Radio Tadio

Ajali

4 April 2025, 20:16

Ghala la magodoro lawaka moto Mbeya

Jeshi la zimamoto limekuwa likitoa elimu ya matumizi ya vifaa vya kuzimia moto pindi unapotokea huku wakisisitiza utoaji wa taarifa mapema yanapotokea majanga hayo. Na Kelvin Lameck Moto mkubwa umezuka usiku wa kuamkia leo tarehe 4 April 2025 katika ghala…

15 March 2025, 5:46 pm

Bunda kuadhimisha miaka minne ya Rais Samia Machi 17

Miongoni mwa maeneo yatakayoangaziwa ni pamoja na sekta mbalimbali za serikali ikiwemo Maji, Umeme, Afya, Barabara pamoja na Elimu. Na Adelinus Banenwa Serikali wilayani Bunda imewaomba wananchi wote kuudhuria maadhimisho ya miaka minne ya serikali ya awamu ya sita chini…

February 28, 2025, 11:14 am

Serikali kuendeleza ushirikiano na sekta binafsi katika kukuza uchumi

Serikali imesema itaendelea kushirikiana na sekta binafsi katika kuhakikisha Watanzania wanaendelea kupata huduma bora sambamba na kupunguza umasikini miongoni mwao Na Sebastian Mnakaya Serikali imesema itaendelea kushirikiana na sekta binafsi katika kuhakikisha Wantanzania wanaendelea kupata huduma bora sambamba na kupunguza…

17 February 2025, 5:41 pm

Jengo la ofisi za hazina lazinduliwa mkoani Geita

Serikali imeendelea kuimarisha na kuboresha huduma za wizara ya fedha ikiwemo kusogeza huduma hizo karibu na wananchi zaidi. Na: Edga Rwenduru – Geita Wizara ya fedha imetoa onyo kwa watu na taasisi mbalimbali za fedha zinazotoa mikopo umiza kwa wananchi…