Radio Tadio

VETA

14 April 2023, 1:31 pm

Chamwino waishukuru serikali ujenzi wa vyuo vya VETA

Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) inatarajia kukamilisha ujenzi wa vyuo 25 vya Wilaya kwa kutumia nguvu kazi ya ndani yaani force account. Na Alfred Bulahya. Wananchi wilayani Chamwino Mkoani Dodoma, wameishukuru Serikali kwa kuanza ujenzi wa…

13 April 2023, 5:43 pm

Vijana wajivunia elimu ya ufundi kutoka VETA

Wapo vijana mbalimbali ambao wameweza kunufaika na uwepo wa elimu ya ufundi VETA ambapo imewasaidia kwa kiasi kikubwa katika kujiajiri. Na Thadey Tesha Baadhi ya vijana jijini Dodoma wamesema kuwa elimu ya ufundi stadi wanayoipata kutoka  VETA imekuwa msaada kwao…

4 April 2023, 1:03 pm

Vijana 300 kudahiliwa na Chuo cha Veta Bahi Julai 2023

Amewapongeza wasimamizi wa ujenzi wa chuo hicho kwa kutafuta ufumbuzi wa changamoto zilizopelekea chuo hicho kutokukamilika kwa wakati. Na Benard Magawa. Vijana wapoatao 300 wanatarajiwa kuanza kunufaika na elimu ya ufundi stadi veta mara tu chuo cha Veta Bahi kitakapokamilika…