Afya
9 Mei 2024, 3:36 mu
TAS yatoa tamko baada ya mtoto mwenye ualbino kujeruhiwa
Tukio la kujeruhiwa mtoto (10) mwenye Ualbino mkazi wa mtaa wa Mtakuja kata ya Katoro wilayani na mkoani Geita limekiibua Chama cha watu wenye Ualbino (TAS) wilaya ya Geita. Na: Evance Mlyakado – Geita Katibu wa TAS wilaya ya Geita…
8 Mei 2024, 4:16 um
RUWASA Maswa yatakiwa kusajili pikipiki kwa namba za serikali
Vyombo vya watoa huduma wa maji ngazi ya jamii wilayani Maswa vimesaidia upatikanaji wa maji vijijini kutoka asilimia 68.9 hadi 74 na ifikapo 2025 kufikia asilimia 85. Na, Daniel Manyanga Mkuu wa wilaya ya Maswa mkoani Simiyu, Aswege Kaminyoge amemtaka…
7 Machi 2024, 10:33 um
Amuua kwa madai ya kugoma kurudiana nae
Matukio ya wanadoa kutarakiana wakiwa wanapendana yamekuwa chanzo cha mauaji kwa wanawake kutokana na wanaume kushindwa kuvumilia hali hiyo, ambapo kwa wilaya ya Sengerema zaidi ya matukio matatu yametokea kwa mwaka huu. Na:Emmanuel Twimanye. Mwanamke mmoja mwenye umri wa miaka…
6 Febuari 2024, 18:11
Wazazi washauriwa kuwapatia watoto lishe bora kupunguza udumavu nchini
Diwani wa kata ya Nanyala George Msyani wakati akiongea na wananchi wa kata hiyo(picha na Rukia Chasanika) udumavu kwa watoto unasababishwa na baadhi ya wazazi na walezi kutowapatia lishe bora watoto wao pamoja na kutozingatia makundi ya vyakula. Na Rukia…
1 Febuari 2024, 17:47
Watalaam wa afya wasisitiza uwepo wa choo bora kwa kila kaya
Na Hobokela Lwinga Timu ya watalamu wa afya imefanya ziara katika taasisi mbalimbali ikiwemo maeneo ya kutolea huduma za jamii lengo likiwa ni kukagua usafi wa mazingira, Kukagua muda wa matumizi ya dawa na usalama mahali pa kazi. Katika ziara…
1 Febuari 2024, 4:15 um
Tahadhari yatolewa kwa wananchi wilayani Rungwe kujikinga na ugonjwa wa kipindup…
Jamii imetakiwa kutunza mazingira ili kuepukana na mangojwa ya mlipuko kama kipindupindu. Na Lennox mwamakula Wananchi wametakiwa kuchukua Tahadhari ya ugonjwa wa mlipuko wa kipindupindu ulioripotiwa sehemu za mikoa mbalimbali pamoja na mkoa wa jirani wa songwe. Kauli imetolewa na…
1 Febuari 2024, 3:12 um
37 wakutwa na kipindupindu Sengerema
Licha ya SerikaliĀ kutoa vifaa tiba na kinga vyenye thamani zaidi ya Sh milioni 7 kwenye mikoa mitatu ya Kanda ya Ziwa kwa ajili ya kukabiliana na ugonjwa wa kipindupindu pamoja na dawa za kutibu maji kwa kuua wadudu wenye vimelea…
31 Januari 2024, 7:05 mu
BMH yafanikiwa kupandikiza Uroto kwa watoto 7
Itakumbukwa kuwa Serikali ya awamu ya sita iliidhinisha Shiling Bilioni 3.6 kwa kuwezesha kutolewa kwa huduma za upandikizaji wa uroto kwa Watoto wenye selimundu huku zikitengwa Shiling Bilioni 1 kwa ajili ya kutoa kwa Watoto bure. Na Yussuph Hassan.Hospital ya…
30 Januari 2024, 2:13 um
Taka zarundikwa kwenye makazi ya watu mjini Sengerema
Mji wa Sengerema kwa mda mrefu umekuwa ukionekana kuwa na mrundikano wa uchafu kwenye vizimba vilivyopo mjini ambapo Halmashauri imekuwa ikitumia vibarua kuzizoa na baadhi yao wamekuwa wakitoa kwenye vizimba na kwenda kuzimwaga kwenye makazi ya watu. Na:Emmanuel Twimanye Wakazi…
29 Januari 2024, 8:00 um
Kipindupindu chatajwa kuwakumba wanawake zaidi nchini
Kipindupindu unatajwa kuwa ugonjwa hatari ambao huambatana na kuharisha na kutapika huku ikielezwa kuwa ni asilimia 10 tu ya wagonjwa wanaopata kipindupindu na kulazwa hospitali huku wengine wakitembea na vimelea vya ugonjwa huo. Na Mariam Matundu.Wanawake nchini Tanzania wanatajwa kuongoza…