Radio Tadio

usalamabarabarani

21 December 2023, 08:23

Abiria fichueni wanaoshabikia mwendokasi

Na Moses Mbwambo,Iringa Mkuu wa Usalama barabarani Mkoa wa Iringa (SSP) Mossi Ndozero amewataka abiria kuacha tabia ya kushabikia mwendokasi na badala yake kufichua wote watakaobainika kuendeleza vitendo hivyo. Ndozero Ametoa kauli hiyo huko Nyigo Wilayani Mufindi, mpakani mwa Iringa…

14 December 2023, 16:54

Madereva wafikishwa mahakamani na kufutiwa leseni Kigoma

Madereva wa vyombo vya moto Mkoani Kigoma wametakiwa kuzingatia sheria za usalama barabarani hasa kipindi hiki cha mwisho wa Mwaka ili kuzuia ajali ambazo zinaweza kujitokeza. Na Josephine Kiravu Akizungumza na wanahabari hivi Karibuni Kamanda wa polisi Mkoa wa Kigoma,…