Radio Tadio

Ajali

12 Disemba 2025, 19:30 um

Waziri Chongolo afanya ziara ya kikazi Mtwara

Waziri wa Kilimo, Daniel Chongolo, alifanya ziara ya kikazi Mtwara kufuatilia msimu wa korosho 2025/2026, kuhimiza ruzuku ya pembejeo kwa wakulima, kuanzisha teknolojia ya ndege nyuki kupulizia dawa, na kuagiza TARI-Naliendele kufanya utafiti wa changamoto za korosho kutokana na mvua…

Novemba 20, 2025, 3:02 um

Muziki wawaongezea utulivu Ng’ombe wakati wa kukamuliwa

Asajile amekuwa akiwasoma Ng’ombe wake tabia hii humsaidia kupata maziwa kwa wingi zaidi Na Anyisile Fredy MKAZI na mfugaji wa ng’ombe  wa maziwa mjini Vwawa Mbozi Mkoani Songwe, Mikaya Asajile amesema  amewagundua  ng’ombe wake kwamba wanapenda muziki wakati wa kukamuliwa.…

16 Novemba 2025, 10:08 mu

DC Mtwara awataka wajasiriamali kuwajibika kwa mikopo

Mkuu wa Wilaya Abdala Mwaipaya amesisitiza uwajibikaji huo kwenye mkutano wa WABISOKO na kuwapongeza wafanyabiashara kwa kudumisha amani na kuwasilisha changamoto zao kwa utulivu. Makamu Mwenyekiti Rashidi Johana amewasilisha maendeleo na changamoto za ushirika. Na Musa Mtepa Wajasiriamali wametakiwa kutimiza…

14 Oktoba 2025, 11:19 mu

Wanasimba wazindua mnara wa kisasa Mpomvu

“Vilevile tunaendelea kushiriki katika shughuli mbalimbali za kijamii kwa kushirikiana na serikali ikiwemo sekta za Afya na elimu” – Katibu wa tawi la Simba Mpomvu Na: Edga Rwenduru Mashabiki na wanachama wa klabu ya Simba katika mtaa wa Mpomvu uliopo…

23 Agosti 2025, 8:40 um

Miradi ya 1.8b yafikiwa na mwenge Bunda DC

Mwenge wa uhuru kitaifa 2025 uliingia mkoa wa Mara kupitia wilaya ya Bunda kwa halmashauri ya mji wa Bunda tarehe 15 Aug 2025 na kuzunguka katika halmashauri zote tisa za mkoa wa Mara na leo Aug 23,2025. Na Adelinus Banenwa…