Ajali
28 November 2025, 9:14 am
Kilimo cha Umwagiliaji: Suluhisho la Ukame na Njia ya Uhakika ya Kipato
KURUNZI MAALUMU Katika hali ya ukame uliokolea na utegemezi wa mvua, hasa Manyara, Orkonerei FM inakuletea Kurunzi Maalumu inayoangazia Kilimo cha Umwagiliaji kama mkombozi mkuu. Sikiliza jinsi wakulima wa Kata ya Terrat, Simanjiro, wanavyotumia vyanzo vidogo vya maji kama korongo…
November 20, 2025, 3:02 pm
Muziki wawaongezea utulivu Ng’ombe wakati wa kukamuliwa
Asajile amekuwa akiwasoma Ng’ombe wake tabia hii humsaidia kupata maziwa kwa wingi zaidi Na Anyisile Fredy MKAZI na mfugaji wa ng’ombe wa maziwa mjini Vwawa Mbozi Mkoani Songwe, Mikaya Asajile amesema amewagundua ng’ombe wake kwamba wanapenda muziki wakati wa kukamuliwa.…
16 November 2025, 10:08 am
DC Mtwara awataka wajasiriamali kuwajibika kwa mikopo
Mkuu wa Wilaya Abdala Mwaipaya amesisitiza uwajibikaji huo kwenye mkutano wa WABISOKO na kuwapongeza wafanyabiashara kwa kudumisha amani na kuwasilisha changamoto zao kwa utulivu. Makamu Mwenyekiti Rashidi Johana amewasilisha maendeleo na changamoto za ushirika. Na Musa Mtepa Wajasiriamali wametakiwa kutimiza…
20 October 2025, 6:36 pm
Hope for Girls and Women Tanzania yazindua nyumba salama Butiama
Ujenzi huo umewezeshwa na Polish Aid na Foundation Kiabakari, na sasa kituo kina uwezo wa kuhudumia watoto 160 kwa kutoa malezi, elimu, ushauri nasaha na ulinzi wa kijamii. Na Thedy Thomas Katika juhudi za kulinda na kuwahudumia watoto waliokumbwa na…
14 October 2025, 11:19 am
Wanasimba wazindua mnara wa kisasa Mpomvu
“Vilevile tunaendelea kushiriki katika shughuli mbalimbali za kijamii kwa kushirikiana na serikali ikiwemo sekta za Afya na elimu” – Katibu wa tawi la Simba Mpomvu Na: Edga Rwenduru Mashabiki na wanachama wa klabu ya Simba katika mtaa wa Mpomvu uliopo…
22 September 2025, 7:14 pm
Wananchi wafurika kupata huduma za Madaktari Bingwa Hospitali ya Maswa
Ujio wa kambi ya madaktari bingwa katika Hospitali ya Wilaya ya Maswa utasaidia kusogeza huduma kwa wananchi ambazo walitakiwa wazipate katika Hospitali kubwa za rufaa na kanda lakini kwa sasa zinatolewa na Hospitali yetu ya Wilaya ” Dc Maswa Dkt…
9 September 2025, 11:06 am
So They Can Tanzania yawezesha wananchi kupata matibabu Babati
Na Marino Kawishe Zaidi ya Wananchi elfu Tatu kutoka kata nne za Galapo, Mamire, Endakiso na Qash zilizopo Wilayani Babati Mkoani Manyara wamejitokeza kupata huduma za afya katika kambi ya siku tano iliyomalizika jumamosi sept 6 iliyoandaliwa na Shirika la…
23 August 2025, 8:40 pm
Miradi ya 1.8b yafikiwa na mwenge Bunda DC
Mwenge wa uhuru kitaifa 2025 uliingia mkoa wa Mara kupitia wilaya ya Bunda kwa halmashauri ya mji wa Bunda tarehe 15 Aug 2025 na kuzunguka katika halmashauri zote tisa za mkoa wa Mara na leo Aug 23,2025. Na Adelinus Banenwa…
13 August 2025, 7:28 pm
Miradi ya zaidi ya bilion 3.5 kuzinduliwa na mwenge Bunda TC
Mapokezi ya mwenge huo ni shule ya msingi Balili Augost 15 2025 Asubuhi. Na Adelinus Banenwa Jumla ya miradi yenye thamani ya zaidi ya shilingi bilioni 3.5 inatarajiwa kutembelewa na mwenge wa uhuru kitaifa mwaka 2025 kwa halmashauri ya mji…
13 August 2025, 7:20 pm
Mwenge wa uhuru kukimbizwa KM 152 Musoma
Kwa wilaya ya Musoma mapokezi ni tarehe 16 katika kijiji cha Kabulabula halmashauri ya wilaya ya Musoma. Na Adelinus Banenwa Mkuu wa wilaya ya Musoma Mhe Juma Chikoka ameomba wakazi wote wa wilaya ya Musoma kujitokeza kwa wingi katika mapokezi…