastian Mnakaya) kasi ya mkandarasi huyo haidhirishi ambapo mpaka sasa ametekeleza ujenzi kwa asilimia 48 pekee huku…

15 March 2025, 5:46 pm
Bunda kuadhimisha miaka minne ya Rais Samia Machi 17
Miongoni mwa maeneo yatakayoangaziwa ni pamoja na sekta mbalimbali za serikali ikiwemo Maji, Umeme, Afya, Barabara pamoja na Elimu. Na Adelinus Banenwa Serikali wilayani Bunda imewaomba wananchi wote kuudhuria maadhimisho ya miaka minne ya serikali ya awamu ya sita chini…

14 March 2025, 08:08
Wawili wanusurika kifo baada ya magari kugongana na kuwaka moto Mbeya
Elimu ya udereva imekuwa ikiwasisitiza madereva kuwa makini natika uendeshaji wao wa vyombo vya moto,licha ya hivyo madereva wengi wamekuwa wakiukwaji wa sheria na taratibu za barabara. Na Ezekiel Kamanga Watu wawili wamenusurika kifo baada ya ajali ya magari mawili…

3 March 2025, 7:49 am
Nyamuswa yetu kwanza yadhamiria kurudisha tabasamu kijijini
Kikundi hicho kilianzishwa tangu mwaka 2021 na kilianza katika dhima ya kusaidia watu misibani na kusaidia batibabu kwa wale wanaougua lakini hawana uwezo wa kwenda hospitali. Na Adelinus Banenwa Kiasi cha pesa taslimu shilingi milioni moja laki sita na elfu…

February 28, 2025, 11:14 am
Serikali kuendeleza ushirikiano na sekta binafsi katika kukuza uchumi
Serikali imesema itaendelea kushirikiana na sekta binafsi katika kuhakikisha Watanzania wanaendelea kupata huduma bora sambamba na kupunguza umasikini miongoni mwao Na Sebastian Mnakaya Serikali imesema itaendelea kushirikiana na sekta binafsi katika kuhakikisha Wantanzania wanaendelea kupata huduma bora sambamba na kupunguza…

20 February 2025, 7:21 pm
Madiwani Bunda DC wakubali kupitisha bajeti ya Tsh, 36,5 bilion
Baraza la Madiwani halmashauri ya wilaya ya Bunda limepitisha makadilio ya bajeti ya shilingi Bilion 36.5 kwa mwaka wa fedha 2025 na 2026 Na Adelinus Banenwa Baraza la Madiwani halmashauri ya wilaya ya Bunda limepitisha makadilio ya bajeti ya shilingi…

17 February 2025, 5:41 pm
Jengo la ofisi za hazina lazinduliwa mkoani Geita
Serikali imeendelea kuimarisha na kuboresha huduma za wizara ya fedha ikiwemo kusogeza huduma hizo karibu na wananchi zaidi. Na: Edga Rwenduru – Geita Wizara ya fedha imetoa onyo kwa watu na taasisi mbalimbali za fedha zinazotoa mikopo umiza kwa wananchi…

15 February 2025, 7:45 pm
Wavamia mtaa wa Zanzibar kufuatia kugunduliwa kwa dhahabu, serikali yatia mguu
Serikali ya mtaa inachukua hatua muhimu katika kusimamia usalama na ustawi wa jamii katika kipindi hiki cha shughuli za uchimbaji. Na Adelinus Banenwa Makumi kwa mamia ya vijana kutoka maeneo mbalimbali wameshukudiwa katika viunga vya mtaa wa Zanzibar , kata…