Polisi
14 May 2024, 3:57 pm
DC Kusini Unguja atoa onyo wanaojichukulia sheria mkononi
Na Omary Hassan Mkuu wa Wilaya ya Kusini Unguja Cassian Galos Nyimbo amesema ujenzi wa vituo vipya vya Polisi nchini uendane na matumizi ya wananchi kutafuta haki kwa misingi ya sheria na kuacha tabia ya kujichukulia sheria mikononi. Akiweka jiwe…
8 May 2024, 3:03 pm
Wanaoiba pikipiki mikononi mwa Polisi mkoa wa Kusini Unguja
Na Mary Julius. Jeshi la Polisi Mkoa wa Kusini Unguja linawashikilia watu wanne kwa tuhuma za wizi wa pikipiki katika maeneo ya mikusanyiko ya watu ikiwemo kwenye harusi, misiba na nyumba za ibada. Akizungumza na waandishi wa habari huko Tunguu…
2 May 2024, 2:24 pm
Madereva wazembe kupokonywa leseni Zanzibar
Na Suleiman Abdalla Jeshi la Polisi kitengo cha Usalama Barabarani watoa elimu ya usalama barabarani kupitia radio visiwani Zanzibar. Kitengo cha Usalama Barabarani Zanzibar kimewataka madereva na watembea kwa mguu kufuata kanuni na sheria zilizowekwa ili kuepuka ajali za mara…
12 March 2024, 5:15 pm
Jeshi la polisi Kusini Unguja kuimarisha ulinzi, usalama
Na Mary Julius. Katika kuhakikisha wananchi wanaofanya ibada za usiku katika kipindi hiki cha mwezi mtukufu wa Ramadhan wanakuwa salama, Jeshi la Polisi laahidi kulinda watu na mali zao. Jeshi la polisi mkoa wa Kusini Unguja limejipanga kuimrisha ulinzi na…