Radio Tadio

ushirika

19 December 2023, 8:32 pm

(KDU) LTD Kukusanya zaidi ya Sh. Mil 86 kwa Mwaka 2024

Karagwe Na David Geofrey Kayanga Duka la Ushirika (KDU) L.T.D inakusuduia kukusanya zaidi ya shilingi milioni 86 kutoka katika  vyanzo mbalimbali vya mapato kwa mwaka 2024 na kuendeleza miradi yao. Akiwasilisha taarifa ya utekelezaji mbele ya wajumbe wa mkutano mkuu…

30 September 2023, 19:30

Vyama vya ushirika mwarobaini wa masoko kwa wakulima

Na Isaya Kigodi/Mafinga Ili kuendana na mahitaji ya soko, Wakulima wilayani Mufindi wametakiwa kujiunga na vyama vya ushirika jambo ambalo litawarahisishia kulifikia soko. Hayo yamesemwa na Afisa ushirika Halmashauri ya wilaya ya Mufindi Bi. Pili Mwaipaja wakati akizungumza na Mufindi…