Afya
6 Novemba 2024, 5:48 um
Bilioni 440 kumtua mama ndoo kichwani Simiyu
“Uhai ni maji na wanasayansi wanasema robo tatu ya dunia na mwili wa binadamu ni maji kwa kulitambua hilo wananchi waipongeza serikali kwa miradi ya maji”. Na, Daniel Manyanga Wananchi mkoani Simiyu wanaopata maji kwa kusuasua kutokana na kukosa vyanzo …
5 Novemba 2024, 15:34
Dkt. Chuachua ahimiza wakulima kulima zao la michikichi Kigoma
Manispaa ya Kigoma Ujiji Mkoani Kigoma imesema itaendelea kugawa miche ya michikichi kwa wakulima ili kuhakikisha inatekeleza agizo la Waziri Mkuu wa Tanzania Mh. Kassim Majaliwa la kila halmashauri kugawa miche kwa wakulima kama mkakati wa kukabiliana na uhaba wa…
4 Novemba 2024, 12:54 um
Fumanizi laua asiyetarajiwa kijiji cha Bugalama
Wivu wa mapenzi umeendelea kusababisha vifo kutokana na maamuzi ya baadhi ya watu kujichukulia sheria mkononi mkoani Geita. Na: Evance Mlyakado – Geita Kijana Faida Deusi anayekadiriwa kuwa na umri kati ya miaka 25-35 mkazi wa kijiji cha Bugalama kata…
24 Oktoba 2024, 09:06
Watendaji watakiwa kuwa wabunifu utoaji wa chakula shuleni
Serikali wilayani Buhigwe imesema inaendelea kuweka mikakati mbalimbali ya kukabiliana na tatizo la udumavu kwa watoto ikiwa ni pamoja na kusimamia suala la chakula shuleni ili wanafunzi waweze kupata chakula. Na Emmanuel Kamangu – Buhigwe Mwenyekiti wa kamati ya lishe…
17 Oktoba 2024, 11:25
Kanisa la anglikana laahidi kuunga mkono serikali utoaji huduma
Askofu kanisa la Anglikana dayosisi ya western Tanganyika mkoa wa kigoma amesema kanisa lipo tayari kushiriki na kuunga juhudi za Serikali katika kuboresha miundombinu ya maendeleo. Na Hagai Ruyagila- Kasulu Kanisa la Anglikana Dayosisi ya Western Tanganyika Mkoani Kigoma Limesema…
10 Oktoba 2024, 16:58
Migomba elfu 29 kusambazwa kwa wakulima Buhigwe
Shirika la Plantvillage limesema linatarajia kupanda miche ya migomba kwenye eneo la ekari 32 itakayokuwa inatumika kwa wakulima ili kupunguza migamba inashambuliwa na magonjwa. Na Michael Mpunije – Buhigwe Katika kukabiliana na ugonjwa wa Funga shada ya Migomba ambao umeshambulia…
4 Oktoba 2024, 17:21
Benki ya EXIM yaahidi kutoa huduma bora kwa wateja wake
Benki ya Exim tawi la Kigoma imesema itaendelea kuboresha na kutoa huduma bora kwa wateja wake huku ikiwataka wafanyabiashara na mashirika yaliyopo mkoani kigoma kujitokeza na kuomba mikopo inayotolewa na benki hiyo kwa lengo la kukuza biashara zao. Na Joha…
4 Oktoba 2024, 13:27
Wazazi watakiwa kuwezesha watoto kupata elimu bora
Serikali imewataka wazazi na walezi kuendelea kuwapeleka watoto wao shule ili kupata elimu itakayowasaidia kuweza kutimiza ndoto zao. Na Lucas Hoha – Kasulu DC Wazazi katika halmashauri ya Wilaya ya Kasulu Mkoani Kigoma wametakiwa kuwalea watoto wao katika maadili mema…
17 Septemba 2024, 14:53
Vijana kuongeza mchango wa kilimo kwenye Taifa
Serikali wilayani kibondo imesema vijana hawana budi kuchangamkia fursa za kilimo ili waweze kujikwamua kiuchumi na kuacha kupoteza muda kusubiri ajira. Na James Jovin – Kibondo Vijana wilayani Kibondo mkoani Kigoma wametakiwa kuwekeza katika sekta ya kilimo ili kujikwamua kimaisha…
13 Septemba 2024, 7:07 mu
Matukio ya mauaji ni hatari tuliombee Taifa-Sheikh JAH
Kufuatia kuwepo kwa matukio ya utekaji na mauaji ya raia nchini Tanzania viongozi wa Dini wazidi kuhimiza Waatanzania kila mmoja kwa imani yake kuliombea taifa ili Mungu atuepushe na majanga hayo. Na;Emmanuell Twimanye Wananachi Wilayani Sengerema Mkoani Mwanza wametakiwa kuliombea…