Ajali
31 Machi 2026, 15:24
Mikopo asilimia 10 ipo ombeni
Mkuu wa Idara ya Maendeleo ya jamiii halmashauri ya Bunda Bi Octavina Kiwone ameeleza kuhusu fursa ya mikopo ya asilimia 10 ambapo amewataka vijana, wanawake na watu wenye ulemavu kujitokeza kwa wingi kuunda vikundi imara vitakavyowasaidia kupata fursa hiyo ili…
19 Machi 2026, 16:48
Kahama wapiga marufuku viongozi wa mitaa kujihusisha na uuzaji wa viwanja
Manispaa ya Kahama mkoani Shinyanga imepiga marufuku wenyeviti wa serikali za mitaa na vijiji kujihusisha na mikataba ya mauziano ya viwanja na maeneo kwakuwa ni kinyume na utaratibu wa sheria za manispaa. Sebastian Mnakaya Agizo hilo limetolewa na kaimu Mkurugenzi…
17 Machi 2026, 11:08
Majiko banifu zaidi ya 400 yatolewa kwa wananchi Kasulu
Majiko banifu yamekuwa suluhisho muhimu katika kukabiliana na changamoto za kimazingira na kijamii katika nchi nyingi zinazoendelea, ikiwemo Tanzania na kwa muda mrefu jamii nyingi zimekuwa zikitegemea kuni na mkaa kama vyanzo vikuu vya nishati ya kupikia hali ambayo imesababisha…
9 Machi 2026, 21:49
Kc-Mamire yaadhimisha siku ya wanawake duniani.
Na Marino Kawishe Kituo cha taarifa na maarifa kilichopo Kata ya Mamire Wilayani Babati Mkoani Manyara chini ya Mtandao wa Jinsia Tanzania TGNP leo kimeadhimisha siku ya wanawake duniani kwakutoa vitu mbali mbali kwa wanafunzi zaidi ya Ishirini na tano wanaosoma…
3 Machi 2026, 13:17
TAKUKURU Mtwara yadhibiti Milioni 15.3 za makato ya Korosho na ufuta
TAKUKURU Mkoa wa Mtwara Region imedhibiti zaidi ya shilingi milioni 15.3 za makato ya korosho na ufuta, kupokea malalamiko 53 ya rushwa, na kusimamia marekebisho ya miradi ya maendeleo yenye thamani ya zaidi ya shilingi bilioni 2.03 Na Musa Mtepa…
2 Machi 2026, 19:38
Babati Dc yazindua maadhimisho siku ya wanawake Duniani
Na Marino Kawishe Halmashauri ya wilaya ya Babati mkoani Manyara imezindua maadhimisho ya siku ya wanawake ambayo kiwilaya yatafanyika March 6 mwaka huu kwa kutembelea kituo cha kulea wazee kilichopo katika kijiji cha Saramee kata ya magugu na kupanda miti…
26 Febuari 2026, 19:05
Getere aonesha kutoridhishwa kasi ujenzi baadhi ya miradi
Ameonesha kutokulidhishwa na kasi ya utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa zahanati ya Mahanga ambayo hadi sasa utekelezaji wake umesimama kutokana na uzembe wa watendaji Na Mariam Mramba Viongozi wa vijiji wametakiwa kushirikiana vizuri katika usimamizi wa fedha zinazotolewa na…
19 Febuari 2026, 12:49
Madiwani Bunda DC yapitisha rasimu ya bajeti ya bil. 38.9 mwaka 2026/2027
Baraza la madiwani halmashauri ya wilaya ya Bunda mkoani Mara limepitisha bajeti yenye jumla ya shilingi bilion 38,947,705,000 Na Edward Lucas Baraza la madiwani halmashauri ya wilaya ya Bunda mkoani Mara limepitisha Bajeti yenye jumla ya Shilingi bilion 38,947,705,000 kwa…
14 Febuari 2026, 10:57
Baraza la Madiwani Manispaa ya Kahama lapitisha bajeti ya bil. 70
Baraza la madiwa la Halmashauri ya Manispaa ya Kahama mkoani Shinyanga limepitisha rasimu ya makisio ya bajeti shililingi bilioni 70 kwa mwaka wa fedha 2026/2027, fedha zitakazotumika kutekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo ndani ya Manispaa hiyo. Bajeti hiyo inatarajiwa kukusanywa…
8 Febuari 2026, 17:23
Msalala yatoa bilioni moja kwa vikundi vya wajasiriamali
Mkuu wa wilaya ya Kahama mkoani Shinyanga Frank Nkinda amewaasa wanufaika wa mikopo ya asilimia 10 ya Halmashauri kuitumia vizuri kwa kuinua uchumi wao na zisiwe chanzo cha malumbano na ugomvi baina yao. Nkinda ameyasema hayo wakati akikabidhi hundi ya Shilingi…